Una namba za simu (contacts) ngapi kwenye Simu yako?

Una namba za simu (contacts) ngapi kwenye Simu yako?

Nikiona namba ambayo sijapiga wala kupokea kwa miezi mitatu naifuta
Na sasa zimebaki chache sana
Kumbe Simu ilikuwa nzito kwa namba za bila faida [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Mkuu unasevuje namba kwa emails naomba nisaidie?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda kwenye contact list mkuu kuna hiyo option ya kubuckup. Unaiview namba then option kisha buckup to Google account.

Me simu yangu wakati wa kusave huniuliza ningependa kusave wapi.
So, hata nikinunua simu mpya huwa nikiingiza tu taarifa zangu za google automatically contact zinajirestore.
 
100 contact kila mtu mmoja ana namba 2 inamana nna contact za watu 50
Humo ndugu/ jamaa /marafiki /Wafanya biashara
mwezi mzima hatuna mawasiliano - Contact deleted

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kidogo sana hizo mkuu,,ukijiunga na kifurushi cha wiki unasalimia wote na stories mnapiga za kutosha kbs,Mimi Nina watu 1233,na hapo hujajumlisha wenye namba zaidi ya moja maana MTU km ana namba zaidi ya moja zote naunganisha kwenye jina lake hilo hilo,line imejaaga majina miaka mingi,huwa nahifadhi kwny e mail
Wakuu habari,

Tukiwa tunaelekea mwisho wa mwaka, huwa najitathmini vitu mbalimbali kimoja wapo ni marafiki/ndugu niliokuwa nao karibu mwaka uliopita na ambao tumetupana mwaka mzima.

Sasa leo nilikuwa nafutafuta baadhi ya namba za simu ambazo hatujawasiliana miaka nenda rudi, zipo tu kwenye simu kiushahidi. Nina namba za simu 365 hadi sasa (kabla sijaanza kufuta).

Wengi ni wafanyakazi wenzangu, classmates wa vyuo, sekondari na wengine mtaani nilipokulia.

Nyie wenzangu muna namba approximately ngapi?

Lengo nibakiwe na chini ya 100 tu ambao nakuwa nao karibu tunawasiliana, siyo hawa wengine kazi ku-view status zao tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu habari,

Tukiwa tunaelekea mwisho wa mwaka, huwa najitathmini vitu mbalimbali kimoja wapo ni marafiki/ndugu niliokuwa nao karibu mwaka uliopita na ambao tumetupana mwaka mzima.

Sasa leo nilikuwa nafutafuta baadhi ya namba za simu ambazo hatujawasiliana miaka nenda rudi, zipo tu kwenye simu kiushahidi. Nina namba za simu 365 hadi sasa (kabla sijaanza kufuta).

Wengi ni wafanyakazi wenzangu, classmates wa vyuo, sekondari na wengine mtaani nilipokulia.

Nyie wenzangu muna namba approximately ngapi?

Lengo nibakiwe na chini ya 100 tu ambao nakuwa nao karibu tunawasiliana, siyo hawa wengine kazi ku-view status zao tu.
Ninazo namba 755.

Kila mara huwa napata namba mpya
 
Ukishaandika namba unayotaka kui save,utabonyeza create contact, then badala ya kwenda kwenye kuandika jina LA unae msave,angalia mahali pameandikwa save to...,bonyeza hapo kisha itakuletea option kama NNE,ambazo ni save to email,save to phone contact, sim 1 na pia sim 2(iwapo tu unatumia simu ya line 2),,ww utachagua save to email kisha OK,ukisha Fanya hivyo mara moja hulazimiki tena kufanya hivyo kwa namba zingine unazozi save baada ya hapo Bali zote unazosave zitakua zinaingia kwenye email yako nawe utaziona kwenye contact kama kawaida,na waeza hifadhi namba hata 10,000 na haipotei namba hata line ife au upoteze cm,cha muhimu ni kukunbuka email yako na password yako tu,kisha namba zako zote ulizosave kwa email unazipata hata kwa kupoteza cm kila cku,,,hope umenielewa,,,km hujaelewa ni PM Nikupe ujuzi zaidi
Mkuu unasevuje namba kwa emails naomba nisaidie?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda kwenye contact list mkuu kuna hiyo option ya kubuckup. Unaiview namba then option kisha buckup to Google account.

Me simu yangu wakati wa kusave huniuliza ningependa kusave wapi.
So, hata nikinunua simu mpya huwa nikiingiza tu taarifa zangu za google automatically contact zinajirestore.
Asante mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umetisha Bongonyoo
Ukishaandika namba unayotaka kui save,utabonyeza create contact, then badala ya kwenda kwenye kuandika jina LA unae msave,angalia mahali pameandikwa save to...,bonyeza hapo kisha itakuletea option kama NNE,ambazo ni save to email,save to phone contact, sim 1 na pia sim 2(iwapo tu unatumia simu ya line 2),,ww utachagua save to email kisha OK,ukisha Fanya hivyo mara moja hulazimiki tena kufanya hivyo kwa namba zingine unazozi save baada ya hapo Bali zote unazosave zitakua zinaingia kwenye email yako nawe utaziona kwenye contact kama kawaida,na waeza hifadhi namba hata 10,000 na haipotei namba hata line ife au upoteze cm,cha muhimu ni kukunbuka email yako na password yako tu,kisha namba zako zote ulizosave kwa email unazipata hata kwa kupoteza cm kila cku,,,hope umenielewa,,,km hujaelewa ni PM Nikupe ujuzi zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu habari,

Tukiwa tunaelekea mwisho wa mwaka, huwa najitathmini vitu mbalimbali kimoja wapo ni marafiki/ndugu niliokuwa nao karibu mwaka uliopita na ambao tumetupana mwaka mzima.

Sasa leo nilikuwa nafutafuta baadhi ya namba za simu ambazo hatujawasiliana miaka nenda rudi, zipo tu kwenye simu kiushahidi. Nina namba za simu 365 hadi sasa (kabla sijaanza kufuta).

Wengi ni wafanyakazi wenzangu, classmates wa vyuo, sekondari na wengine mtaani nilipokulia.

Nyie wenzangu muna namba approximately ngapi?

Lengo nibakiwe na chini ya 100 tu ambao nakuwa nao karibu tunawasiliana, siyo hawa wengine kazi ku-view status zao tu.

Hili swala ni purely your personal choice yako!

Wewe kufuta halihusu wengine

Futa,wala hakuna wa kukuuliza chochote

People think namba mlizonazo kwenye simu zenu ni favor mnawapa hao watu,

Yall are naive sons of the bitches!

Keep or delete em nobody cares about you whatsoever!
 
Back
Top Bottom