Ngoja tuone...
That's your own perception that should not necessarily reflect others.Your opinion is false and full of darkness
.
Hi hi hiIlkua bado kidogo tu aseme yeye ni Raisi mwanamke wa kwanza kuhutubia UN
Your opinion is false and full of darkness
.
Acha kukariri unapoteza uelekeo. Kila Rais kwa niaba ya nchi yake anaelezea hoja zake nyeti ambazo ni current kama mwanachama wa UN.Kuna haja ya kuambiana ukweli. Kama taifa UN hatukufurukuta.
Siyo siri, madhumuni ya mkutano ule ilikuwa ni kwa mataifa kuweka wazi sera zao za nje zenye kuelezea maingiliano baina ya nchi na nchi.
Mkutano ule haukuwa wakutafutia wawekezaji, kutangazia utalii wala kuhusiana na mambo ya ndani ya nchi.
Badala yake tukatumia muda kujielekeza kwenye mambo ya kijinsia. Kwani tulivisahau vyuma vilivyo tikisa dunia hii wakiwamo akina Angel Merkel, Thatcher, Indira Gandhi, Golda Meir, nk?
Usawa wa kijinsia katika mataifa nje ya Africa si agenda za kupeleka UN labda AU. Huko waungwana walikwisha toka zamani. Mama Clinton alikuwa achukue urais wa dunia na wala si kwa kudra za Mola.
Taarifa za Corona tulizosoma ni za WHO ambayo ni agency tanzu ya UN yenyewe.
Kwamba tuna ushauri kuhusu chanjo ya Corona ambayo aghalabu tungetaka hata copyright kwenye chanjo isiwepo wakati tunapewa bure?
Hatuna neno lolote kuhusu nyungu, maombi, mikaratusi, michai chai, malimao au hata na matango pori mengine?
Hatuna neno lolote kuhusiana na vita vya kiuchumi hasa hasa mabeberu dhidi ya Tanzania?
Hatuna neno kumhusu beberu yeyote na upigaji wake kwenye chanjo, barakoa, PPE au kuhusu Corona kwa ujumla?!
Kwani dunia haikupata kutusikia na misimamo yetu na shujaa wetu wanayeshuku Corona haikumnusuru?
Kwani zile takwimu za ugonjwa wa Corona ambazo dunia imekuwa ikituasa kuzitoa tumewahi kuzitoa?
Tupitieni hotuba za wengine kulinganisha na ya kwetu.
Ama kwa hakika hatukufua dafu!
Acha kukariri unapoteza uelekeo. Kila Rais kwa niaba ya nchi yake anaelezea hoja zake nyeti ambazo ni current kama mwanachama wa UN.
Huwezi kusimama pale ukaongea mambo ya nchi nyingine ili iweje.
Wapinzani wa Rais SSH mtakufa kwa kihoro, Mama Anaupiga Mwingi tu
Kweli kabisaMama alidhani anahutubia kikundi Cha vikoba vya wanawake wa CCM Lumumba
Huu ni zaidi ya unyamaYa Adamoo, Kingai, Mahita na mwenzao tumeyasikia:
View attachment 1952725
Fikiria nchi inayofanya komando wake aliyeipigania hivi.
Abuse of human rights, lack of democracy, use of iron fists to suppress dissenting opinions, rigging of elections, etc qualify a country - a Shit hole.
Shit holes are real, neither mindsets nor illusions.
Umechemsha! Chanjo hatupewi bure!! Zile milioni moja toka marekani ilikuwa ni chambo tu!! Hivi hujasikia yale mabilioni yaliyotengwa kwa ajili ya kuagiza chanjo? Ni kwamba unakopeshwa pesa halalafu unanunua chanjo!! Chezea beberu weye!! Tutalipa hadi vitukuu wetu watalipa!! Beberu siyo mtu!!! Anakuuzia channjo ambayo keshakiri kabisa kuwa haina uwezo wa kukukinga usiambukizwe!!! Mbaya zaidi hanjo moja wala mbili hazitoshi!! Inahitajika booster ya mara kwa mara!! Inabidi akili iende likizo kwanza ndio uweze kuthubutu kusema kuna value for money kwenye chanjo!!Kuna haja ya kuambiana ukweli. Kama taifa UN hatukufurukuta.
Siyo siri, madhumuni ya mkutano ule ilikuwa ni kwa mataifa kuweka wazi sera zao za nje zenye kuelezea maingiliano baina ya nchi na nchi.
Mkutano ule haukuwa wakutafutia wawekezaji, kutangazia utalii wala kuhusiana na mambo ya ndani ya nchi.
Badala yake tukatumia muda kujielekeza kwenye mambo ya kijinsia. Kwani tulivisahau vyuma vilivyo tikisa dunia hii wakiwamo akina Angel Merkel, Thatcher, Indira Gandhi, Golda Meir, nk?
Usawa wa kijinsia katika mataifa nje ya Africa si agenda za kupeleka UN labda AU. Huko waungwana walikwisha toka zamani. Mama Clinton alikuwa achukue urais wa dunia na wala si kwa kudra za Mola.
Taarifa za Corona tulizosoma ni za WHO ambayo ni agency tanzu ya UN yenyewe.
