Una Idea ila kuiweka sokoni inakuwa vigumu? Tengeneza wajinga wengi sana akilini mwako na utatoboa

Una Idea ila kuiweka sokoni inakuwa vigumu? Tengeneza wajinga wengi sana akilini mwako na utatoboa

Inaonekana wewe ni maskini sana tena wa kutupwa.

Yaani hapo ulipo unanuka umaskini na hiyo hela uliyojumlisha hapo haujawahi kuishika wala hutokaa uishike maishani mwako kwa sababu una mitazamo na akili za masikini.

Hapo unampigia mwenzako anaingiza kiasi gani na kuhitimisha kwamba ameshatoka pasipo hata kujiuliza wala kudadisi operating costs za hiyo project yake ni kiasi gani na anabakiwa gani na hao unao waona wewe ni wajinga wananufaika kiasi gani. Una akili mbuzi sana.

Halafu mnashangaa Ontario kutoza hiyo hela kidogo mnaiona nyingi, kweli nchi yetu imejaza masikini sana.

Hebu angalia hapa huyu trainer anavyo charge
a1331a87210472f1bdde46ce286dc30a.jpg


Huyo jamaa anafundisha forex kwa 6,000R ambayo ni sawa na Tsh.985,300 kwa kila kichwa. Na hapo anatoa training ya siku tatu tu. Na kila wiki huwa anafundisha watu 20.

Sasa Leo hii Ontario amewafanyia favor kabisa kwa bei chee mnaanza kumuangalia kwa jicho la husuda na chuki, vipi kama angeamua kutoa training kwa fee ya $300 si ndio mngempelekea takukuru mpaka nyumbani kwake?

Acha wivu pambana na umasikini wako.
Mbona matusi mingi mingi Mkuu! Kwani kutolea mfano ili watu waelewe ni dhambi!?!?
 
Ila watu wana wivu hii thread imegeuka ya kujadili ONTARIO na forex kazi kwelikweli
 
mimi nimependa akili ya dogo wa forex yule....
Sisi wajinga wengine tulianza kufanyia kazi taarifa ya "dogo wa forex" kama ulivyoomuita tangu may 26 kwa kusoma vitabu alivyopendekeza ambavyo kwa bahati mbaya hakukuwa na duka lolote la vitabu nchini lenye hivyo vitabu.

Mimi binafsi (mjinga Mimi) niliamua kuprint kitabu na nikawa nasoma huku nikimuomba Mungu aniwezeshe nielewe.

Karibu miezi minne na wiki kadhaa sasa matunda nimeanza kuona.
"If you can't fight them join them"
[HASHTAG]#readmorethanyoutrade[/HASHTAG]
Screenshot_20171002-065646.png
 
Sasa utofaitishe kutengeneza wajinga na kutengwneza fursa. Forex ni fursa. Haitengenezi bali inaondoa ujinga. Kwanza ujinga hautengenezwi. Ujinga upo by default hivyo knowledge inakuja kuuondoa
Hii mada ni kubwa kwako si dhani kama utaielewa, ulucho jibu hapa ni nje ya nilicho elezea na inaonyesha ni vipi ulivyo na uwezo mdogo sana
 
Sasa utofaitishe kutengeneza wajinga na kutengwneza fursa. Forex ni fursa. Haitengenezi bali inaondoa ujinga. Kwanza ujinga hautengenezwi. Ujinga upo by default hivyo knowledge inakuja kuuondoa
NGOJA NIKUSAIDIE.

Ujinga ninano zungumzia sio Physical bali ni Picha ya wajinga inayo tengenezwa. Inajengwa taswira ya wajinga ambao ndo watakuwa implementa wa Idea.

Hapa inabidi tuwe tunaingia na Flip chart kabisa na Markerpen
 
Ulitaka Bure?
Labda nibadilishe lugha tuelewane vizuri "tuite kutafuta wajinga wengi ili ku implement idea yako na kisha kutusua"

Tatizo naona watu humu wanakuja na mihemuko utafikiri ujinga ni tusi au kilema

Kutusua kupitia wajinga ndio mfumo wa dunia ulivyo! Ontario ametukusanya tuliokuwa wajinga wa Forex trading na kupitia kutupa knowledge hiyo atatusua kwa nafasi yake na sisi hatutabaki wajinga tena na pia sisi tunaweza kuamua kutusua kwa kutafuta wajinga wengine na kuwauzia huo ujuzi!

Hata wewe baada ya kuelewa hiyo Forex trading unaweza kuamua kwenda mkoa fulani na kukusanya wajinga ukatusua kupitia kuwapa knowledge ambayo hawakuwa nayo!

Nahisi wengi bado wanadhani ujinga ni tusi na kusema mtu kutusua kupitia ujinga wa mwenzake kwamba kaiba! This is not correct!!
 
Sasa utofaitishe kutengeneza wajinga na kutengwneza fursa. Forex ni fursa. Haitengenezi bali inaondoa ujinga. Kwanza ujinga hautengenezwi. Ujinga upo by default hivyo knowledge inakuja kuuondoa
Off course sio kuwatengeneza bali ni kuwatafuta ili kupitia gape la ujinga huo, wewe utengeneze kipato na wao watoke gizani!
 
Hii inataka uwe na akili kweli kweli, Tusiokuwa na akili kubwa inakuwaje sasa
 
Mkuu Forex mbona inalipa if you take it seriously sema kama mgeni na hayo mambo na unataka faida tuu shida inaanzia hapo na wabongo wengi nimeona wao wanaangalia upande wa faida tu hawajui sometimes kuna kukosa pia Mfano mzuri tu ni mimi mwenyewe kipindi cha nyuma nilikuwa nafanya Binary Option hii haijatofautiana sana na Forex kilichonitokea mimi ni kwamba nilivoanza nilipoteza hela kidogo nikaangalia nimekosea wapi nikaweka hela tena kiukweli mambo yalikuwa mazuri tu mpaka kufikia mwaka jana mwezi wa sita kama sikosei kuna ka hela nikakapoteza kidogo lakini hapo nilikuwa nisharudisha hela yangu na faida juu na kitu nimegundua ni kwamba ningechukulia serious hadi leo basi ningekuwa mbali mimi nikistop kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu.

Kwa hawa wa Forex wapo watakao fika mbali na pia wapo ambao watakuwa wasindikizaji wataamua kuishia njiani.

Watu wana jaribu kufananisha Forex na Sports Betting wakati they are very different. Kwahyo time will tell.
Nakusifu kwa kuwa na id nyiiingi
 
Back
Top Bottom