Una kadi yoyote ya chama cha Siasa? Uliichukua kwa madhumuni gani?

Una kadi yoyote ya chama cha Siasa? Uliichukua kwa madhumuni gani?

Kwa hiyo ili kupata huduma za kijamii kwa urahisi inabidi uwe mwanachama wa CCM la sivyo inakula kwako!
Ukweli ndiyo huo.

Hata kwenye tenda za serikali wakiwa kwenye vikao vyao vya kuzipitisha baada ya kujua percent yao swali lingine huwa una kadi ya chama gani?j Jichanganye sema huna au taja chama kingine usiponyang’anywa na tenda yenyewe.
 
Sijaandika hio comment kudanganya au kupata like mkuu nimeandika kwasababu ndio uhalisia. Ninao wana mpaka ikulu wanafanya kazi wakishapasi interview wanaulizwa mlego wao wa siasa na wakisema hawana chama hapo huambiwa kachukuwe kadi ya ccm upate ajira. Juzi kuna mwana kakosa ajira sababu kuna wanawake wametoa rushwa ya ngono ni kazi ya jeshini hawa wote wana kadi za ccm.
Uwongo, hata sisi tuna rafiki na ndugu huko ikulu, uwongo, alafu Juzi kazi gani za jeshi zimetoka?.la mwisho sasa huyo mwana wako nae chizi. Kaja anakuoa stry kagomewa kazi kwwasbabu ya kadi. Yaani wana kadi na kutiwa wametiwa. Unasema kadi ndio imepitisha.

Mwambie jamaaa yako akachukue kadi atiwe apewe kaazi.

Story hizo za vijiweni babuuu.
 
Siku hizi ukiomba ajira wana kuuliza unayo kadi ya CCM, kama huna na ajira hupewi.
Ndiyo sababu wana wanachama wengi "hewa" kwa maana hata kura hawawapigii..

Kuna mtu alisema unatakiwa kuwa na kadi 2 kimkakati tu. Moja ya chama cha mboga mboga, nyingine ya kile kinachoibukia
 
Dah, Tanzania maendeleo tutayapata kwa kuchelewa sana.
 
Ndiyo sababu wana wanachama wengi "hewa" kwa maana hata kura hawawapigii..

Kuna mtu alisema unatakiwa kuwa na kadi 2 kimkakati tu. Moja ya chama cha mboga mboga, nyingine ya kile kinachoibukia
Nami naenda kuongeza idadi ya wanachama hewa, kwanza nakichukia basi tu nitaichukua kadi kisha nitakuwa naitunza nje kwenye banda la mbwa ndani kwangu haingii maana ni kama naweka mkosi tu ila sina namna
 
Nami naenda kuongeza idadi ya wanachama hewa, kwanza nakichukia basi tu nitaichukua kadi kisha nitakuwa naitunza nje kwenye banda la mbwa ndani kwangu haingii maana ni kama naweka mkosi tu ila sina namna
Hapo kwenye banda la mbwa hahahaaaaa
 
Angalau sasa kuna jitihada za kuwatafuta watu na kujaribu kuwarubuni wajiunge na vyama vya siasa. Wengi hujiunga kwa lengo la kukidhi maslahi binafsi iwe mtu mmoja mmoja au kitaasisi.

CCM na huko nyuma TANU na ASP ndio vilikuwa vyama vinara vya kuandikisha watu uanachama kwa nguvu.

Mimi kadi yangu ya kwanza kuuziwa na baadaye kuwa mwanachama wa umoja wa vijana wa TANU nilipewa nikiwa Middle School.

Kadi ya pili ni ya CCM niliipata Jeshini baada ya mafunzo kijeshi kwa mujibu wa sheria.
 
Back
Top Bottom