UN SDG-7: Hatua Za Usambazaji Umeme kwa Wananchi Afrika, Je Tanzania mmefikia Wapi?

UN SDG-7: Hatua Za Usambazaji Umeme kwa Wananchi Afrika, Je Tanzania mmefikia Wapi?

Kafrican

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2015
Posts
7,251
Reaction score
7,037
Kuna yale malengo ya nchi ambayo nchi zote zinazoendelea (Developing Countries) zilijiekea za kuweka muda mbao kila nchi inafaa iwe imehitimu, Kitambo malengo haya yalikua yanaitwa UN -Millenium Development Goals (MDGs) ambapo nchi zote zilikua zinafaa zihitimu kabla ya mwaka wa 2,000.. Wengi wetu tulifeli kuhitimu... Baada ya hapo UN ilitengeneza malengo mapya ya karne hii yanayoitwa Sustainable Development Goals ..

Kwa kifupi kuna malengo 17, ikiwemo kuondoa njaa, umaskini, elimu kwa kila mtu, afya, maji safi, uaswa wa jinsia.. na ajenda ya saba ni uwepo kwa umeme kwa kila mwananchi atayetaka kuutumia yani (Access to electricity), malengo haya yote tunafaa tue tumeyafikia kabla mwaka wa 2030!
soma zaidi hapa THE 17 GOALS | Sustainable Development



-----------
Nimefurahia kuona Kenya ndo imeshikilia hatua ya kwanza duniani (Developing countries) kwa usambazaji wa nyaya za umeme kufikia kila mtu ndani ya nchi tangu. Kuandia miradi ya Rural Electrification hadi ile ya kuhakikisha kila Primary School inasambaziwa Umeme, jitihada zetu zimezaa matunda na kuonekana.


Kenya inaongoza kwa kua na the fastest growth in Access to Electricity, Ingawaje India ndo inaongoza kwa kua na watu wengi ambao tayari wanapata stima. Hii growth rate ya usambazaji wa umeme Kenya ni kubwa kuliko birth rate kwahivyo tukiendelea hivyo tutaweza kufikia kila mwananchi ndani ya miaka michache zaidi.

1625998679666.png

(Hapo naona TZ imepigiwa duara la kijani kumaanisha Tz inatambulika kama "Lower Middle Income" sasa! hoongera!!!


Idadi ya Wananchi ambao hawajafikiwa na nyaya za umeme. Kenya ni 16 Million bado hawajafikiwa

1625999335482.png





Kenya ndo imepiga hatua kubwa zaidi kwa usambazaji wa umeme ndani ya miaka kumi, ikifatwa na banladesh, Uganda alafu Tanzania. Kwahivyo main countries za EAC zote ziko mbioni. Hii ndo maana mi hua napenda kuona nchi jirani zikiendelea na kupiga hatua, maanake mkipiga hatua ndo hua mnatushtua na kutufanya tukaze kamba na sisi tupige hatua kama hio, lakini ikiwa majirani wamezubaa basi hata sisi tunazembea manake hatuna mpinzani anayetutishia.

1625999528947.png



Source:

 
Sasa changamoto iliobaki ni kuhakikisha wanavijiji wanatengeneza kazi ambazo zinahitaji utumizi mkubwa wa umeme, sio tu kuwasha mataa, kuangalia TZ na kucharge simu badi viwanda na kazi zinazotumia umeme mwingi..

--------------------------

KENYA has been ranked as the top country in the world in reducing the population with no access to electricity, pointing to the impact of the state’s focus on rural areas for nearly a decade. The Energy Progress Report for 2021, a product of a partnership between the World Bank and bodies such as the International Energy Agency, says Kenya’s electrification pace is now ahead of population growth.

Kenya’s annualised increase in electricity access between 2010 and 2019 was at 5.6 percent — the largest among the top 20 countries in the world with the biggest electricity access gap. The increased pace of electrification, also supported by off-grid solutions such as solar, points to the fruits of the State’s last-mile connectivity programme, which was launched in 2014 mainly targeting rural areas.


Kenya’s growth dwarfed the world’s average growth of 0.8 percent, with the closest countries being Bangladesh (4.1 percent), Uganda (3.2 percent), Tanzania (2.5 percent), India (2.4 percent), Myanmar and the Democratic People’s Republic of Korea with 2.2 percent each.

‘Among the 20 countries with the largest deficits, Bangladesh, Kenya, and Uganda have made the most progress in electrification, as they achieved annual growth in access of more than three percentage points between 2010 and 2019,’ says the report.

The report, however, says Kenya is yet to start drawing maximum socio-economic benefits from the increased electrification. The improving electricity access, the report says, should be complemented by promoting productive uses of the power.

‘Kenya’s recent efforts at last-mile electrification have not resulted in any real increase in consumption of electricity beyond basic services, putting into question the viability of costly grid connections,’ says the report.

