Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Penina mwingine huyu hapa.Ukitoa atajua tu na ukizaa atakuja kujua tu akijua jiandae kwa lolote maana hasira za watu wapole tunazijua usiwe na wasi ngoja aje akufanye hamna atakapo rudi kutoka safarini
Mwanamke akishakuona Unapenda Sana K basi atakuendesha na anajua huna cha kumfamya kutokana na jinsi unavyppenda K.HUu ni ujumbe kwa wanajume wote:
Endeleeni kujifanya ma inncont sana. Mtavikwa taji mbinguni
Ukiona ninavyosota na maisha harafu nije kugundua nasotea watoto ambao si wangu wa kuwazaa.Hapo jambo la msingi kabisa ni kuchukua maamuzi magumu ya kwenda kwa X wake maana ndiye bora kuliko mumewe. Hapo ndoa ishaingia kirusi na asijesababisha jamaa akaenda jela maisha bure
Ndio unajikuta unaenda jela kwa upumbavu wa mkeo na ex wakeUkiona ninavyosota na maisha harafu nije kugundua nasotea watoto ambao si wangu wa kuwazaa.
Oi we jamaa acha hayo mambo ya kuitana Penina sawaPenina mwingine huyu hapa.
Sahihi yaani.....Mke anatakiwa ajue yuko kwako kwa Hisani yako tu na kwamba muda wowote wewe humuhitaji.Ndio unajikuta unaenda jela kwa upumbavu wa mkeo na ex wake
Mkuu huyo mama anataka jina hiloOi we jamaa acha hayo mambo ya kuitana Penina sawa
Shida yeye anajua kuwa yupo kwako kujishikiza ila anapenda kuwa na Ex wakeSahihi yaani.....Mke anatakiwa ajue yuko kwako kwa Hisani yako tu na kwamba muda wowote wewe humuhitaji.
we nawe kahuni sana,,apo shda ako uchungulie nyuchi za watu πππππAlafu assume docta mwenyewe ndo mimi sasa ππππ
ππππ Na wee mgonjwa kwani...we nawe kahuni sana,,apo shda ako uchungulie nyuchi za watu πππππ
umalajah umalajah umalajah kijanaaaaaaaπππππππ Na wee mgonjwa kwani...
Ukuje hapa utibiwe
ππππUzini wewe, ujute wewe, sasa usaidiweje
Kwahio ndoa tunaitana Penina sivyo mkuu atakae changia Penina sivyoMkuu huyo mama anataka jina hilo