Una mtazamo gani juu ya ongezeko la manabii hapa nchini?

Una mtazamo gani juu ya ongezeko la manabii hapa nchini?

Kumekua na wimbi kubwa la watu wanaojiita manabii likiongezeka kila kukicha na manabii wote hao wameanzisha makanisa yao

Manabii hawa wamekua ni wengi kuliko hata wale ambao wametajwa kwenye biblia takatifu

Kwa ulewa wangu mdogo ni kwamba wale manabii wa kale ambao walitajwa kwenye biblia takatifu unabii hawakujipa wenyewe bali walipewa kutokana na matendo yao mazuri kwa mwenyezi Mungu na kwa jamii iliyowazunguka.

Siku hizi kumezuka idadi kubwa ya watu wanaojiita manabii na hatujui hiko cheo cha unabii wamepewa na nani na wengi wao wameweka viingilio kwa wale watu wanaotaka kuwaona na viingilio vyao kiukweli vimechangamka.

Hawa manabii wa kuzuka most of them dance according to the sound of the music na wengi wao sio wakweli bali wanawaongezea tu umaskini wananchi, wameshajua asilimia kubwa ya wananchi wanasumbuliwa na nini au wanahitaji nini kwenye maisha yao na wao wanapita mulemule ili waweze kuaminika.

Yesu alipokuja duniani alisaidia kila mwenye shida pasipo kujari hali zao za kiuchumi lakini hawa manabii wetu wa kisasa ili kuwaona inabidi ujipange kwelikweli na unaweza pigwa pesa bila hata kupata kile ambacho ulikitarajia.

Wewe mdau wa JF nini mtazamo wako juu ya hili ?

Kuna "nabii" mmoja baada ya utafiti wake, kaja na kitu kimoja kinaitwa "dhambi mpya". Nami baada ya kutafiti nimegundua kuwa kuna "ajira mpya" inayoitwa "nabiii". Nafasi hii ya ajira ina wahitimu wengi sana. Hauna majukumu ya kazi (job description). Kila mtu anajiongeza kadiri alivyoongozwa na roho isiyojulikana. Kwa hiyo, mjitahidi kuwa macho kwa kuwa wengi wanavutwa kwao kwa kuwa wana majibu mepesi kuhusu mambo mazito na ya msingi kuhusu maisha.
 
IMG_20240715_081439.jpg
 
Kumekua na wimbi kubwa la watu wanaojiita manabii likiongezeka kila kukicha na manabii wote hao wameanzisha makanisa yao

Manabii hawa wamekua ni wengi kuliko hata wale ambao wametajwa kwenye biblia takatifu

Kwa ulewa wangu mdogo ni kwamba wale manabii wa kale ambao walitajwa kwenye biblia takatifu unabii hawakujipa wenyewe bali walipewa kutokana na matendo yao mazuri kwa mwenyezi Mungu na kwa jamii iliyowazunguka.

Siku hizi kumezuka idadi kubwa ya watu wanaojiita manabii na hatujui hiko cheo cha unabii wamepewa na nani na wengi wao wameweka viingilio kwa wale watu wanaotaka kuwaona na viingilio vyao kiukweli vimechangamka.

Hawa manabii wa kuzuka most of them dance according to the sound of the music na wengi wao sio wakweli bali wanawaongezea tu umaskini wananchi, wameshajua asilimia kubwa ya wananchi wanasumbuliwa na nini au wanahitaji nini kwenye maisha yao na wao wanapita mulemule ili waweze kuaminika.

Yesu alipokuja duniani alisaidia kila mwenye shida pasipo kujari hali zao za kiuchumi lakini hawa manabii wetu wa kisasa ili kuwaona inabidi ujipange kwelikweli na unaweza pigwa pesa bila hata kupata kile ambacho ulikitarajia.

Wewe mdau wa JF nini mtazamo wako juu ya hili ?
kimsingi katika nyakati hizi hakuna cha nabii wala nini wooote wajasiriadini tu maamae zao na hivi wanatumia ndumba yaani mtakamuliwa mpaka mshangae , mpaka watu waje kushtuka too late.
 
U
Kumekua na wimbi kubwa la watu wanaojiita manabii likiongezeka kila kukicha na manabii wote hao wameanzisha makanisa yao

Manabii hawa wamekua ni wengi kuliko hata wale ambao wametajwa kwenye biblia takatifu

Kwa ulewa wangu mdogo ni kwamba wale manabii wa kale ambao walitajwa kwenye biblia takatifu unabii hawakujipa wenyewe bali walipewa kutokana na matendo yao mazuri kwa mwenyezi Mungu na kwa jamii iliyowazunguka.

Siku hizi kumezuka idadi kubwa ya watu wanaojiita manabii na hatujui hiko cheo cha unabii wamepewa na nani na wengi wao wameweka viingilio kwa wale watu wanaotaka kuwaona na viingilio vyao kiukweli vimechangamka.

Hawa manabii wa kuzuka most of them dance according to the sound of the music na wengi wao sio wakweli bali wanawaongezea tu umaskini wananchi, wameshajua asilimia kubwa ya wananchi wanasumbuliwa na nini au wanahitaji nini kwenye maisha yao na wao wanapita mulemule ili waweze kuaminika.

Yesu alipokuja duniani alisaidia kila mwenye shida pasipo kujari hali zao za kiuchumi lakini hawa manabii wetu wa kisasa ili kuwaona inabidi ujipange kwelikweli na unaweza pigwa pesa bila hata kupata kile ambacho ulikitarajia.

Wewe mdau wa JF nini mtazamo wako juu ya hili ?
nabii ni kitu kizuri. Tatizo ni pale wanapo danganya kuwa wanakipaji cha uponyaji uponyaji ni kipaji tofauti sana na unabii. Unaweza ukawa na uwezo wa kuombea mtu akapona na usiwe nabii. Hapo ndiyo wanakosea
 
Kumekua na wimbi kubwa la watu wanaojiita manabii likiongezeka kila kukicha na manabii wote hao wameanzisha makanisa yao

Manabii hawa wamekua ni wengi kuliko hata wale ambao wametajwa kwenye biblia takatifu

Kwa ulewa wangu mdogo ni kwamba wale manabii wa kale ambao walitajwa kwenye biblia takatifu unabii hawakujipa wenyewe bali walipewa kutokana na matendo yao mazuri kwa mwenyezi Mungu na kwa jamii iliyowazunguka.

Siku hizi kumezuka idadi kubwa ya watu wanaojiita manabii na hatujui hiko cheo cha unabii wamepewa na nani na wengi wao wameweka viingilio kwa wale watu wanaotaka kuwaona na viingilio vyao kiukweli vimechangamka.

Hawa manabii wa kuzuka most of them dance according to the sound of the music na wengi wao sio wakweli bali wanawaongezea tu umaskini wananchi, wameshajua asilimia kubwa ya wananchi wanasumbuliwa na nini au wanahitaji nini kwenye maisha yao na wao wanapita mulemule ili waweze kuaminika.

Yesu alipokuja duniani alisaidia kila mwenye shida pasipo kujari hali zao za kiuchumi lakini hawa manabii wetu wa kisasa ili kuwaona inabidi ujipange kwelikweli na unaweza pigwa pesa bila hata kupata kile ambacho ulikitarajia.

Wewe mdau wa JF nini mtazamo wako juu ya hili ?
1.wajinga ni wengi
2.shida ni nyingi za kiimani
3.kuamini kila kitu/tatizo ni la kiimani
4.watu hawatoi kipaumbele ujifunzaji wa biblia
5.wakristo wengi hawajui hata mstari mmoja wa biblia
6.Wajanja wanaona fursa za kupiga hela
 
Kumekua na wimbi kubwa la watu wanaojiita manabii likiongezeka kila kukicha na manabii wote hao wameanzisha makanisa yao

Manabii hawa wamekua ni wengi kuliko hata wale ambao wametajwa kwenye biblia takatifu

Kwa ulewa wangu mdogo ni kwamba wale manabii wa kale ambao walitajwa kwenye biblia takatifu unabii hawakujipa wenyewe bali walipewa kutokana na matendo yao mazuri kwa mwenyezi Mungu na kwa jamii iliyowazunguka.

Siku hizi kumezuka idadi kubwa ya watu wanaojiita manabii na hatujui hiko cheo cha unabii wamepewa na nani na wengi wao wameweka viingilio kwa wale watu wanaotaka kuwaona na viingilio vyao kiukweli vimechangamka.

Hawa manabii wa kuzuka most of them dance according to the sound of the music na wengi wao sio wakweli bali wanawaongezea tu umaskini wananchi, wameshajua asilimia kubwa ya wananchi wanasumbuliwa na nini au wanahitaji nini kwenye maisha yao na wao wanapita mulemule ili waweze kuaminika.

