UN: Tanzania na China zaonyesha mshikamano na Urusi, zakataa kuburuzwa na nchi za Magharibi

UN: Tanzania na China zaonyesha mshikamano na Urusi, zakataa kuburuzwa na nchi za Magharibi

Wacha maneno mengi Kenya ni vibaraka wa nchi za magharibi tangu enzi za ukombozi wa kusini mwa Afrika, vita vya maumau Kenya vilikua ni Kati ya wakikuyu na waingereza, lengo la wakikuyu lilikua ni kupata serikali ili washirikiane na wageni/wazungu kuwakandamiza kabila zingine za wakenya.

Wewe ni miongoni mwa wakenya wajinga wasiojua lolote zaidi ya kujpiga kelele tupu, Kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani yenye budget deficit kubwa yenye kutegemea misaada ya nje?,Kati ya Kenya na TZ, ni nchi gani ni ombaomba wa misaada?
Rudi shuleni ndugu yangu, its never too late. Unavyojadili haya masuala ni aibu tupu, kwenye enzi hizi kuitwa 'drop-out' sio sifa hata kidogo. Acha uhuni jombaa, masomo unaweza ukayaendeleza hata 'online'. Tena kwa gharama ambayo itakuwa nafuu kwa 'idler' kama wewe.
 
Ni kweli Kenya ilipata Uhuru wake kwa changamoto nyingi zaidi kuliko hata Nchi nyingine za EAC.
Moja wapo ya hizo changamoto ni kukubali masharti na mikataba ya kikoloni ambayo ingedumu hata baada ya Uhuru.
Serikali yenu haiwezi kuwaeleza yote ila ukweli ndio huo, Kenya ni kibaraka wa US na UK.
Hao wanajeshi wenuwanaopewa mafunzo na misaada ya kijeshi lakini nado wameshindwa kufanikisha single operation Somalia wanafaa kwa lipi? Tanzania hatuna kambi ya kijeshi ya kikoloni iliyosalia wala ufadhili kama Kenya lakini TPDF imefanikisha operation za kibabe tena kwa muda mfupi. Uganda, Commoro, DRC, Sudan, Lebanon, nk na bado nchi ipo salama.

Mnaweza mkawa mnafanya biashara na China au Russia lakini ni baada ya US & UK kuridhia.
Kenya ni nchi ya kisanii sana, bado ni koloni.
Ndio maana nilikuambia kwamba unakariri tu kwa chuki zako, huna 'facts'. Eti Kenya haijafanikisha operation hata moja Somalia? Sasa hivi kusini mwa Somalia kuna amani, kisa vikosi vya Kenya. Kenya ilifanikiwa kuuteka mji wa Kismayu, mji ambao haukuwa umedhibitiwa na vikosi vyovyote vya kigeni, tangia enzi za wazee wa Ndemi na Mathati.

Leo hii eneo la Jubaland, nchini Somalia, limeanza kunawiri na kupata maendeleo ya kweli, kwasababu ya vikosi vya kijeshi vya Kenya. Kuhusu hizo mission zingine ulizozitaja sidhani kama kuna nchi nyingine ukanda huu, ambayo imekuwa na ufanisi mkubwa zaidi ya Kenya. Kumbuka kwamba Kenya sasa hivi ina vikosi vyake DRC, kabla ya hiyo S.Sudan. Ndio hii orodha ya mission zote ambazo vikosi vya Kenya vimehusika. Kutoka Bosnia, East Timor hadi Cambodia.
index-768x422.jpg
 
Hii maana yake hukubaliani na "Motion on the table", agenda iliyowakilishwa ni kupata kura za ndio ili kulaani Urusi, Kitendo cha kutopiga kura ni kutaka kuhakikisha kwamba 2/3 ya kura za ndio hazipatikani. The smart way of saying No"


The smarter way is to vote "NO" than not not to Vote.
 
Jambo linalotofautisha Kati ya wanyama na binadamu ni "Uhuru wa kujiamulia Mambo yake", tofauti kati ya watumwa na watwana ni "Liberty".

Ukiona unathamini Mali/biashara zaidi kiasi cha kufuata kila kinachofanywa na tajiri, wewe ni sawa na Malaya.

Kuwa huru kwa gharama yoyote Ile, wacheni kuwa wanyonge na kufuata kila wanalosema matajiri, yaani unaunga mkono nchi kwasababu ya kuogopa kupoteza biashara?, Hiyo sio Tanzania tuliyoachiwa na baba wa Taifa.


Kwa Kenya ni "Mkono mtupu haulambwi", kwa Tz ni "ubinadamu kwanza".

You either side with materials or humanity.-----🤣🤣
 
Mataifa ya magharibi yamehodhi mfumo mzima wa uchumi duniani ukikosana nao lazina utakaa chini tuu. Urusi kajitakia mwenyewe na west sio kwamba wanapinga urusi kuvamia Ukraine hii ni kiinimacho tuu cha ustaarabu infact hapo ndio wamepata entry point ya kuiangusha urusi kiuchumi. Baada ya kuanguka kwa ussr ilichukua muda mrefu sana kwa urusi kufika hapa ilipo leo kiuchumi lakini inaelekea yote inaenda kuwa kazi bure kwa upumbavu wa kiongozi ambaye ni beligerent maana dunia ya sasa ubabe na umiliki wa silaha umeshapitwa na wakati sasa hivi ni nani mwenye hela apewe heshima yake jaribu kuangalia engagement ya west na china kwenye masuala mbalimbali huwa kunakuwa na kiheshina kidogo.


