CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 7,001
- 23,449
Siku hizi watu wengi sana kinachowakwamisha sio kwamba hawana mitaji, wengi mitaji wanayo ila shida ni 1 tu inakuja kwenye suala la fremu wapi atapata pesa ya pango la chumba cha yeye kufanya biashara yake.
Fremu tunajua kila mtu bei zake zilivyo na kadri frem inavyokua sehemu yenye wateja ndio na Bei (kodi) inazidi kuwa kubwa, kwa waishio mijini wanaelewa kodi za fremu zilivyo za moto ambapo bei ya chini kabisa ni laki kwa mwezi.
Ubaya zaidi ni pale mwenye nyumba anapokwambia nyumba yake anapokea kodi kuanzia mwaka, wengine kodi miaka miwili, na kuendelea kutegemea na fremu ipo wapi na watu wanafika dau kiasi gani na ndio mwenye nyumba anavyokutandika za uso.
Turudi kwenye Mada leo nataka washirikisha biashara 7 ambazo hazihitaji fremu ila zinakuhitaji wewe tu na mtaji wako na kikubwa kingine inakuhitaji UTAYARI na MAAMUZI sio uwe tu na mtaji halafu uanze kusema "watanionaje, watanichukuliaje, si ntakuwa waajabu nk nk"
1. MITUNGI YA GESI
Hii biashara haitaki uwe na frem kule bara barani kwa sababu wateja wa hii bidhaaa karibia 90% hawapatikani huko ila wapo huku huku majumbani tulipo,watu wanaoweka biashara hii kule bara barani ni kwa sababu tu unakuta ana biashara zingine ambazo zinahitaji wapita njia,ila kama wewe una mtaji na unafikiria biashara hii ni chaguo lako
Kwa sababu utakaponunua mitungi yako lets say mitungi midogo ya kg 15 (minne) mikubwa size ya kati kg 38 (minne) then kwa siku ukabadilishia wateja gesi wateja wa nne yani mitungi midogo wawili mikubwa wawili.
Faida ya hii mitungi kwa mdogo ni 2000 mpk 3000 itategemea na wewe unauzaje (tufanye ni 2000) then mikubwa faida yake ni 6000 to 5000 itategemea na wewe vile vile unauzaje (tufanye ni 5000) so ukijumlisha wateja wako wa nne utapata 2000*2 + 5000*2 = 14,000 then chukua hiyo 14,000*30 = 420,000 hii itakua pesa yako isiyo na makato ya kodi wala nini yani unaikamata nzima nzima.
(Mtaji inategemea na unataka kuanza na mitungi mingapi)
2. MKAA
Hii biashara nayo haina mbwembwe ni suala la wewe kuangusha gunia mbele ya nyumba unayoishi then kupanga mkaa wako ndani ya mifuko na kishaa unarudi zako ndani kutulia ataetaka mkaa ataita "mkaaaaaaaa" ukiskia utatoka utaenda mpimia au mpatia mkaa wake kisha utarudi zako ndani.
Faida ya hii biashara siijui japo najua ina faida sana kwasababu nina jiko langu nilikuwa natuma wafanyakazi mkaa wa kupima nikawa sioni faida, ila tangu niwe nanunua mkaa kwa magunia faida naiona.
Hiyo maana yake ni kwamba mkaa una faida maana mkaa unauzwa wenyewe, chenga zinauzwa zenyewe, vumbi la mkaa linauzwa lenyewe.
Yaani hapo gunia utakalochukua sasa hivi lets say gunia la laki uhakika wa kukurudishia laki upo so itategemea na wewe unauza mkaa wako kwa speed kiasi gani.
(Mtaji wake itategemea na magunia mangapi unataka kuanza nayo)
3. MAJI
Unajua si kila sehemu kuna maji,na hata sehemu zenye maji si kila mtu ana vyombo vya ndani vya kujaza maji kama mandoo na majaba especialy mtu kama mimi nina allergy na mandoo mandoo sipendi kuona mandooo kwangu kabisa so kama unaishi sehemu maji yapo au hamna (japo hii nzuri kwa sehemu zenye shda ya maji au maji kukatika katika) na una ka hela kako kama ka laki 5 kamekaa tu,
Nenda kanunue tank lako la litre 2000 linauza kama 250,000 tu then lijengee hapo nnje kwenu kisha andika tank lako (maji yapo ndoo sh 200) then rudi zako ndani uchune, utasikia tu raia wataokuwa wanakuja, amini usiamini yale maji utauza tu (wala usiogope).
