Umuhimu wa mapumziko siku ya Sensa

Inasemekana Dodoso (Questionnaire) lina maswali zaidi ya 100 ambayo hatuyajui yatahusu nini. Hivi kweli naweza kubuni vitu zaidi ya 100 watakavyouliza zaidi nikamfahamisha beki 3 na asisahau hata kimoja kweli??
Kwahiyo siku hizo tajwaza siku ya sensa tupumzike tu yani toka 23 to 31 of August ,na taifa litajengwa na nani
 
Zoezi limenyimwa kwanza airtime ya kutosha,channels wanazotumia kutoa elimu sidhani kama zinaweza kumfikia mtu aliekua kijijini mambo yda kukurupuka ni ya hovyo ,ila hilo la kufanya siku ya sensa iwe yav mapumziko siliungi mkono maana siku ni nyingi siku ni 7 ni nyingi kwa taifa kupumzika tu,pia dodoso lina maswali mengine unnecessary wangebeba taarifa muhumi ingetosha
 
Moja ya swali ni kipato cha wastani cha kaya. Kwa hiyo umuachie housegirl au jirani hiyo taarifa kwamba bwana wastani wa kipato changu kwa mwezi ni laki 1.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
 
Mi kwanza naishi kibachela hata ikiwa siku ya mapumziko nimeshaamua hawanipati sensa ni kichaka cha watu kupiga Kodi zetu tu maendeleo ya maisha ni juhud binafsi
 
Ahsante Sana kwa Hoja Yako. Serikali imekusikia na tumeitendea haki Hoja hii. Tuendelee kuungana na Serikali yetu sikivu. Ahsante kwa Hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…