MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
- Thread starter
- #321
Kahaba ashindwe yeye kunenepa pesa zote zake
na wamtoe nje yule kijana mlangoni pa nyumba ya baba yake, na waume wa mji wake wampige kwa mawe hata afe; kwa vile alivyofanya upumbavu katika Israeli, kwa kufanya ukahaba katika nyumba ya baba yake; ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako.
Kumbukumbu La Torati 22:21
Tudhihirishie uwepo wa huyo 'mungu' wenu anayesababisha mzike waafrika wenzenu wakiwa hai na kuchinja wengine.....