UN - Tusidanganyane, kama Taifa Tulipwaya

Tanzania ilishapoteza ushawishi iliyokuwa nayo enzi hizo, siku hizi imebaki tu "One of those shithole countries with no any international influence famous only for human rights abuses".

Kutambua tulipo na kufahamu tulipoangukia ni hatua njema sana ya kujinasua.

Eeh mola wetu utufukuzilie mbali pepo wetu huyu mbaya wa kujidanganya anayetufumba macho na masikio tusione wala kusikia maonyo hata ya binadamu wenzetu waliotutangulia mno:



Tutayasikia ya manabii wako kweli?
 
Nakubaliana na mleta uzi. Naomba muitafute hotuba ya mama Waziri Mkuu wa Barbados muone mfano halisi wa tulichotakiwa kufanya na sisi.
 
Halafu kiongozi wa hii nchi anajisifu kutoa hotuba UN akidhani anao wahutubia hawajui kumbe wanamchora tu, ndio maana VP wa US naskia amegoma kuonana nae
 
Sera yetu ya mambo ya nje HAIJABADILIKA SANA......

Yako maeneo tumeamua KUGEUKA....mfano kufungua BALOZI nchi ambazo tulikuwa kinyume nazo mfano Israel.....

Dunia imebadilika sana....hatuwezi kung'ang'ania misimamo ya kizamani.....

Mathalani tumeona Marekani ikiwaachia nchi Taliban pamoja na kupigana nao miaka 20...pamoja na Taliban kutoendana na DEMOKRASIA YA MAGHARIBI.....

Juma lijalo Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anakutana na Rais wa Urusi Komredi Putin kuhusiana na kiitwacho UHUSIANO NA UKURASA MPYA kinyume na wa zamani(kambi ya NATO).....

Hapa pia tusisahau kuwa pamoja na Uturuki kuwa ndani ya NATO bado Marekani inawasapoti waasi wa KIKURDI....na ule Upande mwingine Pakistan iliyo rafiki na Marekani iko pamoja na China iliyo kinyume na mahasimu wao India......

Kwa ufupi kabisa DUNIA INABADILIKA KILA UCHAO na TANZANIA HAIFUNGAMANI NA UPANDE WOWOTE.....

#SiempreJMT
#NchiKwanzaKablaYaUhaiWetu
 
Tanzania ilishapoteza ushawishi iliyokuwa nayo enzi hizo, siku hizi imebaki tu "One of those shithole countries with no any international influence famous only for human rights abuses".
Enzi za kuwa na misimamo ya KIKOMUNISTI eee?!!
Si ndio eee?!!!

#SiempreJMT
#NchiKwanza
 
Jiandae kumwagiwa mvua ya matusi na waunga juhudi wapya

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Kazi ipo
Nakubaliana na mleta uzi. Naomba muitafute hotuba ya mama Waziri Mkuu wa Barbados muone mfano halisi wa tulichotakiwa kufanya na sisi.

Huyu ni wa kupigiwa mfano:


"Who will stand up and rise up and fight for the rights of the people?" Bob Marley
 

Mkuu nondo za Tanzania ya kina mzee Nyerere (rip) ni kama hizi hapa:


"Who will stand up and rise and fight for the rights of the people?" Bob Marley.

Who ..? Who ..? ......... Who?

Kwamba hatuja nyembuka nyembuka? Mbona itakuwa ni kujifariji tu?
 
Halafu kiongozi wa hii nchi anajisifu kutoa hotuba UN akidhani anao wahutubia hawajui kumbe wanamchora tu, ndio maana VP wa US naskia amegoma kuonana nae

We were totally out of place
 
Change your mindset,Tanzania is not a shithole country,may be your mind has full of darkness,I welcome you to the light.
Everyone is entitled to his own opinion. You can't dictate anyone's mindset.
 
Everyone is entitled to his own opinion. You can't dictate anyone's mindset.

This world is beautiful. Full of all varieties. Above all, including the idiots 😂😂.

Hiiiiii bagosha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…