#COVID19 UN: Taarifa feki kuhusu chanjo zinazidisha muda ambao ungetumika kudhibiti maambukizi

#COVID19 UN: Taarifa feki kuhusu chanjo zinazidisha muda ambao ungetumika kudhibiti maambukizi

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Umoja wa Mataifa(UN) umesema taarifa zisizo sahihi kuhusu chanjo ya #COVID19 kunarefusha muda ambao ungetumika kudhibiti maambukizi ya Corona.

UN wametoa wito kwa raia kuhakiki taarifa kabla ya kusambaza taarifa hizo kwa wengine ambazo zinaathiri mapambano dhidi ya Corona.

Wamesema taarifa za mtandaoni husambaa kwa kasi ya moto wa nyikani, taarifa ndogo ya kupotosha huweza kuleta madhara makubwa.

1628492409149.png
 
Ni kweli kabisa, mitandao inatumika vibaya sana, kuasi cha kuathiri malengo,

Sasa tuje kwa ambao tumeshachanja,
Tunaomba tupatiwe uthibitisho kwa kuwa kuna baadhi ya miji tukienda kwenye ofisi zao huhitaji huo uthibitisho au upime ndio uingie, sasa hili ni tatizo kwa ambao tumepata jab tayari na ni waaafiri wa mara kwa mara
 
Umoja wa Mataifa(UN) umesema taarifa zisizo sahihi kuhusu chanjo ya #COVID19 kunarefusha muda ambao ungetumika kudhibiti maambukizi ya Corona.

UN wametoa wito kwa raia kuhakiki taarifa kabla ya kusambaza taarifa hizo kwa wengine ambazo zinaathiri mapambano dhidi ya Corona.

Wamesema taarifa za mtandaoni husambaa kwa kasi ya moto wa nyikani, taarifa ndogo ya kupotosha huweza kuleta madhara makubwa.

View attachment 1885972
Mitandao kutumika vibaya kwenye taarifa nyeti kunatokana na yafuatayo
1 - Mifumo yetu ya elimu haimuandai raia kupokea majanga ya dhalura kwa màana ya Antispation diserster attack.
2 , Viongozi wetu huwa hawataki kufanya jambo ambalo hajalitoa yeye, mathalani kama hoja ni nzuri lakini aliyeitoa kama ni mlengo wa kushoto haifanyiwi kazi
3 - mitandao ya kijamii inafanya kazi kwa uhuru kwenye jamii kuliko kwenye dila kwa sababu ya ulasim. Mfano kiongozi wa dini au chama chochote anaongea habari za covid ngazi zote bila mipaka mathalani nchini kwangu tz, lakini mambo ya afya inasubiri ngazi ya taifa tu. Wakati huohuo jamii ambayohaikuandaliwa kwa ukilitiba huo., ujumbe wa selirikari unakuwa wa misho kumfikia raia. Mfano tangu uzushi uanzr kuwa covid chanjo ni hatari na ugonjwa wenyewe ni hofu ni muda mrefu lakini ujumbe wa usahihi wa ugonjwa ndiyo upo wazi sasa je watapindua mawazo hasi yaliyotangulia mapema kirahisi? Na kundi nililelile.
4 - Tàaluma hazipewi nafasi yake ila siasa inachukuwa nafasi za wataalam. Nilitegemea covid tuone watumishi wa afya wakiiñgia mitaani kuelimisha jamii
, cha ajabu wanasiada na ndiyo wanalumbana na wanadini majukwaani.
5 Uhalisia wa tatizo unafafanuliwa kitakwimu na kijamii badala ya kitskwimu na kisayansi sababu ugonjwa siyo siasa.
Naona yapo mengi wataalam wakisikilizwa kuna jambo la kujenga tutajifunza. CORONA (COVID-19).
Ni kweli kabisa, mitandao inatumika vibaya sana, kuasi cha kuathiri malengo,

Sasa tuje kwa ambao tumeshachanja,
Tunaomba tupatiwe uthibitisho kwa kuwa kuna baadhi ya miji tukienda kwenye ofisi zao huhitaji huo uthibitisho au upime ndio uingie, sasa hili ni tatizo kwa ambao tumepata jab tayari na ni waaafiri wa mara kwa mara
 
Kwa nini wasiwe wao wanaopotosha, tusitishane aisee.......kumbe kwenye chanjo hakuna demokrasia ya kutoa maoni.
 
Back
Top Bottom