titimunda
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 7,571
- 9,789
1.moderation is always the key.sio unafakamia mibange kama unalipwa au kama ugali.one or two joints a day or a week sio mbaya.Kanuni za matumizi yake ni zipi mkuu.!??
2.usitumie kush kama kimbilio ukiwa na stress ama msongo wa mawazo.weed is strictly for recreational purpose.
3.Kula vizuri.bangi inaboost sana mmengenyo wa chakula tumboni.sasa wewe hata uhakika wa mlo mmoja kwa siku huna alaf unasmoke lazima udate
3.epuka kuvuta kwenye vijiwe vya wahuni.tafuta sehemu tulivu ufanye yako
4.jipime mwenyewe kama akili yako inaweza kuihimili kama unajiona kabisa kichwa maji achana nayo.sio kila mtu inamfaa
5.jua nini kinaingia mwilini mwako sio tu sababu umeambiwa ni ganja unajivutia tu.lazima ujue ni ya aina gan,inatokea wapi,THC iko asilimia ngapi etc.
6.hakikisha unainyonga mwenyewe au unashuhudia ikiwa inanyongwa.wengine wanachanganya na madawa ya kulevya wenyewe wanaita cocktail ukivuta hyo unaingia kwenye uraibu wa unga.utaskia jamaa kavuta mjani kawa chizi ndo inakuwaga hyo mixa.
7.sio lazima utumie na wanaotumia wanatafautiana.Ganja inavutwa na kuanzia wapiga debe mpaka na viongozi na watu wa nyadhifa tafauti ktk jamii.wengine ukiambiwa wanatumia huwezi amini.kuna mpaka mbunge alitoa hoja bungeni kuitaka serikali iihalalishe.
ova