Una beti upate hela ama kufurahisha nafsi.. Kama unataka upate hela niige mimi mshindi wa Perfect 12

Mkuu na wewe una bet?, nipe hints kama betting sites nzuri, jinsi ya kubet n.k, nataka nijiunge na hili chama teh!!
Mkuu sijawahi kuamini ktk maisha ya kubahatisha...bahati na sibu.
Ninaamini ktk kufanya kazi na kubarikiwa tu. Nisamehe kwa hilo kaka
 
Mkuu sijawahi kuamini ktk maisha ya kubahatisha...bahati na sibu.
Ninaamnini ktk kufanya kazi na kubarikiwa tu. Nisamehe kwa hilo kaka
Aaaah, nilidhani nilipokuona huku upo active kwenye hii mikeka, sijawahi ila kuna mtu ananishawishi sana.
 
Aaaah, nilidhani nilipokuona huku upo active kwenye hii mikeka, sijawahi ila kuna mtu ananishawishi sana.
Nimeisoma post yako ya awali, kazi ni kwako mkuu, usije kumlaumu anayekushawishi kaa ukijua ni bahati nasibu mkuu
 
Dah mkuu hongera sana, mi nliishia game 9, daaah,.

Naziwinda zile, acha tuuu,

Big up sana, vipi umchungulii sportpesa na jackpot yake
 
Mkuu nipo na Wema hapa anaomba namba yako, nimpatie?
 
Hahaaa haaaa Bet Lost[emoji23] [emoji23]
Bet lost daaah midadi inakupanda pale unapoingia online kutizama mikeka yako uliyosuka .

Mchezo mbay sana nashukuru niliacha mapema la sivyo saivi ningekuwa ICU ya kiuchumi
 
Khaa! Mkuu, hongera sana... Wewe usibeti tena maishani... Hadi hapo ushapata utajiri wa kutosha. Mie bado wananila nila kwa kuwa najifunza kutengeneza mkeka. Ila naamini ipo siku nitatuzua...
 
Bet lost daaah midadi inakupanda pale unapoingia online kutizama mikeka yako uliyosuka .

Mchezo mbay sana nashukuru niliacha mapema la sivyo saivi ningekuwa ICU ya kiuchumi
Hahaaa kuna wale wanaochana dk ya 90 na sekunde 52
 
Ila mkuu, ukishaweka mkeka wako ni bora usubirie tu matokeo! Maana ukifuatilia mechi, lazima utakufa kwa presha...
Kama umeweka stake itamayokupa faida ndogo utaweza kusubiri mbaya zaidi umeweka stake 150000 itakayokupa faida kam 1250000...mkuu live score ifamuhusu kila baada ya dk 5 [emoji23]
 
Kama umeweka stake itamayokupa faida ndogo utaweza kusubiri mbaya zaidi umeweka stake 150000 itakayokupa faida kam 1250000...mkuu live score ifamuhusu kila baada ya dk 5 [emoji23]
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Utakuwa na moyo wa chuma wewe! Mimi hata nikiweka stake ya sh mia tano, bado presha itapanda tu!
 
Betting sometimes its pay sometimes its bring more stress.
Kuna siku sikuwa na kitu kabisa isipokua 15000 tu na nina madeni kibao na posibility ya kupata hela ni baada ya wiki 2. Nikaamua liwalo na liwe nikaingia online nikabeti mara mbili 5000 na 10000 bet slip tofauti wa 5000 nikapigwa na wa 10000 ukanitatulia matatizo nikapata 680k baada ya hapo within 2 weeks league ziishe nishabamizwa 260k wakati mwingine niliweka 10000 nikiwa na shida ya 1.5 points kwa timu moja lakini nayo iligoma yaani tabu tupu.
 
The more risk you take, the more money you make
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…