- Thread starter
- #21
Tulipwazwa na Sululu.
Ni kujidanganya kudhani we were admirable
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulipwazwa na Sululu.
Tanzania ilishapoteza ushawishi iliyokuwa nayo enzi hizo, siku hizi imebaki tu "One of those shithole countries with no any international influence famous only for human rights abuses".
Kwa hii hotuba mabeberu walichekea tumboni 🤣
Halafu kiongozi wa hii nchi anajisifu kutoa hotuba UN akidhani anao wahutubia hawajui kumbe wanamchora tu, ndio maana VP wa US naskia amegoma kuonana naeYa Adamoo, Kingai, Mahita na mwenzao tumeyasikia:
View attachment 1952725
Fikiria nchi inayofanya komando wake aliyeipigania hivi.
Abuse of human rights, lack of democracy, use of iron fists to suppress dissenting opinions, rigging of elections, etc qualify a country - a Shit hole.
Shit holes are real, neither mindsets nor illusions.
Kuna haja ya kuambiana ukweli. Kama taifa UN hatukufurukuta.
Siyo siri, madhumuni ya mkutano ule ilikuwa ni kwa mataifa kuweka wazi sera zao za nje zenye kuelezea maingiliano baina ya nchi na nchi.
Mkutano ule haukuwa wakutafutia wawekezaji, kutangazia utalii wala kuhusiana na mambo ya ndani ya nchi.
Badala yake tukatumia muda kujielekeza kwenye mambo ya kijinsia. Kwani tulivisahau vyuma vilivyo tikisa dunia hii wakiwamo akina Angel Merkel, Thatcher, Indira Gandhi, Golda Meir, nk?
Usawa wa kijinsia katika mataifa nje ya Africa si agenda za kupeleka UN labda AU. Huko waungwana walikwisha toka zamani. Mama Clinton alikuwa achukue urais wa dunia na wala si kwa kudra za Mola.
Taarifa za Corona tulizosoma ni za WHO ambayo ni agency tanzu ya UN yenyewe.
Kwamba tuna ushauri kuhusu chanjo ya Corona ambayo aghalabu tungetaka hata copyright kwenye chanjo isiwepo wakati tunapewa bure?
Hatuna neno lolote kuhusu nyungu, maombi, mikaratusi, michai chai, malimao au hata na matango pori mengine?
Hatuna neno lolote kuhusiana na vita vya kiuchumi hasa hasa mabeberu dhidi ya Tanzania?
Hatuna neno kumhusu beberu yeyote na upigaji wake kwenye chanjo, barakoa, PPE au kuhusu Corona kwa ujumla?!
Kwani dunia haikupata kutusikia na misimamo yetu na shujaa wetu wanayeshuku Corona haikumnusuru?
Kwani zile takwimu za ugonjwa wa Corona ambazo dunia imekuwa ikituasa kuzitoa tumewahi kuzitoa?
Tupitieni hotuba za wengine kulinganisha na ya kwetu.
Ama kwa hakika hatukufua dafu!
Enzi za kuwa na misimamo ya KIKOMUNISTI eee?!!Tanzania ilishapoteza ushawishi iliyokuwa nayo enzi hizo, siku hizi imebaki tu "One of those shithole countries with no any international influence famous only for human rights abuses".
Jiandae kumwagiwa mvua ya matusi na waunga juhudi wapyaKuna haja ya kuambiana ukweli. Kama taifa UN hatukufurukuta.
Siyo siri, madhumuni ya mkutano ule ilikuwa ni kwa mataifa kuweka wazi sera zao za nje zenye kuelezea maingiliano baina ya nchi na nchi.
Mkutano ule haukuwa wakutafutia wawekezaji, kutangazia utalii wala kuhusiana na mambo ya ndani ya nchi.
Badala yake tukatumia muda kujielekeza kwenye mambo ya kijinsia. Kwani tulivisahau vyuma vilivyo tikisa dunia hii wakiwamo akina Angel Merkel, Thatcher, Indira Gandhi, Golda Meir, nk?
Usawa wa kijinsia katika mataifa nje ya Africa si agenda za kupeleka UN labda AU. Huko waungwana walikwisha toka zamani. Mama Clinton alikuwa achukue urais wa dunia na wala si kwa kudra za Mola.
Taarifa za Corona tulizosoma ni za WHO ambayo ni agency tanzu ya UN yenyewe.
Kwamba tuna ushauri kuhusu chanjo ya Corona ambayo aghalabu tungetaka hata copyright kwenye chanjo isiwepo wakati tunapewa bure?
Hatuna neno lolote kuhusu nyungu, maombi, mikaratusi, michai chai, malimao au hata na matango pori mengine?
Hatuna neno lolote kuhusiana na vita vya kiuchumi hasa hasa mabeberu dhidi ya Tanzania?
Hatuna neno kumhusu beberu yeyote na upigaji wake kwenye chanjo, barakoa, PPE au kuhusu Corona kwa ujumla?!
Kwani dunia haikupata kutusikia na misimamo yetu na shujaa wetu wanayeshuku Corona haikumnusuru?
Kwani zile takwimu za ugonjwa wa Corona ambazo dunia imekuwa ikituasa kuzitoa tumewahi kuzitoa?
Tupitieni hotuba za wengine kulinganisha na ya kwetu.
Ama kwa hakika hatukufua dafu!
Nakubaliana na mleta uzi. Naomba muitafute hotuba ya mama Waziri Mkuu wa Barbados muone mfano halisi wa tulichotakiwa kufanya na sisi.
Sera yetu ya mambo ya nje HAIJABADILIKA SANA......
Yako maeneo tumeamua KUGEUKA....mfano kufungua BALOZI nchi ambazo tulikuwa kinyume nazo mfano Israel.....
Dunia imebadilika sana....hatuwezi kung'ang'ania misimamo ya kizamani.....
Mathalani tumeona Marekani ikiwaachia nchi Taliban pamoja na kupigana nao miaka 20...pamoja na Taliban kutoendana na DEMOKRASIA YA MAGHARIBI.....
Juma lijalo Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anakutana na Rais wa Urusi Komredi Putin kuhusiana na kiitwacho UHUSIANO NA UKURASA MPYA kinyume na wa zamani(kambi ya NATO).....
Hapa pia tusisahau kuwa pamoja na Uturuki kuwa ndani ya NATO bado Marekani inawasapoti waasi wa KIKURDI....na ule Upande mwingine Pakistan iliyo rafiki na Marekani iko pamoja na China iliyo kinyume na mahasimu wao India......
Kwa ufupi kabisa DUNIA INABADILIKA KILA UCHAO na TANZANIA HAIFUNGAMANI NA UPANDE WOWOTE.....
#SiempreJMT
#NchiKwanzaKablaYaUhaiWetu
Jiandae kumwagiwa mvua ya matusi na waunga juhudi wapya
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Halafu kiongozi wa hii nchi anajisifu kutoa hotuba UN akidhani anao wahutubia hawajui kumbe wanamchora tu, ndio maana VP wa US naskia amegoma kuonana nae
Tulipwazwa na Sululu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ilkua bado kidogo tu aseme yeye ni Raisi mwanamke wa kwanza kuhutubia UN
HahahahahaWatanzania mna vijembe sana walahi
Everyone is entitled to his own opinion. You can't dictate anyone's mindset.Change your mindset,Tanzania is not a shithole country,may be your mind has full of darkness,I welcome you to the light.
Everyone is entitled to his own opinion. You can't dictate anyone's mindset.
Everyone is entitled to his own opinion. You can't dictate anyone's mindset.