State Propaganda
JF-Expert Member
- Apr 25, 2024
- 542
- 1,286
Sioni shida maana hata nchi za magharibi zinapeka silaha nzito Ukraini mabazo zinatumika katika uwanja wa vita.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unaropoka sana mzee!?Kwamba Ni sahihi kombola made in Iran kutua Israel kutokea Gaza ila sio sahihi kombora made in USA kutua Gaza kutokea Israel ? Hili bara kwa mara ya kwanza tangu tupate uhuru tumezalisha vilaza wengi weng vyet vya elimu ila kichwan weupe
Punguza panic BasiKwamba Ni sahihi kombola made in Iran kutua Israel kutokea Gaza ila sio sahihi kombora made in USA kutua Gaza kutokea Israel ? Hili bara kwa mara ya kwanza tangu tupate uhuru tumezalisha vilaza wengi weng vyet vya elimu ila kichwan weupe
Nime jaribu kumchunguza Nafikiri hataki kuonyesha technology yake kwa maadui zake USAHii ni aibu kwa Urusi, anajiita superpower na anaazima silaha.