Una namba ya simu ya nani ambaye hutakaa uisahau?

Una namba ya simu ya nani ambaye hutakaa uisahau?

Ya dada yangu nimeishika kuliko hata ya mama mzazi
 
Nina namba ya mwanamke mmoja toka 2008 wa Mamba Marangu.Ndiye mwanamke wangu wa kwanza kumpenda.Kipindi hicho nasomea ualimu Marangu pale.Nilikua mlokole usipime.Demu anakuja Mpaka geto na hatufanyi lolote namwambia nimeokoka Mpaka tuoane.Yule demu aliibiwa na iliniuma sana japo sikufanya naye mapenzi.Niliwaza sana na ilikua karibu na mitihani.Hiyo demu alikua anafanya kazi stationary hapo Marangu mtoni.Ndio ikawa Mara ya kwanza kuachwa na mwanamke.Maumivu yake usipime mana hayalinganishwi na chochote.Wadau waliniweka kikao wakanishauri dogo tulia piga pepa mademu wapo.Toka 2008 Mpaka Leo namba ya Yule mwanamke ipo kichwani.Popote ulipo upendo agiza juisi ya upupu nitalipa
 
Mwajuma Kinong'o. Mtoto anajua kutiana yule mpaka basi. Mwepesi unaweza mkunja kama kambare na haumii.

Hata uniamshe saa 8 ya usiku namba yake ipo kichwani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nina namba ya Ex wangu. Yaani ule mchezo wa kufuta namba na kusevu. Ku block na ku unblock nikajikuta nimeshaikariri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom