Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Siwezi mkuu. Wacha nisake hela huku huku kwenye michicha nilipoWe hutaki kutajarika mkuu.. uanzishe fire firee pokea moto....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwezi mkuu. Wacha nisake hela huku huku kwenye michicha nilipoWe hutaki kutajarika mkuu.. uanzishe fire firee pokea moto....
Kumekua na wimbi kubwa la watu wanaojiita manabii likiongezeka kila kukicha na manabii wote hao wameanzisha makanisa yao
Manabii hawa wamekua ni wengi kuliko hata wale ambao wametajwa kwenye biblia takatifu
Kwa ulewa wangu mdogo ni kwamba wale manabii wa kale ambao walitajwa kwenye biblia takatifu unabii hawakujipa wenyewe bali walipewa kutokana na matendo yao mazuri kwa mwenyezi Mungu na kwa jamii iliyowazunguka.
Siku hizi kumezuka idadi kubwa ya watu wanaojiita manabii na hatujui hiko cheo cha unabii wamepewa na nani na wengi wao wameweka viingilio kwa wale watu wanaotaka kuwaona na viingilio vyao kiukweli vimechangamka.
Hawa manabii wa kuzuka most of them dance according to the sound of the music na wengi wao sio wakweli bali wanawaongezea tu umaskini wananchi, wameshajua asilimia kubwa ya wananchi wanasumbuliwa na nini au wanahitaji nini kwenye maisha yao na wao wanapita mulemule ili waweze kuaminika.
Yesu alipokuja duniani alisaidia kila mwenye shida pasipo kujari hali zao za kiuchumi lakini hawa manabii wetu wa kisasa ili kuwaona inabidi ujipange kwelikweli na unaweza pigwa pesa bila hata kupata kile ambacho ulikitarajia.
Wewe mdau wa JF nini mtazamo wako juu ya hili ?
Mimba yangu haitaki udongoMungu akujalie ujifungue salama mumy,,,kwahiyo ushaanza kula udongo 🤣🤣
Ooh! haina kabaya mkuu.. hata za mchicha sio mbaya siku moja ukizichanga unaweza ukawa kama MoSiwezi mkuu. Wacha nisake hela huku huku kwenye michicha nilipo
kimsingi katika nyakati hizi hakuna cha nabii wala nini wooote wajasiriadini tu maamae zao na hivi wanatumia ndumba yaani mtakamuliwa mpaka mshangae , mpaka watu waje kushtuka too late.Kumekua na wimbi kubwa la watu wanaojiita manabii likiongezeka kila kukicha na manabii wote hao wameanzisha makanisa yao
Manabii hawa wamekua ni wengi kuliko hata wale ambao wametajwa kwenye biblia takatifu
Kwa ulewa wangu mdogo ni kwamba wale manabii wa kale ambao walitajwa kwenye biblia takatifu unabii hawakujipa wenyewe bali walipewa kutokana na matendo yao mazuri kwa mwenyezi Mungu na kwa jamii iliyowazunguka.
Siku hizi kumezuka idadi kubwa ya watu wanaojiita manabii na hatujui hiko cheo cha unabii wamepewa na nani na wengi wao wameweka viingilio kwa wale watu wanaotaka kuwaona na viingilio vyao kiukweli vimechangamka.
Hawa manabii wa kuzuka most of them dance according to the sound of the music na wengi wao sio wakweli bali wanawaongezea tu umaskini wananchi, wameshajua asilimia kubwa ya wananchi wanasumbuliwa na nini au wanahitaji nini kwenye maisha yao na wao wanapita mulemule ili waweze kuaminika.
Yesu alipokuja duniani alisaidia kila mwenye shida pasipo kujari hali zao za kiuchumi lakini hawa manabii wetu wa kisasa ili kuwaona inabidi ujipange kwelikweli na unaweza pigwa pesa bila hata kupata kile ambacho ulikitarajia.
Wewe mdau wa JF nini mtazamo wako juu ya hili ?
