Una mipango gani kwa miaka 10-20 ijayo?

Una mipango gani kwa miaka 10-20 ijayo?

Kulingana na kazi zangu za freelance upo mpango kazi mwingine wa kuondoka Tanzania ila unahitaji pesa kuukamilisha.

Kwa sasa kuna nchi nyingi zinatoa Digital Nomad Visa ila kuna minimum requirements bado sijakidhi vigezo: kwenye kiasi cha pesa ninachopata kwa mwezi ndiyo tatizo.

Nahitaji kufikia €750 - €2,500 kwa mwezi kuwaza kuondoka Tanzania.

Tayari kuna nchi ndani ya Europe ipo kwenye mipango ila bado siuoni kama ni mpango halisia kwa sehemu niliyopo kwasasa katika maisha.
Mkuu pambania kombe hapa hapa nyumbani bongo Tanzania....

Bongo Kuna fursa nyingi sana Kwa Sasa tafuta giant kwenye field yako au field yeyote jifanye royal Kwa miaka mi nne wewe fanya business intelligence then anzisha chako hope utafanikiwa.....

Cc. Mshana Jr
 
Kila lakheli mkuu....

1. Career Building. Hapa nataka kujenga career yangu kwenye Web Development & Graphic Design (Freelancer) ndiyo kitu ninachifanya kwa sasa ila ninapotaka kufika ni safari ndefu ambayo siwezi kufika kwa usiku mmoja ndiyo maana ujenzi wa career yangu upo kwenye first phase. Malengo ni kuwa bora kwenye hizo field: bora kweli.


Mdogo angu Dunia imebadilica sana nakupa huu ushuuda wa mdogo wetu cousin last born...

Mwaka 2021 alimaliza bachelor degree upande wa computer science na jua computer science ni wide sanaaaa...

Dogo akahudhuria Kila interview kuanzia Takukuru, utumishi, Tra hakupata akajiunga na bro angu ana kampuni ya mambo ya finance na accounting software......

Bro alikua anampa kazi za coding sanaaa mda mwingi yupo pekeake jifungia sana ndani mpaka nikagundua izo kazi za software developer Zina damage Brain 🧠🧠 🤣🤣🤣🤣😂😂😂

All in all naona kama umechagua njia yako hongera timiza hitaji la moyo wako stay safe and blessed
Asante sana kwa maoni yako. Unajua kilichofanya nikimbie Software Development / Programming ni kwasababu haina uhusiano mzuri na mazingira niliyopo.

Mimi kujifunza Programming kwa umri huu nilijua kabisa nitapoteza vitu vingi vya msingi. Ndiyo maana nikachagua career kwenye Web Development na hapo bado nikapunguza mzigo mimi nafanya Front-end Development tu, maybe huko baadaye nitakuwa Full stack Developer. 😂🤝
 
Una plan nzuri, una malengo ya mbali ila kikubwa maisha yana namna yake sio pdf

Nikiwaa na 23 tayar nlikuwa na hyo degree ya IT, graphics nlifanya sana, web nlitengeneza na nlifanyia watu project zile za final year ila maslahi yake ni madogo kikubwa nachoweza kukushauri jaribu kufocus na mtaaa unahitaji nn switch malengo yako vzr lkn jitahidi uwe na multiple streams of income
Asante sana kwa ku-share hii. Nimechukua points. Ni kweli career ya IT kwa hapa nyumbani hailipi sana ndiyo maana mimi nime-base zaidi kwenye International clients. Graphic Design naweza kusema ndiyo kitu nilikipenda kabla hata sijaingia darasa lolote la masomo ya IT. Ilitokea tu napenda sana Sanaa na baadaye nilikuja kujua ni career kabisa watu wanaishi kupitia hiyo.

Ni kweli naangalia pia fursa zilizopo mtaani, back-up plan ipo.
 
Asante sana kwa ku-share hii. Nimechukua points. Ni kweli career ya IT kwa hapa nyumbani hailipi sana ndiyo maana mimi nime-base zaidi kwenye International clients. Graphic Design naweza kusema ndiyo kitu nilikipenda kabla hata sijaingia darasa lolote la masomo ya IT. Ilitokea tu napenda sana Sanaa na baadaye nilikuja kujua ni career kabisa watu wanaishi kupitia hiyo.

Ni kweli naangalia pia fursa zilizopo mtaani, back-up plan ipo.
Uwe blessed sana mdogo wangu
 
Mkuu pambania kombe hapa hapa nyumbani bongo Tanzania....

Bongo Kuna fursa nyingi sana Kwa Sasa tafuta giant kwenye field yako au field yeyote jifanye royal Kwa miaka mi nne wewe fanya business intelligence then anzisha chako hope utafanikiwa.....

Cc. Mshana Jr
Kweli mkuu. Nyumbani ndiyo kila kitu. Hapa ndiyo kuna watu tutakaoelewana ndiyo maana naangalia fursa na njia za kujijenga hapahapa Bongo.
 
Asante sana kwa maoni yako. Unajua kilichofanya nikimbie Software Development / Programming ni kwasababu haina uhusiano mzuri na mazingira niliyopo.

Mimi kujifunza Programming kwa umri huu nilijua kabisa nitapoteza vitu vingi vya msingi. Ndiyo maana nikachagua career kwenye Web Development na hapo bado nikapunguza mzigo mimi nafanya Front-end Development tu, maybe huko baadaye nitakuwa Full stack Developer. 😂🤝
🤓
 
Miaka 10 mpaka mwisho wa 2023
FAMILIA
1. Watoto
kuwekeza kwa wanangu kielimu (darasani kidunia na ujuzi), kiuchumi (investments) Kuwepo pale kwaajili yao na kuwaongoza katika kila hatua (kiuchumi, kiakili kiafya....etc)mpaka watakapofika umri wa chuo au kujitegemea (boarding school haipo kwa plan) and creating beautiful and lasting memories
2. Baba watoto
Kujibamba tu na kuhakikisha tuna furaha, watoto wametukuta na wataondoka watatuacha so maisha lazima yawe bomba nyakati zote
UCHUMI
passive income ya $1M kwa mwaka (real estate, stocks,bonds na mengineyo kadi nnavyojifunza
AFYA
Kula vizuri, mazoezi na kujiweka kukabiliana na changamoto za umri zisizozuilika
Kuendelea kufeed ubongo wangu non toxic contents as much as possible maana dunia imekua na too much negativity
SPIRITUAL
kuwa mtu wa kujitoa sana kwa wahitaji

20 yrs... ya miaka 10 yakitimia ntakua naenjoy tu na baba chanja maana watoto wote watakua watu wazima
 
Back
Top Bottom