Una beti upate hela ama kufurahisha nafsi.. Kama unataka upate hela niige mimi mshindi wa Perfect 12

Una beti upate hela ama kufurahisha nafsi.. Kama unataka upate hela niige mimi mshindi wa Perfect 12

KUNA JAMAA NILIOKOTA KAMKEKA KAKE HETI KATIA 4000 HALAFU KABETI KUPITIA PREMIER BET KWENYE FULL TIME/ HALF TIME RESULT AU MAARUFU KWA JINA LA NGUMU KUMEZA
KAWEKA
CHELSEA 1 1.07
HULL CITY 2 1.06
WATFORD 2 1.21
P.return ikawa 5200
Kwa bahati mbaya chelsea akatoa draw kipindi cha kwanza jamaa akaliwa.
 
Mimi hata siwaelewi wala nini?? Hivi Kama hufuatilii mpira unaweza ukabet na ukashinda kweli?
Unatakiw uzijue timu kwanza
Mfano Arsenal vs Chelsea af una mpa arsenal win[emoji2]
Hapo lazima mkeka uchanike[emoji12]
 
Usiganganye watu.

1. Hakuna bingwa wa kubeti kwa ni kila timu inayoingia kwenye mchezo inataka kushinda ama kutoshindwa (bila kujali odd zilizotolewa)

2. Hana timu dhaifu kwani matokeo haumuliwa na dakika tisini hivyo usiidharau sana timu ukaishiwa kuliwa hela zako ( kama unataka majibu kama ulivyobeti nenda kwenye hizo timu ukacheze wewe ulazimishe matokeo utakavyo)

3. Suala la kubeti timu chaeche ama nyingi risk ya kuliwa ipo pale pale

4.Unapobeti timu chache maana yake odd nazo ni chache kwa maana nyingine lazima uweke hela kubwa , na haimaanishi kwa kuwa umeweka hata timu moja basi hutoliwa

5. Mfano wa timu 3 za over 2.5 ulizocheza kwa 30,000/= nikiangalia odd zake hazizidi hata 7 na ni moja wapo ya option ambayo ina risk kubwa sana kupotea, ukirudia tena hata mara 10 yamkini ukabahatisha mara 1 tuu, na ndio chance uliyokutana nayo na usijione bingwa sana

6. Tofauti ya mtu anayebeti timu nyingi na chache ni kwamba yule anaye beti timu chache anapoteza fedha nyingi sana katika ku bet na kama ni mfanya biashara jiandae kufilisika, lakini huyo anayebiti timu nyingi anakusanya odd nyingi kwa hela kidogo na akibahatisha mara moja hata kwa miaka 5 anakuwa ametoka kama wewe ulivyobahatisha hiyo perfect 12

7.Huu ni moja kati ya mchezo hatari sana na ningekuwa na mamalaka ningefukuza makampuni yote ya kubeti na kufungia mitandao yote ya online betting Tanzania kwa kuwa inazalisha Taifa maskini, watu hawataki kufanya kazi wanatarajia miujiza, wanafunzi wanaliwa ada, wazazi wanaliwa hela za kutunza familia, wafanyabiashara wanafilisika, watumishi wa Umma hawaridhiki na mishahara kwani wanazipeleka huko, watu hawafanyi kazi ngumu kutwa kucha wanatembea na vikaratasi mfukoni,

8. Bunge lipiteshe sheria ya dharura kuzuia mchzo huu haramu ambao unashusha thamani ya shilingi kwa kasi, sijui wachumi wako wapi, sijui wizara ya fedha inasema nini kuhusu hili, hali ni mbaya zaidi ya maelezo, kampuni zinazidi kuongezeka bongo kuja kuchota hela za bure, kwa siku watu wanaliwa zaidi ya bilioni moja na mshindi wa kupata kama ulizozipata waweza kupata baada ya miezi hata minne.

9. Hapo unataka kumaanisha watu kuwa kwa kuwa wewe umebahatisha , basi kila mtu acheze na atapata kiasi kama wewe, my friend you are wrong. Hata wewe mwenyewe ukirudia hizo option ulizopata unaweza kuanza mwanzo wa msimu mpaka mwisho kila siku unaliwa tuu na haijawahi kujirudia. Kumbuka wakati wewe umebahatisha hizo ni sehemu ya kiasi kidogo cha hela za watanzania wenzako zinazoliwa na huyo kanjubai kiulaini, na sasa mmeongezewa sport pesa, wachina nao wamesambaza madude mengine yanafanana na mashine za kutolea mafuta sheli zipo karibia kila baa, vibanda vya biashara vimefungwa na kufunguliwa ma TV yanayokimbiza mbwa kila kona , sasa hapo kuna uchumi???

