Una Miaka 30+ unafata nini night club?

Una Miaka 30+ unafata nini night club?

Kuna hao 30+ hawana familia na Wala hawajarajii kabisa kuwa na familia ndio maana Huwa wanaenda huko pia nawao kujaribu bahari Yao huko
 
Tunafanan yaani tangu nifike tu chuo ile miaka 23 , hizo mambo zimenishinda kama kwenda club, kuweka party , kufungulia mziki sauti ya juu wazee wa subwoofer na kwenda mkesha.
 
Wewe endelea kujifungia ndani mama zako mkeo na dada zako tupo nao huku club tunawanywesha Savana na tunaenda kulala nao
 
Una miaka 30+ unafata nini club? Ushakuwa mtu mzima, unaenda club kusumbua na kuleta taharuki kwa wanafunzi wa chuo na watoto waliozaliwa 2005.

Unajaza tu nafasi club watoto wanashindwa kuenjoy. Acha usumbufu!, Kaa nyumbani fundisha wanao Maths na muandiko

Kama unapenda sana night outs, tafuta kanisa lenye mkesha au msikiti ukamrudie Mungu, umri wako umeenda, wewe ni wakufa muda wowote, waache vijana wafurahie ujana wao bila usumbufu wako mzee mwenzangu.
Maneno ya mtu ambaye hata buku inamshinda, tafuta pesa kijana hayo mambo ya umri ni namba tu. Si ajabu Haji anawapindua kwenye kuchukua pisi kali.
 
Una miaka 30+ unafata nini club? Ushakuwa mtu mzima, unaenda club kusumbua na kuleta taharuki kwa wanafunzi wa chuo na watoto waliozaliwa 2005.

Unajaza tu nafasi club watoto wanashindwa kuenjoy. Acha usumbufu!, Kaa nyumbani fundisha wanao Maths na muandiko

Kama unapenda sana night outs, tafuta kanisa lenye mkesha au msikiti ukamrudie Mungu, umri wako umeenda, wewe ni wakufa muda wowote, waache vijana wafurahie ujana wao bila usumbufu wako mzee mwenzangu.
Mbona mnatusakama twenye miaka 30 acha wivu huo
 
Una miaka 30+ unafata nini club? Ushakuwa mtu mzima, unaenda club kusumbua na kuleta taharuki kwa wanafunzi wa chuo na watoto waliozaliwa 2005.

Unajaza tu nafasi club watoto wanashindwa kuenjoy. Acha usumbufu!, Kaa nyumbani fundisha wanao Maths na muandiko

Kama unapenda sana night outs, tafuta kanisa lenye mkesha au msikiti ukamrudie Mungu, umri wako umeenda, wewe ni wakufa muda wowote, waache vijana wafurahie ujana wao bila usumbufu wako mzee mwenzangu.
30 mbali kote huko. mtu wa miaka 20+ tu hatakiwi kukanyaga club. anatakiwa kukaa nyumbani ajifunze coding.
 
Wengine hata mziki hawachezi wakienda huko wao wanasikiliza mziki tu na kula vitu vyao,kwakua watoto hawana hela ndio wanafuata hao wakubwa wao ili wapate hela,it’s a win+win situation.
 
Maneno ya mtu ambaye hata buku inamshinda, tafuta pesa kijana hayo mambo ya umri ni namba tu. Si ajabu Haji anawapindua kwenye kuchukua pisi kali.
Life start at 45+ watoto wakali unaokota kama mchanga, tena they don't ask bout ages!, tutafute mkwanja, tupate ndinga kali.
 
Una miaka 30+ unafata nini club? Ushakuwa mtu mzima, unaenda club kusumbua na kuleta taharuki kwa wanafunzi wa chuo na watoto waliozaliwa 2005.

Unajaza tu nafasi club watoto wanashindwa kuenjoy. Acha usumbufu!, Kaa nyumbani fundisha wanao Maths na muandiko

Kama unapenda sana night outs, tafuta kanisa lenye mkesha au msikiti ukamrudie Mungu, umri wako umeenda, wewe ni wakufa muda wowote, waache vijana wafurahie ujana wao bila usumbufu wako mzee mwenzangu.
Inakuuma sana ?....waache watu wale maisha we mwehu nini
 
Una miaka 30+ unafata nini club? Ushakuwa mtu mzima, unaenda club kusumbua na kuleta taharuki kwa wanafunzi wa chuo na watoto waliozaliwa 2005.

Unajaza tu nafasi club watoto wanashindwa kuenjoy. Acha usumbufu!, Kaa nyumbani fundisha wanao Maths na muandiko

Kama unapenda sana night outs, tafuta kanisa lenye mkesha au msikiti ukamrudie Mungu, umri wako umeenda, wewe ni wakufa muda wowote, waache vijana wafurahie ujana wao bila usumbufu wako mzee mwenzangu.
Unaona tunakuja kukuibia madem ambao umeshindwa kuwahonga?
 
Back
Top Bottom