Una mshahara wa laki nane, kwanini uchukue mkopo na kuanza kukatwa karibu laki nne?

Una mshahara wa laki nane, kwanini uchukue mkopo na kuanza kukatwa karibu laki nne?

1. Hakuna kitu kama hicho, nimefanya sana consultancies kwenye mabenki.

2. Hivi unafahamu UTT ni kitu gani? Unajua kwamba ipo chini ya wizara ya fedha?

3. Waajiriwa wengi hawana financial literary. Wanaishia kupoteza hizo pesa.
Majibu.
1. Wewe umefanya consultancy, hujui chochote mkuu. Nachokisema hapa nina uhakika nayo 100%.

2. UTT naijua kuliko unavyoijua wewe, ndio maana mara ya kwanza nikakuuliza ndio umeijua leo? Maana unachokiingea kuhusu UTT ni kama vile umebadilishwa na mtu ama umeona mjadala mahala.

3. Unashindwa kutofautisha financial literacy na powerty. Ukiwa na shida hakuna matumizi ya financial literacy, kwanz aupate pesa utatue matatizo yako kwanza.
 
Hoja yako ni kukopa ama UTT?

UTT umeijua leo ama?

Ni mtu asieelewa vyanzo vya uwezkezaji tu anaeweza kupeleka hela zake UTT.

UTT return yake haizidi 5% kwa mwaka sasa hiyo laki 3 na upate 3.6 kwa ambazo jumla na return haitazidi 3.8, hii sio akili.

Weka fixed deposit ya bank ambayo wanatoa kuanzia 9% to 11% ambazo ndio bank nyingi wanatoa sasa.

Tukirudi kwenye kukopa, kuna kitu kinaitwa opportunity cost, uangalie, uchukue leo mkopo ufanyie jambo lako ama usubiri ukusanye kidogo kidogo kwa miaka 3 ama 5 ndio ufanye hilo jambo.

Mwisho inabaki kwenye maamuzi ya mtu kutokana na kipaumbele chake.
Benki gani wanakupa 9% kwa mwaka mzeya nikatie million mia zangu
 
Majibu.
1. Wewe umefanya consultancy, hujui chochote mkuu. Nachokisema hapa nina uhakika nayo 100%.

2. UTT naijua kuliko unavyoijua wewe, ndio maana mara ya kwanza nikakuuliza ndio umeijua leo? Maana unachokiingea kuhusu UTT ni kama vile umebadilishwa na mtu ama umeona mjadala mahala.

3. Unashindwa kutofautisha financial literacy na powerty. Ukiwa na shida hakuna matumizi ya financial literacy, kwanz aupate pesa utatue matatizo yako kwanza.
Wewe jamaa ni mweupe kichwani. Ungekuwa unaijua UTT usingeandika upuuzi kwamba wanatoa asilimia 3.5 wakati hakuna kitu kama hicho.

Wewe ni mshamba na kujifanya mjuaji. Hakuna benki kubwa itakupa FDR ya asilimia 11. Ficha ujinga wako. Juzi tu hapa NMB na CRDB wameleta bonds za 9.5 na hapo ni annually for at least 2 years.
 
Mtu analipwa laki 8 kwa mwezi baada ya makato yote halafu anachukua mkopo wa milioni 10+ na anaanza kukatwa karibu laki 4 kwa miaka mitano.

Hizi akili watu wanatoa wapi? Hela zenyewe hamna cha maana mnafanya na matokeo yake mnasumbua watu kwa kuombaomba na mnapoteza ufanisi kazini.

Unachangia mabenki asilimia 16 kwa mwaka ambayo ni asilimia 80 ya pesa yako unayoipata kwa shida katika miaka mitano. Benki zinanufaika kwa ujinga wa watu wengi.

Kwanini wewe usihifadhi hata UTT shilingi laki 3 kwa mwezi? Kwa mwaka utakuwa na 3.6m na miaka mitano itakuwa 18m, tena hapo bila kuweka faida yake.
Million 10 ya leo si sawa na Million 10 ya mwaka 2030.

Nauli za daladala zitakuwa 2500 au zaidi
 
Kika mtu na maisha yake.

Kama naweza kukopa milioni 10 nikawa nimelemga biashara ambayo inaniingizia 30k,50k mpaka 100k kwa siku, yaani kwa mwezi napata zaidi ya milioni, kuna shida gani kukatwa hiyo laki 4!?
Mkuu ukifuatilia hawa waajiriwa ni kichekesho, hizo hela huwa zinaisha bila maelezo halafu wanaishia kuteseka.

Mimi namuona mtu kuwa mpumbavu kwa kujishushia kipato. Bora asevu hata miezi minne, apate 1.2m halafu hiyo aitumie kufungua biashara ya kumpa 10k mpaka 30k kwa siku.

Hapo atakuwa ameongeza kipato lakini sio upuuzi wa kutoka kwenye laki 8 hadi laki 4 kwa mwezi.
 
Sio kweli, bank nyingi stable kubwa Tanzania wanatoa deposit rate kuanzia 10%+.

Pili why upelele pesa zako UTT wakati unaweza kununua hati Fungani za serikalini ambazo sasa zinatoa riba nzuri tu.

Kupeleka pesa zako UTT ni kama unakua unacheza kamari, una bet wakati kuna vyanzo vingine vya kuwekeza vya uhakika ambavyo unaweka pesa zako ukaa kunywa juice na kuku kwa mrija mpunga unaingia bila jasho.

