Nadhani UK alikua amevuta bange wakati anatoa tamko zito namna ile.
Halafu sijui wakenya wanaugua ugonjwa gani,mara wajitoe ICC,sasa wanaondoa mgambo wao sudan ya kusini,bora waondoke tu walikua wanafanya biashara ya magendo tu na kutoza watu kodi(KRA),