Una ndoto gani unayotamani kuitimiza mwaka 2023?

Ni Mwaka wa 2 sasa ndoto yangu ni kukutana na Tajiri Rostam!!!Naamini kwa Project yangu ndie mtu sahihi wakuniingiza kwenye kundi la Mabilionea kwenye nchi hii.
Eeeee Mungu ifanikishe njozi hii Mwaka huu.
Mungu akufanikishe.
 
Kwenye hiyo profile picture ndo wewe
 
Ni Mwaka wa 2 sasa ndoto yangu ni kukutana na Tajiri Rostam!!!Naamini kwa Project yangu ndie mtu sahihi wakuniingiza kwenye kundi la Mabilionea kwenye nchi hii.
Eeeee Mungu ifanikishe njozi hii Mwaka huu.
Amen na Mungu amekusikia na atakutendea haja ya moyo wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…