UN Happiness Report 2020: Dar es Salaam yashika mkia kwenye orodha ya majiji yenye watu wenye furaha duniani

Pongezi nyingi zimuendee Rais wetu kipenzi cha wanyonge John pombe magufuli kuhainga usiku na mchana angalau sisi wananchi wake tupate furaha Magufuli ni chaguo la Mungu
Mnapongeza tu hata mkiwa wa mwisho kwa furaha duniani!
 
Kwahyo hao watatu wasiokuwa na furaha ndo wamewakilisha nchi mzima?
 
Af wengne wanakosa furaha kutoka kwa wapenzi wao

Wasisingizie uongozi
Watanzania achen uongo
Na waliotoa izo data waseme hio furaha inakoseshwa na vtu gan
Maana weng wanautupia mzigo uongoz ata pasipo itajika
 
watafurahi vipi wakai mkuu wa mkoa anakatiza haki yao ya kuishi?
 
Yaani jitu kuuuuubwa linaleta habari kama hii ijadiliwe humu? Duuuuh .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…