Kwamba tuna ushauri kuhusu chanjo ya Corona ambayo aghalabu tungetaka hata copyright kwenye chanjo isiwepo wakati tunapewa bure?
Hatuna neno lolote kuhusu nyungu, maombi, mikaratusi, michai chai, malimao au hata na matango pori mengine?
Hatuna neno lolote kuhusiana na vita vya kiuchumi hasa hasa mabeberu dhidi ya Tanzania?
Hatuna neno kumhusu beberu yeyote na upigaji wake kwenye chanjo, barakoa, PPE au kuhusu Corona kwa ujumla?!
Kwani dunia haikupata kutusikia na misimamo yetu na shujaa wetu wanayeshuku Corona haikumnusuru?
Kwani zile takwimu za ugonjwa wa Corona ambazo dunia imekuwa ikituasa kuzitoa tumewahi kuzitoa?
Tupitieni hotuba za wengine kulinganisha na ya kwetu.
Ama kwa hakika hatukufua dafu!
Umechemsha! Chanjo hatupewi bure!! Zile milioni moja toka marekani ilikuwa ni chambo tu!! Hivi hujasikia yale mabilioni yaliyotengwa kwa ajili ya kuagiza chanjo? Ni kwamba unakopeshwa pesa halalafu unanunua chanjo!! Chezea beberu weye!! Tutalipa hadi vitukuu wetu watalipa!! Beberu siyo mtu!!! Anakuuzia channjo ambayo keshakiri kabisa kuwa haina uwezo wa kukukinga usiambukizwe!!! Mbaya zaidi hanjo moja wala mbili hazitoshi!! Inahitajika booster ya mara kwa mara!! Inabidi akili iende likizo kwanza ndio uweze kuthubutu kusema kuna value for money kwenye chanjo!!
Thank you for sharing.Presumably our area of competency should have been this:
So where is a line to base to,my perceptions and your perceptions seem not to be the same,where can we find the truth?That's your own perception that should not necessarily reflect others.
Rais wetu ni kilaza, Chanjo tutazinunua hadi tufulisike, Kila baada ya miezi 6 au mwaka lazima uchome chanjo tena katika maisha yako yoteUmechemsha! Chanjo hatupewi bure!! Zile milioni moja toka marekani ilikuwa ni chambo tu!! Hivi hujasikia yale mabilioni yaliyotengwa kwa ajili ya kuagiza chanjo? Ni kwamba unakopeshwa pesa halalafu unanunua chanjo!! Chezea beberu weye!! Tutalipa hadi vitukuu wetu watalipa!! Beberu siyo mtu!!! Anakuuzia channjo ambayo keshakiri kabisa kuwa haina uwezo wa kukukinga usiambukizwe!!! Mbaya zaidi hanjo moja wala mbili hazitoshi!! Inahitajika booster ya mara kwa mara!! Inabidi akili iende likizo kwanza ndio uweze kuthubutu kusema kuna value for money kwenye chanjo!!
Everyone is free to believe the way he wishes.So where is a line to base to,my perceptions and your perceptions seem not to be the same,where can we find the truth?
Ni kweli asilimia mia kujali maslahi ya nchi kwa manufaa ya wananchi woteUkipata nafsi sikiliza hotuba ya Rais wa Ghana. Then sikiliza na hotuba ya Rais wa Zambia. Hizi ndo hotuba best kwako kati ya nilizo zisikia ndani ya UNGA 2021.
Acha uongo wako. Lini watu wamechangia humu thread zao zikafutwa. Labda kama wewe ni mgeni kwenye hili jukwaa.Ninachofurahia hapa ni uhuru wa kujieleza bila kua na hofu ya post yako kufutwa au uzi mzima utafungiwa
Awamu ya mwendazake ilikua ni marufuku kwa mtu kuwa na mawazo huru na kuyatoa hadharani kama hivi
Yawezekana wewe ukawa mgeni humu. Awamu ya mwendazake thread za kumchambua Jiwe kwa uwazi kama anavyochambuliwa mama sasa hivi hazikudumuAcha uongo wako. Lini watu wamechangia humu thread zao zikafutwa. Labda kama wewe ni mgeni kwenye hili jukwaa.
Yawezekana wewe ukawa mgeni humu. Awamu ya mwendazake thread za kumchambua Jiwe kwa uwazi kama anavyochambuliwa mama sasa hivi hazikudumu
Hata kwenye forums na platform zingine watu wote waliufyata. Kama sio kujipendekeza wakasifia na kuunga mkono juhudi basi walikaa kiiimyaaaa wakiugulia moyoni
Juzijuzi ndio kina Jenerali Ulimwengu wameanza kusikika tena na chambuzi zao za wazi. Na hata jana Deus Kibamba kaongea kwa uwazi kuhusu katiba na kasoro zake kitu ambacho hakuweza kwenye wakati wa awamu ya yule mungu wenu
Ushuzi tupuNinachofurahia hapa ni uhuru wa kujieleza bila kua na hofu ya post yako kufutwa au uzi mzima utafungiwa
Awamu ya mwendazake ilikua ni marufuku kwa mtu kuwa na mawazo huru na kuyatoa hadharani kama hivi
Free your self from mental slavery. Marehemu harudi tenaUshuzi tupu