4. LUKU/GENERETA
Unapokuwa unaona watu wanalima wewe kama huwezi kulima, nenda kawauzie majembe walime then rudi zako tulia. Umeme ni changamoto sana hasa maeneo yenye masoko na wafanyabiashara wadogo wadogo wengi unakuta wengine wana utaratibu umeme wanawashiwa saa 12 jioni hadi 7 usiku.
Sehemu zingine ni majenereta nadhani hata wewe ni shahidi unaonaga majenereta huko usiku kwa wafanyabiashara.
Unaposikia jenereta ujue ni biashara ya mtu ile, anawawashia jenereta then anapitia 1000 kwa kila kichwa (hawa ni watumiaji taa tu) ila ana jenereta lingine kubwa kwa wenye mafriji na maduka kila kichwa kwa hawa watu anakula 5000, kwa hiyo unaweza ukaona jinsi hela watu wanaingiza.
Una hela yako ya jenereta kubwa nenda sehemu zenye biashara then waulize umeme wanatoa wapi kisha utawasikia jibu lao, wakikwambia ni shida wapelekee jenereta then kula pesa kwa kila mtu (mafuta weka mwenyewe)
Au unaweza ukaamua wavutia umeme LUKU mpya tanesco ni 321,000 unaweza kwenda kufanya mchakato wa umeme then ukawasambazia raia ukawa unakula pesa kila siku kwa kila ataetumia umeme wako.
5. M-PESA/TIGO PESA
Hii nayo inakuhitaji wewe na laini zako na pesa yako, unatafuta bango tu unalichora kisha unalieka hapo nje ya nyumba yenu unatafuta mwamvuli, kiti unaweka hapo kama vile unakaa kisha unaandika namba zako za simu in case mteja akija akupgie au akutext kisha unarudi zako ndani.
Mteja akija kwakuwa ni mtaani lazima akutext au akuite, utapiga hela si kidogo, ukishazoeleka utashangaa hela utazokuwa unaingiza (si kubwa sana ila si haba)
6. VIFAA VYA USAFI MAJUMBANI
Unachotakiwa kufanya hapa ni kutengeneza kamba kama ile ya kuanika nguo nyumbani kisha unaipgilia hapo nnje kwenu then huo mtaji ulionao hata kama ni laki mbili nenda town nunua mafagio, mopa, yale yakutolea bui bui, vidude vya chooni, vizolea taka,nk kisha tundika kwenye hiyo kamba yako kisha we nenda zako ndani tulia.
Wateja watakuja na kwakuwa unauza vitu vya matumizi ya kila siku amini usiamini utakua unafanya biashara ndani ya mwezi hela yako itakua imerudi then ukiangalia mzigo bado upo wa kutosha(ile ndio faida yako) unaweza ukauza ukatumia hela au ukfanya upendavyo.
Ila ni biashara inayolipa sana maana mfagio mmoja unauzwa 1000, ukiuza mfagio 3000 ina maana kwa kila mfagio faida yako 2000, haya Mungu saidia ukauza mifagio mitano utakuwa na 10,000 japo siku hazilingani unaweza usiuze hata hiyo mitano ukauza mmoja faida 2000 kwa mwezi ni 60,000
(ungeipata wapi hiyo 60 au angekupa nani bure?)
7. UDALALI
Hapa bwana mtaji ni simu yako au computer, zijue sites zote wanazouza vitu mbali mbali, iwe magari, simu nk. yaani ili mradi tu ni wauzaji wa hapa hapa Tanzania ingia hata huko Kupatana tafuta wauza vitu then wewe kazi yako ni kuzurula mitandaoni kutafuta wateja.
Ukiona mtu anatafuta "jamani mwenye simu ya iPhone 6 bajeti yangu
70,000" then wewe anza kutafuta hiyo iphone kwa mwenye nayo. Akipatikana mwambie una 50,000 then komaa nae akikubali rudi kwa mteja aliepost anatafuta iphone kwa 70,000 mwambie "unayo" kisha akikuomba picha na wewe unamuomba huyu huku unamtumia, akiridhika, akikwambia mpelekee, unatoka hapo unamfata yule jamaa uliemwambia una 50k unaenda unaikagua simu ukiona nzima unamwambia jamaa ukweli "bwana nina mteja wangu kaipenda simu yako nataka twende mimi nitakulipia nauli kwenda na kurudi (lazima akubali).
Mkienda kule wewe ndio unakuwa mwenye simu then mwenye simu anageuka rafiki yako au ndugu kakusindikiza, unafanya biashara.
Unachukua 70,000 yako then unampa jamaaa 50,000 yake nauli haizidi 3000 unampa DEAL DONE.
Kwa siku uza product 1 tu, kama ndio wengine wauza magari atahakikisha kwa mwezi kauza gari 1 tu maana gari 1 faida sio chini ya milioni au above laki 5.
