UN Happiness Report 2020: Dar es Salaam yashika mkia kwenye orodha ya majiji yenye watu wenye furaha duniani

UN Happiness Report 2020: Dar es Salaam yashika mkia kwenye orodha ya majiji yenye watu wenye furaha duniani

Jiji la Dar es salaam limeshika nafasi ya 181 katika majiji 186 duniani kwenye rank za majiji yenye watu wenye furaha.

Dar es Salaam imepita majiji ya Juba (Sudan Kusini), Port -au Prince (Haiti),Gaza (Palestine) Sanaa (Yemen) na Kabul (Afghanistan).

Furaha ni kitu kikubwa sana kwenye maisha ya mtu yeyote, juhudi nyingi za mtu/watu ni ili aweze kupata furaha. Hata ukifanikiwa kiasi gani kama hauna furaha ni kazi bure.

Ni wakati sasa wana Dar es Salaam na Watanzania kujiuliza kwanini tumekuwa watu wenye huzuni na machungu hadi tunashuka mkia duniani na kuanza kuweka mikakati jinsi ya kutoka kwenye hali hii mbaya.

Sasa Kama walifanya utafiti mitandaoni na hasa humu jf ambamo muda wote ni kulalamika dhidi ya jpm na serikali yake wewe unatarajia Nini?!
 
Pongezi nyingi zimuendee Rais wetu kipenzi cha wanyonge John pombe magufuli kuhainga usiku na mchana angalau sisi wananchi wake tupate furaha Magufuli ni chaguo la Mungu
hahahahaaaaaa! mbavu zangu mie! 🤣 😀😀😀😀🤣
 
Jiji la Dar es salaam limeshika nafasi ya 181 katika majiji 186 duniani kwenye rank za majiji yenye watu wenye furaha.

Dar es Salaam imepita majiji ya Juba (Sudan Kusini), Port -au Prince (Haiti),Gaza (Palestine) Sanaa (Yemen) na Kabul (Afghanistan).

Furaha ni kitu kikubwa sana kwenye maisha ya mtu yeyote, juhudi nyingi za mtu/watu ni ili aweze kupata furaha. Hata ukifanikiwa kiasi gani kama hauna furaha ni kazi bure.

Ni wakati sasa wana Dar es Salaam na Watanzania kujiuliza kwanini tumekuwa watu wenye huzuni na machungu hadi tunashuka mkia duniani na kuanza kuweka mikakati jinsi ya kutoka kwenye hali hii mbaya.

furaha itatoka wapi wakati.....

1. mhalifu anavamia kituo cha habari klauzi but anayeadhibiwa ni yule anayemdhibiti?

2. polisi wanapiga risasi zinapaa weeee, zinakata kona weeee halafu zinarudi chini tiii na kuua mtu?

3. kijana (Magoti) anayetuhumiwa kwa money laundering ya 17M anasota lupango but mtuhumiwa wa matirioni (Kangi mauno) anadunda mtaani na posho juu?
 
furaha itatoka wapi wakati.....

1. mhalifu anavamia kituo cha habari klauzi but anayeadhibiwa ni yule anayemdhibiti?

2. polisi wanapiga risasi zinapaa weeee, zinakata kona weeee halafu zinarudi chini tiii na kuua mtu?

3. kijana (Magoti) anayetuhumiwa kwa money laundering ya 17M anasota lupango but mtuhumiwa wa matirioni (Kangi mauno) anadunda mtaani na posho juu?
Hapo no.2 😅😅😅😅😅
 
Technique ya kumuua mbwa ni unaanza kwa kumuita jina baya!
 
Pongezi nyingi zimuendee Rais wetu kipenzi cha wanyonge John pombe magufuli kuhainga usiku na mchana angalau sisi wananchi wake tupate furaha Magufuli ni chaguo la Mungu
Mungu anajua Cha kufanya tufurahi Leo katuthibitishia rasmi yeye ni mawe
 
Kwa kusema ukweli watanzania haruna furaha na wala hatuna mapenzi na nchi yetu. Ukitaka kujua ni kweli muulize mtu yoyote alie ugaibuni atakwambia. Kila akiuliza nyumbani vipi ni malalamiko tu. Kila akisema anatamani kurudi basi watu wanamvunja nguvu eti kugumu sana. Hata tungeshika mkia nisingeshangaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalia sura za marais wa Tanzania, Uganda na Rwanda hivi zina furaha zile zimejaa hasira. Bora yule wa Kenya kidogo anacheka kuliko hawa wengine. Sisi wananchi furaha tutaipata wapi na marais hawana?


Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Kweli kuna sura nyingine hazina fulaha toka zipo. Kama mwenyekiti wetu ccm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unafahamu maana ya kushika mkia?,
si ajabu wewe ni mshika mkia huko shuleni kwenu.

Anyway, yaani Jiji LA Roma huko Italy na Wuhan nchini China yaliyokumbwa na Corona yawe na furaha kuliko Dar es salaam kweli?

Jiji LA Kigali, Kamapala na Nairobi ambayo yapo katika Karantini Hakuna kutoka wala kuingia yatuzidi furaha wana Daresalamu?

Kigezo cha kuzuia Shisha na Ushoga Dar es salaam ndipo Mabeberu wanatuaminisha kwamba Dar Hakuna Furaha wakati mabasi yote yanajaza watu Dar salaam, Treni, Meli na Ndege zote zinajaza kuingia Dar es salaam.

Dar ni Jiji LA Raha na furaha, tuachieni Jiji letu
Akili za kuambiwa changanya na zako.
Wewe nae sijui mjinga wa wapi? Utafiti umefanywa lini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom