Una mtaji ila hauna pesa ya kodi ya fremu? Zijue biashara zisizohitaji fremu

Wewe hatari ya kuweka mitungu ndani yako huijui ila unajua pesa tu.
 
nafaka Pesa nnje nnje ila ndio Mtaji (kodi ya frem)

ila kama utaweza jikakamua ukachukua kontena lako la 1.5M

ukaligeuza frem sio siri lazima uwe mcharo.

Hii mimi ndio naifikiria niifanye [emoji125]‍♀️[emoji125]‍♀️
 
Ww unajua biashara! Its all about taking risk
 
nafaka Pesa nnje nnje ila ndio Mtaji (kodi ya frem)

ila kama utaweza jikakamua ukachukua kontena lako la 1.5M

ukaligeuza frem sio siri lazima uwe mcharo.
Wapi wanauza contena kwa bei hii mkuu.
Maana naonaga sehem nyingi bei mkasi
 
Wapi wanauza contena kwa bei hii mkuu.
Maana naonaga sehem nyingi bei mkasi
kontena za 1.5M ni used mkuu zile fupi fupi

zipo nyingi sana,kuna mahali nimeliona moja limetelekezwa barabarani

limechorwa linauzwa Nikachukua namba za muhusika kupiga akaniambia bei ni 1.8M ila mwsho 1.5M

Lile kontena nilimtonya mdau mmoja akalifata...

Ya bei hiyo mengi sana mkuu,tena Mengi ukihitaji usiende yafata Mapya hutoyaweza BEI.
 
Nikiri wazi, nimekuwa muumini wa hizi nondo zako kuhusu biashara. Hakika ni za msaada mkubwa sana hasa kwa mtu anayeilewa hii lugha unayoitumia. Maana japo unaandika kwa kiswahili, ila si kila mtu anakuelewa. Zidi kutulisha hiki chakula adimu kwa mafanikio yetu ya baadae.
 
πŸ™πŸ™πŸ™

Utakula sana mkuu
 
Ipo siku utakuja kupokea ushuda. Nazidi kuyakumbuka maneno yako ya kuwa huwa hauoni tatizo kumshirikisha fursa mtanzania sababu unajua ni mvivu wa kuzifanyia kazi.
hakika unanifatilia

ni kweli ulichosema

watanzania usiogope wapa taarifa maana wengi huzipokea kama story/umbea/ubuyu

watakao fanyia kazi idea/mawazo utayompa au mwambia katika 100 utampata mmoja

wengine wote akifikiria kuanza tu (kashasahau ulimwambia nini) Anasema ntaanza next time

sisi tutimize wajibu wetu

tuelimishane/tuburudishane/Tuonyane nk

Kuhusu kuingia ktk utendaji we waachie wenyewe

Acha tuendeleee.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…