Una hamu ya kumjua Dinazarde? Huyu hapa.

Hata Mimi huwa natania tu kaka najua maisha ya JF ni utani mwingi japo kuna ambao chini ya kapeti wapo kikazi zaidi .


Ila kwa hili sidhani kama lina uhalisia just kuchangamsha baraza[emoji119] [emoji119] [emoji2]
Chini ya kapeti ni yepi hayo?
 
Naunga mkono hoja...

Comrade Nyani Ngabu kama itakupendeza weka hii picha niliyokupiga wakati ukisomea ufundi umeme pale NVTC Chang'ombe. (Najua hii NVTC kuna madogo watakuwa hawajawahi kuisikia).


Wasiojua NVTC ni madogo hao ,wao wanafahamu VETA tu,nakumbuka Mkuu wa pale Changombe wa enzi hizo alikuwa anaitwa Morgan Manyanga long time kitambo.
 
Hehehee heri leo umefunguka...

Kisa cha kujitesa hivyo nini?
Hahahahah nimefunguka,halaf tabia ya kumtafutia totozzz kwenye party si utakuja twende tukapombeke na Heineken [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahahah nimefunguka,halaf tabia ya kumtafutia totozzz kwenye party si utakuja twende tukapombeke na Heineken [emoji23][emoji23][emoji23]

Unataka nimletee totoz zaidi? We humtoshi?
 
Yani mpaka nikuambukize mimba wallah

Comrade huyu mchuchu anataka eti nikuletee totoz zaidi...naona kajipima akajiona hatakutosha peke yake.

Hebu ngoja niwacheki Devota, Libina, na Malkia wa Nyuki kwenye whatsapp...

Btw, huyu Malkia wa Nyuki ni moto wa kuotea mbali na kwa nguvu ya kizuri kula na nduguyo basi sina budi kumleta kwako comrade.
 
Hakika wewe na mimi tutakuwa sote kwenye ufalme wa mbinguni.....

Katika hii safari naona tuanze na huyu Malkia wa Nyuki....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…