MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,537
- 8,824
Wewe hatari ya kuweka mitungu ndani yako huijui ila unajua pesa tu.
in Business we are dealing with risks
unapofanya biashara yoyote hayo mambo uliyoyasema ni ya muhimu kuyajua na kuyafikiria ila siku zote nawambiaga watu
usiyape nafasi hayo mawazo yanapokuja kikubwa jitahidi ufanye kazi kwa bidii na ujue kuweka akiba cause any time kinanuka
mimi kuna sehemu natumaga vijana wangu wakafanye biashara kabisa na ni sehemu HAZIRUHUSIWI (sehemu hatari) ila nawambia nyie nendeni wakikukamateni nipigieni simu (wanaenda) wanapiga pesa hata 50,000 chap chap then unaskia kadakwa...
unamuuliza umeingiza sh ngap? anakwambia hapa tayari nina 50,000 unamwambia "tulia" mpe simu huyo aliyekushika,unaongea nae unampooza kwa 10,000 anamwachia (dogo anasepa) faida mfukoni 40,000..Can you see that?
How if ningeogopa nikidakwa itakua noma halafu nisiende fanya biashara eneo hilo,hiyo 40,000 ningeitoa wapi?? ndio yale yale tunaambiwa "uoga wako ndio umaskini wako"
Unajua kwanini wafanya biashara wa madawa ya kulevya wanadunda uraiani na wanajulikana?? Wakikwambia bajeti wanayoitenga kwa ajili tu ya kuhonga mapolisi unaweza ukashangaaa, why wanahonga?? They know wanachofanya si sahihi but ndipo pesa ilipo so watafanyaje sasa and they need money???
ndipo wanaamua hapo Anaanza kuhongwa kuanzia IGP mpk mwenye V moja mzigo wao unaingia biashara wanafanya kiulainiiiii...sasa wewe jichanganye WAIGE uone kitakacho kukuta.
kwa ufupi ndugu yangu unapoamua kuingia kwenye biashara elewa umeingia VITANI,huku sio kwenye ajira,vitani unaweza kuwa na silaha zote ila na bado ukaenda ukarudi huna mguu,ndio mana wanajeshi siku hizi hawana ujinga wa kufa kufa,wanaenda vitani na wanarudi woteee (usitake kujua kinachofanyika huko vitani,acha kabisa)
Hii nchi ina wenyewe ndugu yangu,haya mabiashara tunayafanya tu ila usijiamini sanaaaaaaa hata kama una maleseni umejaza ukuta mzima,vibali vyoteeeee atakuja mtu mmoja tu atakutafutia sababu na hela itakutoka.
SO jiamini na elewa uko vitani na usiogope mtu pambana ya hela yote,MJINI inaongea PESA tu midomo siku hizi mapambo muraaaaa. King999