Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Yule mtoto shoo rangi ya jogoo aka Dinazarde au ukipenda muite Mkaanga Samaki au beki tatu ndo huyu hapa.
Na wigi lake sijui la zambarau hilo na jeans yake ya mchaniko....akinenguka nenguka kwenye gari ambayo nadhani itakuwa ni ya bwana wake [sasa sijui bwana yupi....mtapeana wenyewe ubuyu huko kwenye maPM yenu].
Na wigi lake sijui la zambarau hilo na jeans yake ya mchaniko....akinenguka nenguka kwenye gari ambayo nadhani itakuwa ni ya bwana wake [sasa sijui bwana yupi....mtapeana wenyewe ubuyu huko kwenye maPM yenu].