Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,336
- 4,731
Leo nimeshuhudia watu wakitembea kuwashawishi watu wajiunge na chama chao cha siasa, Watu hao walikuwa wawili walinifuata na mimi wakanambia nijiunge kwenye chama chao ili niwe mwanachama nipate na kadi ya chama chao huku wakinishawishi kuwa siyo gharama kubwa kulipia kadi hiyo kwa mwaka.
Jambo hilo likanipa kuwaza je, kila aliye na kadi ya chama aliichukua kwa kuwa alikipenda chama hicho na ameona kina Sera, mitazamo na malengo ya chama hicho ameyaridhia au aliichukua kwa minajiri gani huenda kuna jambo linafanyika na kadi hizo za vyama siasa tofauti na utambulisho wa kuwa mwanachama wa chama cha siasa.
Hebu nambieni kadi ya chama uliyonayo uliichukua kwa lengo la utambulisho wa uanachama au kuna jambo gani inakusaidia tofauti na hilo?
Jambo hilo likanipa kuwaza je, kila aliye na kadi ya chama aliichukua kwa kuwa alikipenda chama hicho na ameona kina Sera, mitazamo na malengo ya chama hicho ameyaridhia au aliichukua kwa minajiri gani huenda kuna jambo linafanyika na kadi hizo za vyama siasa tofauti na utambulisho wa kuwa mwanachama wa chama cha siasa.
Hebu nambieni kadi ya chama uliyonayo uliichukua kwa lengo la utambulisho wa uanachama au kuna jambo gani inakusaidia tofauti na hilo?