Mjinga??? I usually do solve complex mathematical equations daily while you tender cassava farms in ujamaa villages!Ningekuwa sifahamu ningeuliza kama huyo mjinga mwenzio hapo juu,.View attachment 1301847
Sent using Jamii Forums mobile app
Immaterial not material.But all these sentences have nothing to do with the matter at hand. I think it's material to concentrate on issues rather than the individuals.
Kwenye ndoto yako pengineTanzania ni dunia ya kwanza in East Africa
Hiyo umecopy paste kutoka google. Nakujua vizuri.Transformer is a passive electrical device that transfer electrical energy from one electrical circuit to one or more circuits.
Sasa mbona hufahamu transformer ni niniMjinga??? I usually do solve complex mathematical equations daily while you tender cassava farms in ujamaa villages!
Unanifahamu toka lini ama tulionanaHiyo umecopy paste kutoka google. Nakujua vizuri.
HaisumbuiFailing to put a vowel before any noun automatically turns it into person's name !
Yupo sawa huyo jamaa, soma vizuri anachotaka kusemaImmaterial not material.
Immaterial not material.
Was just thinking to myself, "I'm gonna have a field day reading comments on youtube", only to find that comments are disabled.πSijaelewa kwa undani hasa lengo la UN - Habitat kutengeneza hii video. Je walitaka kutoa ujumbe gani hasa?. Ningependa wakenya wachangie zaidi katika Uzi huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwingine amekomalia hapo juu eti kwanini sijaweka a kwenye transformer πππBro muache, wala usipoteze muda wako wenye thamani. Yeye anafikiri hii ni lugha tuliyokutana nayo barabarani.
Yuko sawa na ndg yake ambaye badala ya kuongelea hoja, anataja majina ya watu.
Mwingine amekomalia hapo juu eti kwanini sijaweka a kwenye transformer πππ
Ni wajinga mnoo,Nilichogundua ni kuwa tunajishusha sana kuanza kujadiliana na wakenya hapa. Wengi wana uelewa mdogo sana. Fuatilia yule jamaa aliyeanzisha uzi wa FEDHA ya madafu. Nilipombana kidogo tu, uzi ukafa.
Wakenya wana uwezo mdogo sana wa kufikiria, wapo wachache sana wenye uwezo wa kufikiria. Yaani Kenya na Tanzania ya sasa, ni" reflection" ya waanzilishi wa mataifa haya mawili.Nilichogundua ni kuwa tunajishusha sana kuanza kujadiliana na wakenya hapa. Wengi wana uelewa mdogo sana. Fuatilia yule jamaa aliyeanzisha uzi wa FEDHA ya madafu. Nilipombana kidogo tu, uzi ukafa.
Immaterial means " it doesn't matter". Kusema it is immaterial ni kama kusema it doesn't matter. Point yake iko sawa lakini grammar tu ndio tatizo.
Kizungu chako kimenyooka kama nyoka.Was just thinking to myself, "I'm gonna have a field day reading comments on youtube", only to find that comments are disabled.π
Eliakeem hujawahi kusikia mtu akisema ' that thing is immaterial?' Wewe umesema material badala ya immaterial. Kubali yaishe.Bro muache, wala usipoteze muda wako wenye thamani. Yeye anafikiri hii ni lugha tuliyokutana nayo barabarani.
Yuko sawa na ndg yake ambaye badala ya kuongelea hoja, anataja majina ya watu.
Hahaha kweli. Neno "a" ni muhimu sana.Mwingine amekomalia hapo juu eti kwanini sijaweka a kwenye transformer πππ