Chukua inayokufaa. Usidharau maana wengine ndio wanaingiza hivyo pesa.
Ukiona chai au haiwezekani twenzetuni MMU.
Fremu tunajua kila mtu bei zake zilivyo na kadri frem inavyokua sehemu yenye wateja ndio na Bei (kodi) inazidi kuwa kubwa, kwa waishio mijini wanaelewa kodi za fremu zilivyo za moto ambapo bei ya chini kabisa ni laki kwa mwezi.
Ubaya zaidi ni pale mwenye nyumba anapokwambia nyumba yake anapokea kodi kuanzia mwaka, wengine kodi miaka miwili, na kuendelea kutegemea na fremu ipo wapi na watu wanafika dau kiasi gani na ndio mwenye nyumba anavyokutandika za uso.
Turudi kwenye Mada leo nataka washirikisha biashara 7 ambazo hazihitaji fremu ila zinakuhitaji wewe tu na mtaji wako na kikubwa kingine inakuhitaji UTAYARI na MAAMUZI sio uwe tu na mtaji halafu uanze kusema "watanionaje, watanichukuliaje, si ntakuwa waajabu nk nk"
1. MITUNGI YA GESI
Hii biashara haitaki uwe na frem kule bara barani kwa sababu wateja wa hii bidhaaa karibia 90% hawapatikani huko ila wapo huku huku majumbani tulipo,watu wanaoweka biashara hii kule bara barani ni kwa sababu tu unakuta ana biashara zingine ambazo zinahitaji wapita njia,ila kama wewe una mtaji na unafikiria biashara hii ni chaguo lako
Kwa sababu utakaponunua mitungi yako lets say mitungi midogo ya kg 15 (minne) mikubwa size ya kati kg 38 (minne) then kwa siku ukabadilishia wateja gesi wateja wa nne yani mitungi midogo wawili mikubwa wawili.
Faida ya hii mitungi kwa mdogo ni 2000 mpk 3000 itategemea na wewe unauzaje (tufanye ni 2000) then mikubwa faida yake ni 6000 to 5000 itategemea na wewe vile vile unauzaje (tufanye ni 5000) so ukijumlisha wateja wako wa nne utapata 2000*2 + 5000*2 = 14,000 then chukua hiyo 14,000*30 = 420,000 hii itakua pesa yako isiyo na makato ya kodi wala nini yani unaikamata nzima nzima.
(Mtaji inategemea na unataka kuanza na mitungi mingapi)
2. MKAA
Hii biashara nayo haina mbwembwe ni suala la wewe kuangusha gunia mbele ya nyumba unayoishi then kupanga mkaa wako ndani ya mifuko na kishaa unarudi zako ndani kutulia ataetaka mkaa ataita "mkaaaaaaaa" ukiskia utatoka utaenda mpimia au mpatia mkaa wake kisha utarudi zako ndani.
Faida ya hii biashara siijui japo najua ina faida sana kwasababu nina jiko langu nilikuwa natuma wafanyakazi mkaa wa kupima nikawa sioni faida, ila tangu niwe nanunua mkaa kwa magunia faida naiona.
Hiyo maana yake ni kwamba mkaa una faida maana mkaa unauzwa wenyewe, chenga zinauzwa zenyewe, vumbi la mkaa linauzwa lenyewe.
Yaani hapo gunia utakalochukua sasa hivi lets say gunia la laki uhakika wa kukurudishia laki upo so itategemea na wewe unauza mkaa wako kwa speed kiasi gani.
(Mtaji wake itategemea na magunia mangapi unataka kuanza nayo)
3. MAJI
Unajua si kila sehemu kuna maji,na hata sehemu zenye maji si kila mtu ana vyombo vya ndani vya kujaza maji kama mandoo na majaba especialy mtu kama mimi nina allergy na mandoo mandoo sipendi kuona mandooo kwangu kabisa so kama unaishi sehemu maji yapo au hamna (japo hii nzuri kwa sehemu zenye shda ya maji au maji kukatika katika) na una ka hela kako kama ka laki 5 kamekaa tu,
Nenda kanunue tank lako la litre 2000 linauza kama 250,000 tu then lijengee hapo nnje kwenu kisha andika tank lako (maji yapo ndoo sh 200) then rudi zako ndani uchune, utasikia tu raia wataokuwa wanakuja, amini usiamini yale maji utauza tu (wala usiogope).
4. LUKU/GENERETA
Unapokuwa unaona watu wanalima wewe kama huwezi kulima, nenda kawauzie majembe walime then rudi zako tulia. Umeme ni changamoto sana hasa maeneo yenye masoko na wafanyabiashara wadogo wadogo wengi unakuta wengine wana utaratibu umeme wanawashiwa saa 12 jioni hadi 7 usiku.
