Umuue binadamu mwenzako kwa mawe kisa dini, halafu uje kugundua huyo 'Mungu' wako hayuko!

Umuue binadamu mwenzako kwa mawe kisa dini, halafu uje kugundua huyo 'Mungu' wako hayuko!

Nakuuliza tena, unauhakika unachokinena?

1704868823799.jpeg

UHAKIKA HUU HAPA KAZI KWAKO KUULIZA MARA MIA AU ELFU
 
Hiki kinausiana nini na niliyoyaandika?


Judge for yourselves



"Shame" of long hair says St Paul


lon-hair-JC.jpg




"Doth not even nature itself teach you, that, if a man have long hair, it is a shame unto him?"
– 1 Corinthians 11.14.
 
Judge for yourselves



"Shame" of long hair says St Paul


lon-hair-JC.jpg




"Doth not even nature itself teach you, that, if a man have long hair, it is a shame unto him?"
– 1 Corinthians 11.14.
Huyo kwenye picha ni nani?
 
Mungu ni jina la jumla ila kila imani inajina la Mungu wake , taja jina la Mungu wako acha uoga
Mungu ni Mungu tu yeye hana hayo mambo ya imani, hayo ya imani ni siasa za humu humu duniani na hazimpeleki mtu kokote.
 
Umemsikia Mungu wa biblia yako au unajitoa akili

Akifumaniwa mtu mume amelala na mwanamke aliyeolewa na mume, na wafe wote wawili, mtu mume aliyelala na mwanamke, na yule mwanamke naye; ndivyo utakavyoondoa uovu katika Israeli.

Kumbukumbu La Torati 22:22
Haya tuambie hapa Yehova alikuwa chizi?

Tudhihirishie uwepo wa huyo 'mungu' wenu anayesababisha mzike waafrika wenzenu wakiwa hai na kuchinja wengine.....
 
Tudhihirishie uwepo wa huyo 'mungu' wenu anayesababisha mzike waafrika wenzenu wakiwa hai na kuchinja wengine.....
Hawa ni wa Africa kumbe

Lakini likiwa ni kweli neno hili, la kutoonekana kwake yule kijana alama za ubikira;

Kumbukumbu La Torati 22:20

NGUVU YA BIKRA HII HAPA

na wamtoe nje yule kijana mlangoni pa nyumba ya baba yake, na waume wa mji wake wampige kwa mawe hata afe; kwa vile alivyofanya upumbavu katika Israeli, kwa kufanya ukahaba katika nyumba ya baba yake; ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako.

Kumbukumbu La Torati 22:21

Hapo vip
 
Wewe Mungu wako ulishawai mleta hapa tumuone?

Ningekua nachinja watu namna mnavyofanya kwa jina la 'mungu' ningelazimika kumleta ili kudhihiisha kwanini mumuabudu....
Tudhihirishie uwepo wa huyo 'mungu' wenu anayesababisha mzike waafrika wenzenu wakiwa hai na kuchinja wengine.....
 
Hawa ni wa Africa kumbe

Lakini likiwa ni kweli neno hili, la kutoonekana kwake yule kijana alama za ubikira;

Kumbukumbu La Torati 22:20

NGUVU YA BIKRA HII HAPA

na wamtoe nje yule kijana mlangoni pa nyumba ya baba yake, na waume wa mji wake wampige kwa mawe hata afe; kwa vile alivyofanya upumbavu katika Israeli, kwa kufanya ukahaba katika nyumba ya baba yake; ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako.

Kumbukumbu La Torati 22:21

Hapo vip

Ningekua nachinja watu namna mnavyofanya kwa jina la 'mungu' ningelazimika kumleta ili kudhihiisha kwanini mumuabudu....
Tudhihirishie uwepo wa huyo 'mungu' wenu anayesababisha mzike waafrika wenzenu wakiwa hai na kuchinja wengine.....
 
Mungu ni Mungu tu yeye hana hayo mambo ya imani, hayo ya imani ni siasa za humu humu duniani na hazimpeleki mtu kokote.
Kwani wewe ni imani gani mbona una sana kama kuku mwenye mdondo?
 
Ningekua nachinja watu namna mnavyofanya kwa jina la 'mungu' ningelazimika kumleta ili kudhihiisha kwanini mumuabudu....
Tudhihirishie uwepo wa huyo 'mungu' wenu anayesababisha mzike waafrika wenzenu wakiwa hai na kuchinja wengine.....
Kwa jina la Yehova watu walichinjwa kataa biblia yako kwanza acha kelele


na wamtoe nje yule kijana mlangoni pa nyumba ya baba yake, na waume wa mji wake wampige kwa mawe hata afe; kwa vile alivyofanya upumbavu katika Israeli, kwa kufanya ukahaba katika nyumba ya baba yake; ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako.

Kumbukumbu La Torati 22:21
 
Ningekua nachinja watu namna mnavyofanya kwa jina la 'mungu' ningelazimika kumleta ili kudhihiisha kwanini mumuabudu....
Tudhihirishie uwepo wa huyo 'mungu' wenu anayesababisha mzike waafrika wenzenu wakiwa hai na kuchinja wengine.....

Nimekuletea unajifanya hujasoma usitudanganye umesoma vizuri ,huna hoja tu unabakia kurusha vichwa
 
Kwa jina la Yehova watu walichinjwa kataa biblia yako kwanza acha kelele


na wamtoe nje yule kijana mlangoni pa nyumba ya baba yake, na waume wa mji wake wampige kwa mawe hata afe; kwa vile alivyofanya upumbavu katika Israeli, kwa kufanya ukahaba katika nyumba ya baba yake; ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako.

Kumbukumbu La Torati 22:21

Tudhihirishie uwepo wa huyo 'mungu' wenu anayesababisha mzike waafrika wenzenu wakiwa hai na kuchinja wengine.....
 
Back
Top Bottom