Una hamu ya kumjua Dinazarde? Huyu hapa.

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Yule mtoto shoo rangi ya jogoo aka Dinazarde au ukipenda muite Mkaanga Samaki au beki tatu ndo huyu hapa.

Na wigi lake sijui la zambarau hilo na jeans yake ya mchaniko....akinenguka nenguka kwenye gari ambayo nadhani itakuwa ni ya bwana wake [sasa sijui bwana yupi....mtapeana wenyewe ubuyu huko kwenye maPM yenu].

 
Dunia ina mambo, hebu fikiri hatari za barabarani halafu binaadamu anafanya mizaha ya aina hii!
 
Dunia ina mambo, hebu fikiri hatari za barabarani halafu binaadamu anafanya mizaha ya aina hii!
Huyo hawezi kugonga aisee, kuwa na amani, yuko speed 20 tu hapo... Hata hivyo kwa style aliyoweka kiti chake, na alivyoshika usukani, bado inaonyesha hana control kiviile.
 
Huyo hawezi kugonga aisee, kuwa na amani, yuko speed 20 tu hapo... Hata hivyo kwa style aliyoweka kiti chake, na alivyoshika usukani, bado inaonyesha hana control kiviile.
Hapo tatizo umeliona, hana control na ujue barabarani tatizo hutokea in a split of second suala la kujihami na kuepusha matatizo kwa watumiaji wengine wa barabara linakuwa gumu sana.
 
Huyo hawezi kugonga aisee, kuwa na amani, yuko speed 20 tu hapo... Hata hivyo kwa style aliyoweka kiti chake, na alivyoshika usukani, bado inaonyesha hana control kiviile.

Hapo mwenyewe sijui alikuwa anatokea Mabatini akielekea Buzuruga Plaza pale gym...
 
Mzuri Sana,nasikiaga alifanyaga plastic surgery kaka. Kwa tetesi za mtaani
Hizo sijazisikia. Kuna kipindi nilimfatilia nikasikia kuna jamaa alimpangishia nyumba hapo mbezi beach lakini baada ya miezi miwili alimtimua kisa binti ajatulia. Natafuta namba yake na mimi nipime oil.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…