Mamaa Kigogo
Senior Member
- Sep 26, 2011
- 105
- 43
Kila mtu ajitafutie mali zake , ndo mana wenzetu urithi wanaachie mtu yeyote, mtoto akue akijua anatakiwa kufanya juhudi ya maisha afanikiwe, mzazi jukumu lake ni kumwandalia maisha kwa kumsomesha, akifika 18 and above anaanza ya kwake, sasa tatizo huwa tunatolea sana macho mali za familia, wengine wanadiriki hata kuwaua wazazi ili warithi mali, mrithishe ila usimwambie kahifadhi huko bank, ili awe na nguvu ya kutafuta, nakumbuka baba alikuwa anatwambia, mali zangu ni kwa ajili yangu na mke wangu, kama hamsomi mtajijua mkishakua
ni kweli kabisa wazazi wako hawakosei