UN- Habitat yalinganisha Dar na Nairobi

UN- Habitat yalinganisha Dar na Nairobi

Transformer is a passive electrical device that transfer electrical energy from one electrical circuit to one or more circuits.
Hiyo umecopy paste kutoka google. Nakujua vizuri.
 
Nilichogundua ni kuwa tunajishusha sana kuanza kujadiliana na wakenya hapa. Wengi wana uelewa mdogo sana. Fuatilia yule jamaa aliyeanzisha uzi wa FEDHA ya madafu. Nilipombana kidogo tu, uzi ukafa.
Ni wajinga mnoo,
Ndio maana huwa wanafungua nyuzi zisizo na akili alafu wakibanwa wanaishia kukimbia nyuzi zao.
 
Nilichogundua ni kuwa tunajishusha sana kuanza kujadiliana na wakenya hapa. Wengi wana uelewa mdogo sana. Fuatilia yule jamaa aliyeanzisha uzi wa FEDHA ya madafu. Nilipombana kidogo tu, uzi ukafa.
Wakenya wana uwezo mdogo sana wa kufikiria, wapo wachache sana wenye uwezo wa kufikiria. Yaani Kenya na Tanzania ya sasa, ni" reflection" ya waanzilishi wa mataifa haya mawili.

Wakati Nyerere aliongoza nchi kwa kutumia akili nyingi Sana kufikiria, Jommo Kenyatta alitumia kanuni ya "Divide and rule", alitumia ukabila, kujisifia, ubinafsi na kujilimbikizia Mali.

Ndicho kilnachotokea kwa kizazi cha sasa cha wakenya, kamwe hawajengi hoja, badala yake ni kutumia ukabila, kujisifu na ubinafsi wa kujinufaisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Was just thinking to myself, "I'm gonna have a field day reading comments on youtube", only to find that comments are disabled.🙄
Kizungu chako kimenyooka kama nyoka.
 
Bro muache, wala usipoteze muda wako wenye thamani. Yeye anafikiri hii ni lugha tuliyokutana nayo barabarani.

Yuko sawa na ndg yake ambaye badala ya kuongelea hoja, anataja majina ya watu.
Eliakeem hujawahi kusikia mtu akisema ' that thing is immaterial?' Wewe umesema material badala ya immaterial. Kubali yaishe.
 
Back
Top Bottom