Maswali kutoka kwa Sifileo kwenda kwa Mh Waziri wa habari Mh Mwakyembe.
1.Yeye kama waziri amechukua hatua gani kuhakikisha wanahabari hasa wale walio bobea katika masuala ya Afya wanapewa elimu ya kutosha katika kuripoti habar za maradhi ya mlipuko mfano Corona,kipindu pindu?
2.Amejipangaje kama waziri katika kuakiki ministrem media haziripoti taarifa za ovyo ili hali zinazidi kuongezeka nchini Tanzania.?
3.kama waziri wa habari anajisiiakiaje anapoona chombo cha habari kinakarbia kufunga milango kisa kukosa mapato ambapo vyombo hivho vidai wizara ambazo yeye ni sehemu ya baraza la mawaziri?
4.Amejilangaje yeye kama waziri kuakikisha anawaweza wanahabari wa Tanzania kujiendeleza kielimu ili kuepuka mapungufu ya uhana habari yatakayo jili baada ya kuanza kusmamia sheria mpya ambapo wanahabari wengi watakosa sifa za kuendelea na kazi kwa mujibu wa sheria hasa sheria mpya?
Mh Waziri ebu tuimbie wimbo mmoja unao upenda?(nataka acheke asiendelee kuchoka na interview).
5.Mh Waziri serikali ina mpango gani kuwaenzi wanahabari nguli ambao wametangulia mbele ya haki huku walikuwa wanahabari wazuri mfano Marine Hassan Marine.?
6.Waziri wa habari hivi unajua kuwa una maafisa habari mizigo hawajui hata wafanye nini? je anatoa tamko gan dhidi yao hao mizigo?
7.Mh Waziri tungependa kujua hatua za mwandishi wa habari wa kujitegemea kama kaka yetu Pascal Mayyala anatakiwa kuwa na sifa gani kwa mujibu wa sheria za nchi yetu?
8.Mh waziri taratibu zipoje za kuwa mwanahabari huru au wa kujitegemea?(ili swali mkuu Pascally kama waweza lijibu sio mbaya).
Zingatio sijajikita kwenye mambo ya corona sana maana mimi najua corona inapita kama mengine yalivyopita.
Sent using
Jamii Forums mobile app