Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa(UN), Antonio Guterres amemtaka Rais wa Urusi, Vladmir Putin kurudisha wanajeshi wake aliwapeleka Ukraine
Guterres ameandika ujumbe huo katika ukurasa wake wa Twitter ambapo katika ujumbe mwingine aliandika watu wengi wameshafariki kutokana na mzozo unaoendelea kati ya Urusi na Ukraine.
Aidha Rais wa Marekani, Joe Biden amesema Urusi itabeba lawama kwa madhara yatakayotokea katika mzozo uliopo. Marekani na washirika wake watajua cha kufanya.
Guterres ameandika ujumbe huo katika ukurasa wake wa Twitter ambapo katika ujumbe mwingine aliandika watu wengi wameshafariki kutokana na mzozo unaoendelea kati ya Urusi na Ukraine.
Aidha Rais wa Marekani, Joe Biden amesema Urusi itabeba lawama kwa madhara yatakayotokea katika mzozo uliopo. Marekani na washirika wake watajua cha kufanya.