UN: Watu zaidi ya 84,000 wamekimbia makazi yao Sudan

UN: Watu zaidi ya 84,000 wamekimbia makazi yao Sudan

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Umoja wa Mataifa umeripoti Alhamisi kwamba ghasia magharibi mwa Sudan mwezi huu pekee zimewakosesha makazi watu zaidi ya 84,000.

Umoja wa mataifa umeripoti Alhamisi kwamba ghasia magharibi mwa Sudan mwezi huu pekee zimewakosesha makazi watu zaidi ya 84,000.

Imeongeza kuwa idadi hiyo ikiongezeka mara mbili ya wale ambao wameondolewa katika nyumba zao hadi sasa mwaka 2022.

Idadi hiyo ni kubwa kuanzia mwezi Januari mwaka 2021. Mwaka jana takriban watu zaidi ya laki nne walikoseshwa makazi , mara tano zaidi ya mwaka 2020 hiyo ni kwa mujibu wa takwimu za Umoja wa Mataifa.

Mzozo umezuka huko baada ya mwaka 2003 baada ya serikali ya Sudan kujiunga na kundi la wanamgambo la Janjaweed kwa ajili ya kupambana na makundi ya uasi yenye silaha.

Takriban watu milioni 2.5 walikoseshwa makazi na wengine 300,000 waliuwawa.


Source: Aljazeera

88888888888888

Darfur attacks displace 84,000 in June alone: UN

Violence in western Sudan this month alone has displaced more than 84,000 people, doubling the number of those driven from their homes so far this year, according to UN reports.

The numbers are the highest since January 2021. Last year, at least 440,500 were displaced, five times more than in 2020, UN data show.

Aid workers fear a displacement crisis akin to the one triggered by the conflict in Darfur in the early 2000s.

Violence in Darfur escalated after 2003 as Sudan’s government enlisted the help of Arab tribal militias commonly known as Janjaweed – later formalised as the Popular Defence Forces – to put down a rebellion by mostly African agriculturalists who felt they were being treated unfairly by Khartoum.

At least 2.5 million people were displaced and 300,000 were killed in the violence. The government denied arming and supporting the Janjaweed and using them against the tribal rebels.

A peacekeeping force mandated by a 2020 peace agreement has yet to be deployed widely. Finance minister and rebel group leader Jibril Ibrahim said raising money to implement the agreement has been difficult.

June violence included fighting in the Kulbus locality in West Darfur, where 125 people were killed and 50,000 displaced when Arab militias attacked villages belonging to the Gimir tribe.

“Before we finish responding to one emergency or major attack, another two have already happened,” said Will Carter of the Norwegian Refugee Council. “So far, nothing is averting this from becoming a new large-scale displacement emergency.”

In South Kordofan state, home to a separate long-term civil conflict, fighting this month between the Hawazma and Kenana tribes in Abu Jubayhah killed 19 and displaced 15,150 after more than 4,000 homes were burned, said UNOCHA.

In a statement on Wednesday, Human Rights Watch said Sudan’s transitional government and military rulers who seized power in October failed to provide adequate protection after international peacekeepers left in 2021 or to address underlying causes of the conflict, including land and resource disputes.
 
Back
Top Bottom