Una mtazamo gani juu ya ongezeko la manabii hapa nchini?

Una mtazamo gani juu ya ongezeko la manabii hapa nchini?

Nilikua siamini katika hawa Manabii mpaka pale nilipokutana na nabii mmoja ambaye kila akitoa unabii wake ulikua unatimia ama kupishana kidogo tu na tukio halisi.
Miongoni mwa nabii zake zilizotimia ni,
-Kifo cha the late prime Minister Edward Ngoyai Lowassa
-Ivory Coast kutokea nyuma na kubeba kombe la AFCON 2024
-Kitambaa Cheupe kuungua moto
- Rais wa Kenya Ruto kupinduliwa naona tunaelekea huko...
Nilitokea kuvutiwa nae nikaanza kumfuatilia nikaja gundua pia hua anakipindi chake live siku ya Jumamosi kupitia YouTube, Insta na Facebook kinaitwa " Can I Prophecy "anatoa unabii kwa kila aliye online ana comment jina lake tu anapata unabii wake, nikajaribu na mimi ku Comment jina langu, Aisee alinipa unabii kana kwamba yupo rohoni mwangu maana alifunua kila kitu na mazambi yangu yote, nikatajiwa hadi maagano ya wazee wangu huko nyuma kwa majina yao, akazama hadi kwenye ndoto nazoota na mahusiano yangu pasipo kukosea, na akamalizia kwa kuniambia Mungu anataka nifanye nini ili Destiny yangu itimie.
Hakuniomba hata mia .
Anaitwa Prophet Edmund Mystic.
 
Kila chenye mwanzo hakikosi mwisho.

Kuna wakati utafika watu hawatoamini manabii tena makanisa yatakosa waumini.

Serikali itazame hili maana dini Ni kitu muhimu kwenye jamii zetu, dini inasaidia watu kuwa na hofu ya Mungu na kuwa na maadili mazuri kwenye jamii zetu.

Bila msaada wa kudhibiti Haya mambo ya manabii wa uwongo, dini zitapoteza waumini, watu watachoka huu utapeli na uongo unaoendelea kwa sasa.
 
Wasomi uchwara wanatapeliwa ovyo ovyo
 
Watanzania wengi hasa wamama bado ni waathirika wa utapeli wa manabii na mitume wa miujiza kwa sababu ya ujinga na umasikini wa kufikiri.
 
Nilikua siamini katika hawa Manabii mpaka pale nilipokutana na nabii mmoja ambaye kila akitoa unabii wake ulikua unatimia ama kupishana kidogo tu na tukio halisi.
Miongoni mwa nabii zake zilizotimia ni,
-Kifo cha the late prime Minister Edward Ngoyai Lowassa
-Ivory Coast kutokea nyuma na kubeba kombe la AFCON 2024
-Kitambaa Cheupe kuungua moto
- Rais wa Kenya Ruto kupinduliwa naona tunaelekea huko...
Nilitokea kuvutiwa nae nikaanza kumfuatilia nikaja gundua pia hua anakipindi chake live siku ya Jumamosi kupitia YouTube, Insta na Facebook kinaitwa " Can I Prophecy "anatoa unabii kwa kila aliye online ana comment jina lake tu anapata unabii wake, nikajaribu na mimi ku Comment jina langu, Aisee alinipa unabii kana kwamba yupo rohoni mwangu maana alifunua kila kitu na mazambi yangu yote, nikatajiwa hadi maagano ya wazee wangu huko nyuma kwa majina yao, akazama hadi kwenye ndoto nazoota na mahusiano yangu pasipo kukosea, na akamalizia kwa kuniambia Mungu anataka nifanye nini ili Destiny yangu itimie.
Hakuniomba hata mia .
Anaitwa Prophet Edmund Mystic.
Wanakuja kwa maiti ambao unaweza kuwfanya unavyotaka
 

Attachments

  • KENYATTA.mp4
    3 MB
Nilikua siamini katika hawa Manabii mpaka pale nilipokutana na nabii mmoja ambaye kila akitoa unabii wake ulikua unatimia ama kupishana kidogo tu na tukio halisi.
Miongoni mwa nabii zake zilizotimia ni,
-Kifo cha the late prime Minister Edward Ngoyai Lowassa
-Ivory Coast kutokea nyuma na kubeba kombe la AFCON 2024
-Kitambaa Cheupe kuungua moto
- Rais wa Kenya Ruto kupinduliwa naona tunaelekea huko...
Nilitokea kuvutiwa nae nikaanza kumfuatilia nikaja gundua pia hua anakipindi chake live siku ya Jumamosi kupitia YouTube, Insta na Facebook kinaitwa " Can I Prophecy "anatoa unabii kwa kila aliye online ana comment jina lake tu anapata unabii wake, nikajaribu na mimi ku Comment jina langu, Aisee alinipa unabii kana kwamba yupo rohoni mwangu maana alifunua kila kitu na mazambi yangu yote, nikatajiwa hadi maagano ya wazee wangu huko nyuma kwa majina yao, akazama hadi kwenye ndoto nazoota na mahusiano yangu pasipo kukosea, na akamalizia kwa kuniambia Mungu anataka nifanye nini ili Destiny yangu itimie.
Hakuniomba hata mia .
Anaitwa Prophet Edmund Mystic.
MpAka sasa yupo?
 
Ni project tu ya TISS kama ilivyo "Uchawa". Most wako funded na wakubwa.

Report ya CAG inaoneshwa pesa kibao zinaibiwa kwenye wizara ya afya, Mtume na Nabii anampa lawama shetani.
 
Ongezeko la manabii ni kutoka na uwepo wa idadi kubwa ya wapumbavu wa imani.
 
Back
Top Bottom