Parabolic
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 2,580
- 1,987
So what?Tujuzane unayo mangapi?
Na kwa siku unaingia yote?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So what?Tujuzane unayo mangapi?
Na kwa siku unaingia yote?
mkuu naona umemalizia na kichinaBora mimi situmii hiyo kitu kwanza umbea mwingi na majungu..nilipojua j.f hiyo kitu niliifuta ila baadae nitairidisha[emoji12] [emoji12]
So far nimeshahama ofisi 4, nikihama ndo ntolee hio Najitoa mazima kabisaUkihama ofisi?
Duhhh!!! La Primary,chuo,diet,ujasiriamali,Bible Champions,women only,wabeba maono,sports,mapishi,duhhh!! Mengiiii[emoji85] [emoji23] [emoji87] ......ila hapo nimegawa kny simu mbili halafu yote ni admn[emoji23] [emoji23] [emoji23] (just joking)[emoji125] [emoji125]
Kuna watu wamekuwa hadi watumwa wa haya ma-group! Usiombe uwe nao sehemu maana watakuwa busy kuchungulia messages za ma-group yote wanasahau kabisa kuwa wako na wenzaoKuna dada tunafanya nae kazi , ana makundi 46
Hahahahaaaaa, group la watu wawili tu!!!Tuanzishe group moja mi na wewe.