Wanatembelea Isaya 44Siku hizi kumezuka idadi kubwa ya watu wanaojiita manabii na hatujui hiko cheo cha unabii wamepewa na nani na wengi wao wameweka viingilio kwa wale watu wanaotaka kuwaona na viingilio vyao kiukweli vimechangamka.
nabii ni kitu kizuri. Tatizo ni pale wanapo danganya kuwa wanakipaji cha uponyaji uponyaji ni kipaji tofauti sana na unabii. Unaweza ukawa na uwezo wa kuombea mtu akapona na usiwe nabii. Hapo ndiyo wanakoseaKumekua na wimbi kubwa la watu wanaojiita manabii likiongezeka kila kukicha na manabii wote hao wameanzisha makanisa yao
Manabii hawa wamekua ni wengi kuliko hata wale ambao wametajwa kwenye biblia takatifu
Kwa ulewa wangu mdogo ni kwamba wale manabii wa kale ambao walitajwa kwenye biblia takatifu unabii hawakujipa wenyewe bali walipewa kutokana na matendo yao mazuri kwa mwenyezi Mungu na kwa jamii iliyowazunguka.
Siku hizi kumezuka idadi kubwa ya watu wanaojiita manabii na hatujui hiko cheo cha unabii wamepewa na nani na wengi wao wameweka viingilio kwa wale watu wanaotaka kuwaona na viingilio vyao kiukweli vimechangamka.
Hawa manabii wa kuzuka most of them dance according to the sound of the music na wengi wao sio wakweli bali wanawaongezea tu umaskini wananchi, wameshajua asilimia kubwa ya wananchi wanasumbuliwa na nini au wanahitaji nini kwenye maisha yao na wao wanapita mulemule ili waweze kuaminika.
Yesu alipokuja duniani alisaidia kila mwenye shida pasipo kujari hali zao za kiuchumi lakini hawa manabii wetu wa kisasa ili kuwaona inabidi ujipange kwelikweli na unaweza pigwa pesa bila hata kupata kile ambacho ulikitarajia.
Wewe mdau wa JF nini mtazamo wako juu ya hili ?
Tapeli Mwamposa na wenzake wamebuni mbinu ya kuwatapeli watu wakiwa wameridhika kutapeliwa yani unatapeliwa huku unapiga vigelegele
1.wajinga ni wengiKumekua na wimbi kubwa la watu wanaojiita manabii likiongezeka kila kukicha na manabii wote hao wameanzisha makanisa yao
Manabii hawa wamekua ni wengi kuliko hata wale ambao wametajwa kwenye biblia takatifu
Kwa ulewa wangu mdogo ni kwamba wale manabii wa kale ambao walitajwa kwenye biblia takatifu unabii hawakujipa wenyewe bali walipewa kutokana na matendo yao mazuri kwa mwenyezi Mungu na kwa jamii iliyowazunguka.
Siku hizi kumezuka idadi kubwa ya watu wanaojiita manabii na hatujui hiko cheo cha unabii wamepewa na nani na wengi wao wameweka viingilio kwa wale watu wanaotaka kuwaona na viingilio vyao kiukweli vimechangamka.
Hawa manabii wa kuzuka most of them dance according to the sound of the music na wengi wao sio wakweli bali wanawaongezea tu umaskini wananchi, wameshajua asilimia kubwa ya wananchi wanasumbuliwa na nini au wanahitaji nini kwenye maisha yao na wao wanapita mulemule ili waweze kuaminika.
Yesu alipokuja duniani alisaidia kila mwenye shida pasipo kujari hali zao za kiuchumi lakini hawa manabii wetu wa kisasa ili kuwaona inabidi ujipange kwelikweli na unaweza pigwa pesa bila hata kupata kile ambacho ulikitarajia.
Wewe mdau wa JF nini mtazamo wako juu ya hili ?
Jamii ambayo haijaelimika inategemea miujizaKumekua na wimbi kubwa la watu wanaojiita manabii likiongezeka kila kukicha na manabii wote hao wameanzisha makanisa yao
Manabii hawa wamekua ni wengi kuliko hata wale ambao wametajwa kwenye biblia takatifu
Kwa ulewa wangu mdogo ni kwamba wale manabii wa kale ambao walitajwa kwenye biblia takatifu unabii hawakujipa wenyewe bali walipewa kutokana na matendo yao mazuri kwa mwenyezi Mungu na kwa jamii iliyowazunguka.
Siku hizi kumezuka idadi kubwa ya watu wanaojiita manabii na hatujui hiko cheo cha unabii wamepewa na nani na wengi wao wameweka viingilio kwa wale watu wanaotaka kuwaona na viingilio vyao kiukweli vimechangamka.
Hawa manabii wa kuzuka most of them dance according to the sound of the music na wengi wao sio wakweli bali wanawaongezea tu umaskini wananchi, wameshajua asilimia kubwa ya wananchi wanasumbuliwa na nini au wanahitaji nini kwenye maisha yao na wao wanapita mulemule ili waweze kuaminika.
Yesu alipokuja duniani alisaidia kila mwenye shida pasipo kujari hali zao za kiuchumi lakini hawa manabii wetu wa kisasa ili kuwaona inabidi ujipange kwelikweli na unaweza pigwa pesa bila hata kupata kile ambacho ulikitarajia.
Wewe mdau wa JF nini mtazamo wako juu ya hili ?
Kumbe ushajazwa mkuu...Wajinga ndio waliwao,
Mungu anampa kila mtu kwa wakati wake.
Mwaka 2017 nilienda kanisa lipo kigogo kwa Nabii ametoka Nigeria sitomtaja jina
Nilienda ili niweze kupata ujauzito nizae baada ya kukaa kwenye ndoa miaka mingi bila mtoto.
Nabii akaniambia nipeleke laki 4 ili aniombee, nilivyotoka pale sikurudi
Imepita miaka 8, sasa hivi nina mimba
Ningepeleka hiyo laki 4 ningepigwa kiboya.
Acha wajinga wapigwe....Kumekua na wimbi kubwa la watu wanaojiita manabii likiongezeka kila kukicha na manabii wote hao wameanzisha makanisa yao
Manabii hawa wamekua ni wengi kuliko hata wale ambao wametajwa kwenye biblia takatifu
Kwa ulewa wangu mdogo ni kwamba wale manabii wa kale ambao walitajwa kwenye biblia takatifu unabii hawakujipa wenyewe bali walipewa kutokana na matendo yao mazuri kwa mwenyezi Mungu na kwa jamii iliyowazunguka.
Siku hizi kumezuka idadi kubwa ya watu wanaojiita manabii na hatujui hiko cheo cha unabii wamepewa na nani na wengi wao wameweka viingilio kwa wale watu wanaotaka kuwaona na viingilio vyao kiukweli vimechangamka.
Hawa manabii wa kuzuka most of them dance according to the sound of the music na wengi wao sio wakweli bali wanawaongezea tu umaskini wananchi, wameshajua asilimia kubwa ya wananchi wanasumbuliwa na nini au wanahitaji nini kwenye maisha yao na wao wanapita mulemule ili waweze kuaminika.
Yesu alipokuja duniani alisaidia kila mwenye shida pasipo kujari hali zao za kiuchumi lakini hawa manabii wetu wa kisasa ili kuwaona inabidi ujipange kwelikweli na unaweza pigwa pesa bila hata kupata kile ambacho ulikitarajia.
Wewe mdau wa JF nini mtazamo wako juu ya hili ?
Mimba ipi? Unalilia mimba? Utaipata tuWajinga ndio waliwao,
Mungu anampa kila mtu kwa wakati wake.
Mwaka 2017 nilienda kanisa lipo kigogo kwa Nabii ametoka Nigeria sitomtaja jina
Nilienda ili niweze kupata ujauzito nizae baada ya kukaa kwenye ndoa miaka mingi bila mtoto.
Nabii akaniambia nipeleke laki 4 ili aniombee, nilivyotoka pale sikurudi
Imepita miaka 8, sasa hivi nina mimba
Ningepeleka hiyo laki 4 ningepigwa kiboya.
Angechukua hiyo laki 4, angekupa dawa kupitia dushe lake angekukula.Wajinga ndio waliwao,
Mungu anampa kila mtu kwa wakati wake.
Mwaka 2017 nilienda kanisa lipo kigogo kwa Nabii ametoka Nigeria sitomtaja jina
Nilienda ili niweze kupata ujauzito nizae baada ya kukaa kwenye ndoa miaka mingi bila mtoto.
Nabii akaniambia nipeleke laki 4 ili aniombee, nilivyotoka pale sikurudi
Imepita miaka 8, sasa hivi nina mimba
Ningepeleka hiyo laki 4 ningepigwa kiboya.
Nakaziaaa dada yangu kipenzi