Ni kidogo sana unachojua juu ya siasa za ndani kwa ndani za dunia, hasa siasa za NATO na Russia, Russia anazijua mno siasa za NATO na mikakati yao na hadi kachukua hatua ya kuivamia Ukraine huo ni Uamuzi Mgumu kwa Russia na hakukuwa na njia mbadala wa hiyo.
 
Ningekuwa rais wa Tanzania mimi ningepanga strategy ya kuwavutia mabeberu Tanzania


Wala hujui usemacho, kauli yako ni sawa na mtu aseme; "Ningekuwa Rais wa Kenya mimi ningepanga strategy ya kuwavutia WEZI kenya"🤣🤣

Is it sensible??!, au hujui maana ya neno beberu??!.
 
Yaani urusi na China wake wasaidie africa kujikomboa unaona haitoshi kwa Jambo dogo tu la kumuweka obama kuwa president US. Huku ukisahau Jim crows law yakuwa bagua watu weusi nchi mmarekani, kunyoya na kuvamia nchi za afrika mfano Libya. Kweli we jamaa akili kisoda



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app


Huyo akili hamna kabisa sio kisoda, hakumbuki kwanini waliibuka akina Martin Luther king jr, akina Malcom X huko Marekani, hajui walifanya harakati gani na kwanini waliuawa!!?---- yeye hajui kwamba Mabeberu ni nyoka toka zama zile hadi leo hii.
 
Rudi shuleni ndugu yangu, its never too late. Unavyojadili haya masuala ni aibu tupu, kwenye enzi hizi kuitwa 'drop-out' sio sifa hata kidogo. Acha uhuni jombaa, masomo unaweza ukayaendeleza hata 'online'. Tena kwa gharama ambayo itakuwa nafuu kwa 'idler' kama wewe.
Ninauwezo wa kukusomesha hadi update PhD, hujui kitu zaidi ya kelele tupu, wakenya wengi uwezo wenu wa akili ni mdogo, hamna uwezo hata wa kujilisha, mnategemea kuomba chakula cha msaada
 
Ndio maana nilikuambia kwamba unakariri tu kwa chuki zako, huna 'facts'. Eti Kenya haijafanikisha operation hata moja Somalia? Sasa hivi kusini mwa Somalia kuna amani, kisa vikosi vya Kenya. Kenya ilifanikiwa kuuteka mji wa Kismayu, mji ambao haukuwa umedhibitiwa na vikosi vyovyote vya kigeni, tangia enzi za wazee wa Ndemi na Mathati.

Leo hii eneo la Jubaland, nchini Somalia, limeanza kunawiri na kupata maendeleo ya kweli, kwasababu ya vikosi vya kijeshi vya Kenya. Kuhusu hizo mission zingine ulizozitaja sidhani kama kuna nchi nyingine ukanda huu, ambayo imekuwa na ufanisi mkubwa zaidi ya Kenya. Kumbuka kwamba Kenya sasa hivi ina vikosi vyake DRC, kabla ya hiyo S.Sudan. Ndio hii orodha ya mission zote ambazo vikosi vya Kenya vimehusika. Kutoka Bosnia, East Timor hadi Cambodia.
index-768x422.jpg
Wacha porojo wewe, KDF walishindwa South Sudan hadi Ban Ki moon akamtimua kazi kamanda wa KDF, Kenya ikakasirika ikaondoa jeshi lake, katika historia ya UN, Kenya ndiyo nchi pekee kushindwa kufanya majukumu ya kulinda Amani hadi kusababisha kufukuzwa.

Kuhusu Somalia, huko ndio kielelezo cha udhahifu wa KDF, kumbuka KDF walikwrmenda Somalia ili kuzuia Alshabaab kushambulia Kenya, sio kuteka Kismayo, tangu KDF kuingiza Somalia, Alshabaab wameongeza mashambulizi kwa Kenya kuliko kabla ya KDF kuingiza Somalia.
 
Ninauwezo wa kukusomesha hadi update PhD, hujui kitu zaidi ya kelele tupu, wakenya wengi uwezo wenu wa akili ni mdogo, hamna uwezo hata wa kujilisha, mnategemea kuomba chakula cha msaada
Aah wapi, acha kujimwambafy wewe rudi shuleni. Usione aibu utawapata wenzako huko wakipambana na syllabus level yako, shule ya upili.
 
Unapoiwekea vikwazo Russia pamoja na mapungufu yake uangalie pia vikwazo hivyo vinamuumiza nani. The common mwananchi wa Russia ndie atakaye suffer hawa viongozi vikwazo havitawaumiza sana.
Hasa ndio lengo kukukosanisha na wananchi wako
 
Unapoiwekea vikwazo Russia pamoja na mapungufu yake uangalie pia vikwazo hivyo vinamuumiza nani. The common mwananchi wa Russia ndie atakaye suffer hawa viongozi vikwazo havitawaumiza sana.
Lengo ni kumpa mbinyo wa ndani na nje.
Wananchi wakianza kukosa imani naye lazima abadili mtazamo.
 
Back
Top Bottom