Kuhusu waajiriwa, watu hawatoki kwenye same background, mtu mwingine ndio kichwa cha familia, wanategemewa kubadilisha hali za nyumbani kwao sasa aache kukopa kisa ni maamuzi ya hivyo sio kweli.

Acha watu wakope watatue matatizo yao, ya huko mbele hayajulikani.
Hati fungani za serikali unafikiri utauziwa ukiwa na million 1?
 
Hati fungani za serikali unafikiri utauziwa ukiwa na million 1?
Hata ukiuziwa za milioni 1 hutaona manufaa maana utalipwa mara mbili kwa mwaka.

Sasa kama ni za miaka 25 hapo faida ni kama 135k ambapo utapewa 67.5k kwa miezi sita

Ikiwa chini ya miaka 25 return pia itakuwa chini ya asilimia 13.5 ya sasa.
 
Wewe jamaa ni mweupe kichwani. Ungekuwa unaijua UTT usingeandika upuuzi kwamba wanatoa asilimia 3.5 wakati hakuna kitu kama hicho.

Wewe ni mshamba na kujifanya mjuaji. Hakuna benki kubwa itakupa FDR ya asilimia 11. Ficha ujinga wako. Juzi tu hapa NMB na CRDB wameleta bonds za 9.5 na hapo ni annually for at least 2 years.
Ona ulivyo mpumbavu kutoa majibu ya jumla jumla.

Siwezi kubishana na wewe hapa hujui chochote. Usilete uzoefu wako wa saccos huko eti consultancy kwenye corporate world. Hujui chochote.
 
Ona ulivyo mpumbavu kutoa majibu ya jumla jumla.

Siwezi kubishana na wewe hapa hujui chochote. Usilete uzoefu wako wa saccos huko eti consultancy kwenye corporate world. Hujui chochote.
Unarukaruka kama chura, umekimbia hoja ya UTT umeenda kwenye FDR baada ya kuaibika.

Haya leta ushahidi wa benki inayotoa FDR asilimia 11. Sidhani hata kama unaelewa FDR ni kitu gani.
 
Hata ukiuziwa za milioni 1 hutaona manufaa maana utalipwa mara mbili kwa mwaka.

Sasa kama ni za miaka 25 hapo faida ni kama 135k ambapo utapewa 67.5k kwa miezi sita

Ikiwa chini ya miaka 25 return pia itakuwa chini ya asilimia 13.5 ya sasa.
Sasa uweke million moja kwa miezi 6 ili upate 135K? Hii hela matumizi yake humalizi hata week.

Hati fungani ni nzuri kama una mshiko mrefu. Mtu mwenye kuanzia 500M anaweza kufanya mambo ya maana sana bila stress za TRA.
 
Sasa uweke million moja kwa miezi 6 ili upate 135K? Hii hela matumizi yake humalizi hata week.

Hati fungani ni nzuri kama una mshiko mrefu. Mtu mwenye kuanzia 500M anaweza kufanya mambo ya maana sana bila stress za TRA.
Yeah, hatifungani zina manufaa ukiweka hela nyingi. Kuna wakati nilimsikia MO Dewji akisema ameweka bilioni 20 kwenye bonds na anapata bilioni 3 (return ilikuwa asilimia 15.89 at the time) kwa mwaka kuiendesha klabu ya simba.
 
Hoja yako ni kukopa ama UTT?

UTT umeijua leo ama?

Ni mtu asieelewa vyanzo vya uwezkezaji tu anaeweza kupeleka hela zake UTT.

UTT return yake haizidi 5% kwa mwaka sasa hiyo laki 3 na upate 3.6 kwa ambazo jumla na return haitazidi 3.8, hii sio akili.

Weka fixed deposit ya bank ambayo wanatoa kuanzia 9% to 11% ambazo ndio bank nyingi wanatoa sasa.

Tukirudi kwenye kukopa, kuna kitu kinaitwa opportunity cost, uangalie, uchukue leo mkopo ufanyie jambo lako ama usubiri ukusanye kidogo kidogo kwa miaka 3 ama 5 ndio ufanye hilo jambo.

Mwisho inabaki kwenye maamuzi ya mtu kutokana na kipaumbele chake.

Wee The Evil Genius unaongea kinyume chake. Wengine tuna ukwasi huko tangu miaka 7 iliyopita. Hatuna stress na kustaafu. Tunapata 14% kwa mwaka. Ila benki ndiyo michosho. Wenyewe wanatoa 5% tu.
 
Hoja yako ni kukopa ama UTT?

UTT umeijua leo ama?

Ni mtu asieelewa vyanzo vya uwezkezaji tu anaeweza kupeleka hela zake UTT.

UTT return yake haizidi 5% kwa mwaka sasa hiyo laki 3 na upate 3.6 kwa ambazo jumla na return haitazidi 3.8, hii sio akili.

Weka fixed deposit ya bank ambayo wanatoa kuanzia 9% to 11% ambazo ndio bank nyingi wanatoa sasa.

Tukirudi kwenye kukopa, kuna kitu kinaitwa opportunity cost, uangalie, uchukue leo mkopo ufanyie jambo lako ama usubiri ukusanye kidogo kidogo kwa miaka 3 ama 5 ndio ufanye hilo jambo.

Mwisho inabaki kwenye maamuzi ya mtu kutokana na kipaumbele chake.
Huna unalolijua hacha kujivua nguo
 
Back
Top Bottom