Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Labda kama unamchukua house girl. Piss kabisa, toa hela tu ndugu.Kwanin?
Baada ya yote mwanamke huwa anaomba nauli ya kurudi tofauti na hapo huyo ni kahaba asiye na uzoefu.
Nipatie dada yako nioea labda atanifaaKijana fanya uoe uache kuwaza ujinga...
Wee Hata usirudi hela zenyewe za kutoa unazo sasa????!![emoji848][emoji848][emoji848][emoji2][emoji2][emoji2]!!Ngoja nitarudi
Ngono ili ifanyike lazima kuwe na transaction. Na transaction inaweza kuwa ni ndoa au malipo kabla na baada ya tendo lenyewe. Kwa hiyo suala zima la ngono ni biashara kama biashara nyingineHabari wana JF
Ni matumaini yangu amjambo wote mnaendelea vizuri. Kwangu mimi kuna suala lanitatiza kidogo hapa.
Et wanaume wezangu baada ya sex ni lazima kumpa mwanamke hela au demu wako unayempenda?
Kwangu naona kama nikimpa hela kwa muda huo naona kama anajiuza kwangu yaani kama nimelala na wafanyabiashara wa ngono.
Nimekuwa na desturi ya kutotoa hela baada ya sex lakini watu ninaokutana nao wanalalamika eti hata hujanipa hela.
Nisaidieni hapo