‘To date, Kenya’s electrification programs, like most, have encouraged supply while overlooking the need to stimulate demand, especially demand for productive uses of electricity.’ Kenya Power recently admitted to this problem, saying most of its rural customers consume about six units a month — an equivalent of Sh100.45 — leaving it with idle electricity. The report notes that unscheduled electricity interruptions are among the main challenges facing firms connected to the grid.

 
mambo ya kenya hakuna hadi uandike ya tanzania?
Section hii ya "Kenyan News and Politicts" imejaa mada kama "Kenya SGR VS Tanzania SGR", "Kisumu VS MWanza", "EACOP VS Lamu Pipeline", "Kisumu port VS Kigoma Port", "Natural Attractions Kenya VS Tanzania!, " Urban Water Supply Kenya VS TZ" ......etc Zote hizo ni mada zimenzishwa na watanzania lakini tukianzisha zetu chache zinazowataja ndo mwakumbuka kua wastaarabu ?
 
Kuna yale malengo ya nchi ambayo nchi zote zinazoendelea (Developing Countries) zilijiekea za kuweka muda mbao kila nchi inafaa iwe imehitimu, Kitambo malengo haya yalikua yanaitwa UN -Millenium Development Goals (MDGs) ambapo nchi zote zilikua zinafaa zihitimu kabla ya mwaka wa 2,000.. Wengi wetu tulifeli kuhitimu... Baada ya hapo UN ilitengeneza malengo mapya ya karne hii yanayoitwa Sustainable Development Goals ..

Kwa kifupi kuna malengo 17, ikiwemo kuondoa njaa, umaskini, elimu kwa kila mtu, afya, maji safi, uaswa wa jinsia.. na ajenda ya saba ni uwepo kwa umeme kwa kila mwananchi atayetaka kuutumia yani (Access to electricity), malengo haya yote tunafaa tue tumeyafikia kabla mwaka wa 2030!
soma zaidi hapa THE 17 GOALS | Sustainable Development



-----------
Nimefurahia kuona Kenya ndo imeshikilia hatua ya kwanza duniani (Developing countries) kwa usambazaji wa nyaya za umeme kufikia kila mtu ndani ya nchi tangu. Kuandia miradi ya Rural Electrification hadi ile ya kuhakikisha kila Primary School inasambaziwa Umeme, jitihada zetu zimezaa matunda na kuonekana.


Kenya inaongoza kwa kua na the fastest growth in Access to Electricity, Ingawaje India ndo inaongoza kwa kua na watu wengi ambao tayari wanapata stima. Hii growth rate ya usambazaji wa umeme Kenya ni kubwa kuliko birth rate kwahivyo tukiendelea hivyo tutaweza kufikia kila mwananchi ndani ya miaka michache zaidi.

View attachment 1849539
(Hapo naona TZ imepigiwa duara la kijani kumaanisha Tz inatambulika kama "Lower Middle Income" sasa! hoongera!!!


Idadi ya Wananchi ambao hawajafikiwa na nyaya za umeme. Kenya ni 16 Million bado hawajafikiwa

View attachment 1849549




Kenya ndo imepiga hatua kubwa zaidi kwa usambazaji wa umeme ndani ya miaka kumi, ikifatwa na banladesh, Uganda alafu Tanzania. Kwahivyo main countries za EAC zote ziko mbioni. Hii ndo maana mi hua napenda kuona nchi jirani zikiendelea na kupiga hatua, maanake mkipiga hatua ndo hua mnatushtua na kutufanya tukaze kamba na sisi tupige hatua kama hio, lakini ikiwa majirani wamezubaa basi hata sisi tunazembea manake hatuna mpinzani anayetutishia.

View attachment 1849553


Source:

Kumbe ripoti ni 2010-2019 in between kaya nyingi Tanzania zimesogezewa Umeme lakini pia Kenya huwezi linganisha na Tanzania ukichukua Kenya,Uganda,Rwanda na Burundi unapata Tanzania moja hivyo kwa Tanzania kazi sio nyepesi hivyo.It is tough .
 
jukwaa la kenya mjadili mambo yenu ya kunya!

uganda, TANZANIA zinamajukwaa yao
nadra sana kukuta stori zenu humo
Section hii ya "Kenyan News and Politicts" imejaa mada kama "Kenya SGR VS Tanzania SGR", "Kisumu VS MWanza", "EACOP VS Lamu Pipeline", "Kisumu port VS Kigoma Port", "Natural Attractions Kenya VS Tanzania!, " Urban Water Supply Kenya VS TZ" ......etc Zote hizo ni mada zimenzishwa na watanzania lakini tukianzisha zetu chache zinazowataja ndo mwakumbuka kua wastaarabu ?
 
jukwaa la kenya mjadili mambo yenu ya kunya!

uganda, TANZANIA zinamajukwaa yao
nadra sana kukuta stori zenu humo
Huwa mkiambiwa ukweli mnaanza kulialia. Sasa ona unavyotokwa na machozi.
 
Tulia. Watanzania huwa watu wakarimu sana. Mbona wewe umekosa adabu?
Ukarimu upi? wa kutufanya mazwazwa.....imeshakula kwenu hiyo, mkihitaji mahindi tutawapa hata bure msije kutufia njaa hapa.......
 
jukwaa la kenya mjadili mambo yenu ya kunya!

uganda, TANZANIA zinamajukwaa yao
nadra sana kukuta stori zenu humo
Anza kwa kuambia wenzako wakafute hizo mada za TzVSKe manake hao ndo walianza, usianze kulia ukiona sisi twamalizia walichianza!
 
Back
Top Bottom