smarte_r
JF-Expert Member
- Nov 8, 2013
- 4,564
- 12,014
mimi nipo tofauti kidogo.
aniombe pesa au asiniombe,awe mwanamke wangu ambaye nipo nae kwenye relationship kwa mda mrefu, au mwanamke niliyemuokota kwenye kumbi za starehe na usiku huohuo kwenda kulalanae, mda wa kuagana au asubuhi lazima nimpe pesa kidogo.
halafu siku hizi hatutoi cash, unamuuliza tu,nikuhamishie kwa namba hihii uliyonipa au utanitajia namba nyingine.
i feel guilty kupeana raha za kingono na mwanamke halafu baada ya hapo nisimpe pesa. nipo hivyo tu na siwezi kubadilika unless yeye mwenyewe akatae. i'm gentleman and a gangstar aswell.
aniombe pesa au asiniombe,awe mwanamke wangu ambaye nipo nae kwenye relationship kwa mda mrefu, au mwanamke niliyemuokota kwenye kumbi za starehe na usiku huohuo kwenda kulalanae, mda wa kuagana au asubuhi lazima nimpe pesa kidogo.
halafu siku hizi hatutoi cash, unamuuliza tu,nikuhamishie kwa namba hihii uliyonipa au utanitajia namba nyingine.
i feel guilty kupeana raha za kingono na mwanamke halafu baada ya hapo nisimpe pesa. nipo hivyo tu na siwezi kubadilika unless yeye mwenyewe akatae. i'm gentleman and a gangstar aswell.