Umuue binadamu mwenzako kwa mawe kisa dini, halafu uje kugundua huyo 'Mungu' wako hayuko!

Umuue binadamu mwenzako kwa mawe kisa dini, halafu uje kugundua huyo 'Mungu' wako hayuko!

Pesa zote zake kahaba

na wamtoe nje yule kijana mlangoni pa nyumba ya baba yake, na waume wa mji wake wampige kwa mawe hata afe; kwa vile alivyofanya upumbavu katika Israeli, kwa kufanya ukahaba katika nyumba ya baba yake; ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako.

Kumbukumbu La Torati 22:21

Tudhihirishie uwepo wa huyo 'mungu' wenu anayesababisha mzike waafrika wenzenu wakiwa hai na kuchinja wengine.....
 
Kahaba ashindwe yeye kunenepa pesa zote zake


na wamtoe nje yule kijana mlangoni pa nyumba ya baba yake, na waume wa mji wake wampige kwa mawe hata afe; kwa vile alivyofanya upumbavu katika Israeli, kwa kufanya ukahaba katika nyumba ya baba yake; ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako.

Kumbukumbu La Torati 22:21

Tudhihirishie uwepo wa huyo 'mungu' wenu anayesababisha mzike waafrika wenzenu wakiwa hai na kuchinja wengine.....
 
Huu uzi utabaki sticky, kila mtu lazima ausome mlivyo, twende tu hivi

Tudhihirishie uwepo wa huyo 'mungu' wenu anayesababisha mzike waafrika wenzenu wakiwa hai na kuchinja wengine.....
Ubaki milele tungejuaje kahaba kapewa pesa nyingi hivi


na wamtoe nje yule kijana mlangoni pa nyumba ya baba yake, na waume wa mji wake wampige kwa mawe hata afe; kwa vile alivyofanya upumbavu katika Israeli, kwa kufanya ukahaba katika nyumba ya baba yake; ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako.

Kumbukumbu La Torati 22:21
 
Wewe Mungu wako umeshawai kumleta hapa?
Mbona unamkimbia mungu wako

na wamtoe nje yule kijana mlangoni pa nyumba ya baba yake, na waume wa mji wake wampige kwa mawe hata afe; kwa vile alivyofanya upumbavu katika Israeli, kwa kufanya ukahaba katika nyumba ya baba yake; ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako.

Kumbukumbu La Torati 22:21
 
Mzinifu Apigwe Mawe Mpaka Kufa Hata Kwenye Kitabu Cha Wayahud Imeandikwa Hvo Pia Hata Kwenye Torati Imeandikwa Hvo Kabla Ya Torati Kuharibiwa Na Kubaki Kumbukumbu La Torati Amri Hii Ilitekelezwa,huyo Mzungu Aliyekufundisha Haki Za Binadamu Kila Siku Anauwa Mamia Na Kudhurumu Ila Wewe Haushangai

anatofauti gan sasa na wako Mungu mnywa damu
 
Mbona unamkimbia mungu wako

na wamtoe nje yule kijana mlangoni pa nyumba ya baba yake, na waume wa mji wake wampige kwa mawe hata afe; kwa vile alivyofanya upumbavu katika Israeli, kwa kufanya ukahaba katika nyumba ya baba yake; ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako.

Kumbukumbu La Torati 22:21
Kwa maandiko haya hata ungekuwa wewe ungekimbia Mungu wako , kwasababu hajui kuwa yapo kwenye biblia yake
 
Unamzika mtu akiwa hai, tena kwa ukatili, yote hii kisa sheria za kidini, halafu ukifa uje kushangaa huyo ambaye umekuwa ukimuabudu na kusababisha ufanye ukatili mengi kumbe siye.

Mimi japo ni muumini wa uwepo wa Mungu, lakini haya masuala ya kiimani ni ya mtu binafsi na wala sina uwezo wa kumthibitishia mtu yeyote kwamba kweli Mungu yupo, hivyo siwezi kumfanyia mtu maukatili kisa Mungu ambaye siwezi nikathibitisha uwepo wake.

Uwepo wa Mungu ni personal experience, yaani mimi hapa nimeona na kushuhudia Mungu kwenye maisha yangu ila sio kitu ambacho ninaweza kumthibitishia mtu mwengine, hivyo tuache kulazimishana haya mambo.

Wewe muombe Mungu wako amtembelee mwenzako kama alivyokutembelea wewe, acha kulazimisha.

==============================

This barbaric scene belongs in the Dark Ages, but pictures emerged today of a group of Islamic militants who forced villagers to watch as they stoned a man to death for adultery.

Mohamed Abukar Ibrahim, a 48-year-old, was buried in a hole up to his chest and pelted with rocks until he died.

The group responsible, Hizbul Islam, also shot dead a man they claimed was a murderer.


Moderator mnauangalia tu huu uzi, hakuna ukweli wowote juu ya hilo, wanaomfukia hawakuonyesha sura zao, anaefukiwa pia haonyeshi dalili yoyote ya kufanyiwa ukatili huo, ni propaganda watu flani wameamua kutengeneza tukio hilo.

Mkuu Maxence Melo, huu uzi ufutwe.
 
Uwepo upi sasa na wewe ? huyo mtoa mada anapaswa kujitambulisha kama mpagani kwanza ndio hilo swali nitajibu, kama ana amini kwenye vitabu atulie tujadili vitabu
kwan dini duniani ni uislam tu ? anataka kujuwa huyo mungu wenu wa waislam , na hili pia unahitaj mastars kuelewa?
 
Nataka kujua jina la Mungu wake mbona mnaruka ruka kama maharage , lazima nijue najadilina na mtu wa namna gani mpagani, mkristo au nani? mimi muislamu Mungu wangu ni Allah, ataje Mungu wake apate dawa yake
kwan hujui kama jamaa ni mkristo? aya jibu maswali yake sasa , nyiny waislam huwa mna matatizo sn , swali unaulizwa mungu wa waislam , wewe unazungumzia mungu wa wakristo sasa tukueleweje
 
Suala sio wakristo , Biblia kwa maana ya maandiko yalikuwepo kabla ya nyie mnao jiita wakristo, swali langu wakati huo huyo Mungu wa Yakobo na Isiaka wanatoa hizo sheria za kuua wazinzi alikuwa KACHANGANYIKIWA? au ndio akili zake zinaingia na kutoka
hv swali la hao jamaa hulielew ? waislam shule ni sufuri kbs
 
Mungu anajua yote ila ana utaratibu wake ambao anatuonyesha wanadamu , Mungu hana mguu wala mkono hizo ni lugha za picha kuonyesha kuwa jambo fulani limekamilika au limefanyika
Story inasema ataingiza mguu shehe,Quran pia ina describe Mungu (Allah) kuwa ana mikono na miguu ambayo iko upande mmoja.
 
Wanafiki wote hao nawajua vizuri wana chuki kali sana dhidi ya Waislam hata unashindwa kuelewa hata huo Ukiristo wao hawaufahamu.
unaeza mpenda anaetangaza kukuua kusa quran imemfundisha hivyo ?
 
Hahahhaha unaikana biblia kazi yenu kushqmbulia Waislam biblia hamfahamu kabisa[emoji23]
alqaida , alshabab , boko haram hii ni dini ya shetan kbs , biblia na quran zinasema siku za mwisho atakuja shetan na atalazimisha watu kumuabudu , ndo tunaona uislam unatimiza maandiko , hii ni iman ya shetan
 
Back
Top Bottom