10. Say no to betting
Yaaaani umeongea ukweli kabisa, mpaka hata mimi umenigusa maana huu mchezo nauchezaga sana, kusema ukweli huu mchezo ni bahati tu waweza weka hata timu moja na bado ukaliwa tu
 
Wakuu...
Mnachonga sana nimeona.
Saa tano nikiwa nimetulia nita upload mkeka wa perfect 12, mkeka wa U20 korea jana, na mkeka wa Brazil primera jana usiku.
Pia nita weka na mkeka niliopoteza 55,000 baada ya New Zealand ku draw mechi ya U20 juzi korea.
Kuna watu wananifata pm kutaka kujua identity yangu. Tafadhali siko tayari kujibu pm yoyote aisee.
 
Wapi nimeonesha dharau bro...
Ama unanionea wivu tu na bingo langu.
Hili ni zali tu mzee. Nimeliwa sana buku buku zangu usione hivi.
Kaa na wivu yako tuone utaishia wapi sasa.
Sasa nikuonee wivu kisa hivyo visenti vya kufanyia shopping.!?!?
Sincerely ningekuonea wivu kama ungekua unaishi milele, ila hizo hela za madafu NOPE!
Ooh umeuliza wapi umeonyesha dharau
unadai watu wanabeti kimaskini blah blah blah rejea uzi wako
 
Sasa wakil wa kubet tupe mshindi wa mechi ya leo ni moja tu ili tule mzigo.
 
[5/26, 13:03] ‪+91 91686 90361‬: Aus vs SL
[5/26, 13:03] ‪+91 91686 90361‬: Inplay
[5/26, 13:03] ‪+91 91686 90361‬: CriCket collin
[5/26, 13:03] ‪+263 77 930 0038‬: Aus vs SL

TIP
[5/26, 13:04] ‪+91 91686 90361‬: Aus to win
[5/26, 13:04] ‪+91 91686 90361‬: When. Odd reach to 1.40
 
SIri YA USHINDI KIMBIA INBOX

ANAEKWAMBI NJOO NBOX MWAMBIE AJE OUTBOX
 
kusema kweli inakuwa ngumu coz hujui chochote utabet vip huj
Mimi hata siwaelewi wala nini?? Hivi Kama hufuatilii mpira unaweza ukabet na ukashinda kweli?
hujui Manchester akicheta za timu yoyote umpe nani utashindaje?
 
Yani uchukue hela benki bila kuonyeshwa kwe tv? Hii ngumu kumeza.
 
⚽ £20-£100 Bet 1 ⚽

▪ Guangzhou Evergrande v Chongqing
▪ Guangzhou Evergrande o1.5 Team Goals
▪ £20.00
▪ £30.00
 
WEKENI MIKEKA ACHENII POROJOO ZA ABUNUASI
 
Usitudanganye

Moja mshindi hapewi kiasi chote alichoshinda maana kuna kodi ndani yake hivyo kutuaminisha kuwa uneshinda milioni 109 na kuzipata zote hiyo ni moja wapo ya uongo....

Kule kwenye jukwaa letu ulisema kuwa malipo yanafanyika kwa benki 3 yaani Exim, Crdb na Dcb.
Ukasema tena kuwa umeshafungua acc exim jana

Leo unasema kuwa umepewa checque iliyoandikwa 109mil

Leo unatuambia kuwa unaenda chukua hela...

Kwa nijuavyo checque ikishazidi 1mil kama wewe sio mmliki wa account au signatory basi hiyo hela hutapewa zaidi utaambiwa udeposit checque


Hadi hapo nahitimisha kuwa wewe si mahindi wa zile hela

Wewe ni muongo



Bet What You can Afford to Lose
Bet Responsibly
kule aliambiwa atupie mkeka wake kimyaaa,anataka aonekane ili shori wamcheki pm awaamshie dude pasipo kuwapa kitu(maana hana kwakua yy siye aliyekula
 
[5/26, 13:29] ‪+91 96171 24784‬: Play 1st half goal in this
[5/26, 13:29] ‪+91 96171 24784‬: Odd 2.00
 
Back
Top Bottom