Old - Hand
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 2,042
- 1,917
Hakuna asiyeijua hii forex trading....Forex is a real business, nilioisoma kwenye international finance 3rd year Mzumbe. Tatizo letu wa bongo ni kuwa tuko miaka 50 behind technology. Kutokua na ujuzi na maarifa sahahihi kunatuponza sana. Anyway, nakubaliana na Mr Chasha tatizo letu wabongo ni kukosa consistency. Do what you love and let the money follow you, usiifuate pesa.
Kinachozunfunziwa ni format ya kijana ontario ni ya kukamata wajinga na kuwala.
Na ndio maaana anatumika km reference kwa hii thread