Yesu alipokuja duniani alisaidia kila mwenye shida pasipo kujari hali zao za kiuchumi lakini hawa manabii wetu wa kisasa ili kuwaona inabidi ujipange kwelikweli na unaweza pigwa pesa bila hata kupata kile ambacho ulikitarajia.

Wewe mdau wa JF nini mtazamo wako juu ya hili ?
Jamii ambayo haijaelimika inategemea miujiza
 
Wajinga ndio waliwao,
Mungu anampa kila mtu kwa wakati wake.

Mwaka 2017 nilienda kanisa lipo kigogo kwa Nabii ametoka Nigeria sitomtaja jina
Nilienda ili niweze kupata ujauzito nizae baada ya kukaa kwenye ndoa miaka mingi bila mtoto.

Nabii akaniambia nipeleke laki 4 ili aniombee, nilivyotoka pale sikurudi
Imepita miaka 8, sasa hivi nina mimba
Ningepeleka hiyo laki 4 ningepigwa kiboya.
Kumbe ushajazwa mkuu...
 
Kumekua na wimbi kubwa la watu wanaojiita manabii likiongezeka kila kukicha na manabii wote hao wameanzisha makanisa yao

Manabii hawa wamekua ni wengi kuliko hata wale ambao wametajwa kwenye biblia takatifu

Kwa ulewa wangu mdogo ni kwamba wale manabii wa kale ambao walitajwa kwenye biblia takatifu unabii hawakujipa wenyewe bali walipewa kutokana na matendo yao mazuri kwa mwenyezi Mungu na kwa jamii iliyowazunguka.

Siku hizi kumezuka idadi kubwa ya watu wanaojiita manabii na hatujui hiko cheo cha unabii wamepewa na nani na wengi wao wameweka viingilio kwa wale watu wanaotaka kuwaona na viingilio vyao kiukweli vimechangamka.

Hawa manabii wa kuzuka most of them dance according to the sound of the music na wengi wao sio wakweli bali wanawaongezea tu umaskini wananchi, wameshajua asilimia kubwa ya wananchi wanasumbuliwa na nini au wanahitaji nini kwenye maisha yao na wao wanapita mulemule ili waweze kuaminika.

Yesu alipokuja duniani alisaidia kila mwenye shida pasipo kujari hali zao za kiuchumi lakini hawa manabii wetu wa kisasa ili kuwaona inabidi ujipange kwelikweli na unaweza pigwa pesa bila hata kupata kile ambacho ulikitarajia.

Wewe mdau wa JF nini mtazamo wako juu ya hili ?
Acha wajinga wapigwe....
 
Tazama makala ya Al Jazeera inaitwa Gold mafia YouTube.

Ni mfumo rahisi wa utakatishaji pesa kupitia haya makanisa. Sadaka ni kitu kidogo sana kwenye utajiri wa hawa manabii.
 
Wajinga ndio waliwao,
Mungu anampa kila mtu kwa wakati wake.

Mwaka 2017 nilienda kanisa lipo kigogo kwa Nabii ametoka Nigeria sitomtaja jina
Nilienda ili niweze kupata ujauzito nizae baada ya kukaa kwenye ndoa miaka mingi bila mtoto.

Nabii akaniambia nipeleke laki 4 ili aniombee, nilivyotoka pale sikurudi
Imepita miaka 8, sasa hivi nina mimba
Ningepeleka hiyo laki 4 ningepigwa kiboya.
Mimba ipi? Unalilia mimba? Utaipata tu
 
Jana nimesikia kuna Profesa wa manabii. Mmoja wa waumini wake katika ushuhuda alisema "Nimetoka nyumbani kwa mguu nikiwa sina nauli, lakini baada ya kufika hapa nimekuta mfukoni kwangu nina Tshs 10,000"

😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
 
Wajinga ndio waliwao,
Mungu anampa kila mtu kwa wakati wake.

Mwaka 2017 nilienda kanisa lipo kigogo kwa Nabii ametoka Nigeria sitomtaja jina
Nilienda ili niweze kupata ujauzito nizae baada ya kukaa kwenye ndoa miaka mingi bila mtoto.

Nabii akaniambia nipeleke laki 4 ili aniombee, nilivyotoka pale sikurudi
Imepita miaka 8, sasa hivi nina mimba
Ningepeleka hiyo laki 4 ningepigwa kiboya.
Angechukua hiyo laki 4, angekupa dawa kupitia dushe lake angekukula.
 
Back
Top Bottom