MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
- Thread starter
- #521
Weka ugoko niweke jiwe
Na mtu aziniye na mke wa mtu mwingine, naam, yeye aziniye na mke wa jirani yake, mtu mume aziniye, na mwanamke aziniye, hakika watauawa.
Walawi 20:10
Tudhihirishie uwepo wa huyo 'mungu' wenu anayesababisha mzike waafrika wenzenu wakiwa hai na kuchinja wengine.....