Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anategemea aopoe mademu visu kwa boom[emoji57]hamna namna lazma u.t0mbe.weUnategemea boom, mwenzio analipwa 5m, lazima demu wako agongwe
Ila kuna wanachuo wana maamuzi magumu sana, unakuta ana laki7 za boom, anahonga laki3 kwa night 🌃mojaanategemea aopoe mademu visu kwa boom[emoji57]hamna namna lazma u.t0mbe.we
Basikie au siobaeleze
baeleze
Maneno ya mtu ambaye hata buku inamshinda, tafuta pesa kijana hayo mambo ya umri ni namba tu. Si ajabu Haji anawapindua kwenye kuchukua pisi kali.Una miaka 30+ unafata nini club? Ushakuwa mtu mzima, unaenda club kusumbua na kuleta taharuki kwa wanafunzi wa chuo na watoto waliozaliwa 2005.
Unajaza tu nafasi club watoto wanashindwa kuenjoy. Acha usumbufu!, Kaa nyumbani fundisha wanao Maths na muandiko
Kama unapenda sana night outs, tafuta kanisa lenye mkesha au msikiti ukamrudie Mungu, umri wako umeenda, wewe ni wakufa muda wowote, waache vijana wafurahie ujana wao bila usumbufu wako mzee mwenzangu.
Mbona mnatusakama twenye miaka 30 acha wivu huoUna miaka 30+ unafata nini club? Ushakuwa mtu mzima, unaenda club kusumbua na kuleta taharuki kwa wanafunzi wa chuo na watoto waliozaliwa 2005.
Unajaza tu nafasi club watoto wanashindwa kuenjoy. Acha usumbufu!, Kaa nyumbani fundisha wanao Maths na muandiko
Kama unapenda sana night outs, tafuta kanisa lenye mkesha au msikiti ukamrudie Mungu, umri wako umeenda, wewe ni wakufa muda wowote, waache vijana wafurahie ujana wao bila usumbufu wako mzee mwenzangu.
NAKAZIAHao wanafunzi wa chuo na watoto wa 2005 wanaenda night club kuvizia wanjomba wa 30+ maana nyie wa bellow 30 mnaonekana wa hovyo tu
30 mbali kote huko. mtu wa miaka 20+ tu hatakiwi kukanyaga club. anatakiwa kukaa nyumbani ajifunze coding.Una miaka 30+ unafata nini club? Ushakuwa mtu mzima, unaenda club kusumbua na kuleta taharuki kwa wanafunzi wa chuo na watoto waliozaliwa 2005.
Unajaza tu nafasi club watoto wanashindwa kuenjoy. Acha usumbufu!, Kaa nyumbani fundisha wanao Maths na muandiko
Kama unapenda sana night outs, tafuta kanisa lenye mkesha au msikiti ukamrudie Mungu, umri wako umeenda, wewe ni wakufa muda wowote, waache vijana wafurahie ujana wao bila usumbufu wako mzee mwenzangu.
Life start at 45+ watoto wakali unaokota kama mchanga, tena they don't ask bout ages!, tutafute mkwanja, tupate ndinga kali.Maneno ya mtu ambaye hata buku inamshinda, tafuta pesa kijana hayo mambo ya umri ni namba tu. Si ajabu Haji anawapindua kwenye kuchukua pisi kali.
Inakuuma sana ?....waache watu wale maisha we mwehu niniUna miaka 30+ unafata nini club? Ushakuwa mtu mzima, unaenda club kusumbua na kuleta taharuki kwa wanafunzi wa chuo na watoto waliozaliwa 2005.
Unajaza tu nafasi club watoto wanashindwa kuenjoy. Acha usumbufu!, Kaa nyumbani fundisha wanao Maths na muandiko
Kama unapenda sana night outs, tafuta kanisa lenye mkesha au msikiti ukamrudie Mungu, umri wako umeenda, wewe ni wakufa muda wowote, waache vijana wafurahie ujana wao bila usumbufu wako mzee mwenzangu.
Hao mabinti wenyewe sasa hivi wanataka watu wazimaUkiona unaamkiwa shikamoo na mabinti jua unaenda club kufedheheka, au ukiona unaanza kuitwa mjomba badala ya bro, jua umeaga mashindano
Unaona tunakuja kukuibia madem ambao umeshindwa kuwahonga?Una miaka 30+ unafata nini club? Ushakuwa mtu mzima, unaenda club kusumbua na kuleta taharuki kwa wanafunzi wa chuo na watoto waliozaliwa 2005.
Unajaza tu nafasi club watoto wanashindwa kuenjoy. Acha usumbufu!, Kaa nyumbani fundisha wanao Maths na muandiko
Kama unapenda sana night outs, tafuta kanisa lenye mkesha au msikiti ukamrudie Mungu, umri wako umeenda, wewe ni wakufa muda wowote, waache vijana wafurahie ujana wao bila usumbufu wako mzee mwenzangu.