Sehemu zingine ni majenereta nadhani hata wewe ni shahidi unaonaga majenereta huko usiku kwa wafanyabiashara.
Unaposikia jenereta ujue ni biashara ya mtu ile, anawawashia jenereta then anapitia 1000 kwa kila kichwa (hawa ni watumiaji taa tu) ila ana jenereta lingine kubwa kwa wenye mafriji na maduka kila kichwa kwa hawa watu anakula 5000, kwa hiyo unaweza ukaona jinsi hela watu wanaingiza.
Una hela yako ya jenereta kubwa nenda sehemu zenye biashara then waulize umeme wanatoa wapi kisha utawasikia jibu lao, wakikwambia ni shida wapelekee jenereta then kula pesa kwa kila mtu (mafuta weka mwenyewe)
Au unaweza ukaamua wavutia umeme LUKU mpya tanesco ni 321,000 unaweza kwenda kufanya mchakato wa umeme then ukawasambazia raia ukawa unakula pesa kila siku kwa kila ataetumia umeme wako.
5. M-PESA/TIGO PESA
Hii nayo inakuhitaji wewe na laini zako na pesa yako, unatafuta bango tu unalichora kisha unalieka hapo nje ya nyumba yenu unatafuta mwamvuli, kiti unaweka hapo kama vile unakaa kisha unaandika namba zako za simu in case mteja akija akupgie au akutext kisha unarudi zako ndani.
Mteja akija kwakuwa ni mtaani lazima akutext au akuite, utapiga hela si kidogo, ukishazoeleka utashangaa hela utazokuwa unaingiza (si kubwa sana ila si haba)
6. VIFAA VYA USAFI MAJUMBANI
Unachotakiwa kufanya hapa ni kutengeneza kamba kama ile ya kuanika nguo nyumbani kisha unaipgilia hapo nnje kwenu then huo mtaji ulionao hata kama ni laki mbili nenda town nunua mafagio, mopa, yale yakutolea bui bui, vidude vya chooni, vizolea taka,nk kisha tundika kwenye hiyo kamba yako kisha we nenda zako ndani tulia.
Wateja watakuja na kwakuwa unauza vitu vya matumizi ya kila siku amini usiamini utakua unafanya biashara ndani ya mwezi hela yako itakua imerudi then ukiangalia mzigo bado upo wa kutosha(ile ndio faida yako) unaweza ukauza ukatumia hela au ukfanya upendavyo.
Ila ni biashara inayolipa sana maana mfagio mmoja unauzwa 1000, ukiuza mfagio 3000 ina maana kwa kila mfagio faida yako 2000, haya Mungu saidia ukauza mifagio mitano utakuwa na 10,000 japo siku hazilingani unaweza usiuze hata hiyo mitano ukauza mmoja faida 2000 kwa mwezi ni 60,000
(ungeipata wapi hiyo 60 au angekupa nani bure?)
7. UDALALI
Hapa bwana mtaji ni simu yako au computer, zijue sites zote wanazouza vitu mbali mbali, iwe magari, simu nk. yaani ili mradi tu ni wauzaji wa hapa hapa Tanzania ingia hata huko Kupatana tafuta wauza vitu then wewe kazi yako ni kuzurula mitandaoni kutafuta wateja.
Ukiona mtu anatafuta "jamani mwenye simu ya iPhone 6 bajeti yangu
70,000" then wewe anza kutafuta hiyo iphone kwa mwenye nayo. Akipatikana mwambie una 50,000 then komaa nae akikubali rudi kwa mteja aliepost anatafuta iphone kwa 70,000 mwambie "unayo" kisha akikuomba picha na wewe unamuomba huyu huku unamtumia, akiridhika, akikwambia mpelekee, unatoka hapo unamfata yule jamaa uliemwambia una 50k unaenda unaikagua simu ukiona nzima unamwambia jamaa ukweli "bwana nina mteja wangu kaipenda simu yako nataka twende mimi nitakulipia nauli kwenda na kurudi (lazima akubali).
Mkienda kule wewe ndio unakuwa mwenye simu then mwenye simu anageuka rafiki yako au ndugu kakusindikiza, unafanya biashara.
Unachukua 70,000 yako then unampa jamaaa 50,000 yake nauli haizidi 3000 unampa DEAL DONE.
Kwa siku uza product 1 tu, kama ndio wengine wauza magari atahakikisha kwa mwezi kauza gari 1 tu maana gari 1 faida sio chini ya milioni au above laki 5.
Chukua inayokufaa. Usidharau maana wengine ndio wanaingiza hivyo pesa.
Ukiona chai au haiwezekani twenzetuni MMU.