Una tabia gani za kizee?

Una tabia gani za kizee?

Mavazi.

Mimi ni kati ya watu wanaovaa kizee, sivai kama kijana wa kisasa..

Nimejitahidi kweli kuvaa kama vijana ila ni wiki mbili tu narudi kulekule.
 
Kusikiliza nyimbo sio tabia ya kizee.... Nyimbo ni chakula Cha ubongo kinachochochea hisia, kumbukumbu, mapenzi, urafiki, majonzi na nyakati.

Ubongo unavyotafsiri mapigo na sauti ya wimbo Hauna habari kuhusu umri wa ule wimbo. Ubongo unapenda kusikia na kuona vitu vizuri muda wote. Kuna nyimbo zimepikwa kweli....
Kuna komenti ya mtu niliikuta you tube inasema "we don't Search old music per se, we search old memories carried by these music"
 
Kuna komenti ya mtu niliikuta you tube inasema "we don't Search old music per se, we search old memories carried by these music"
Sahii kabisa.... Mfano Mimi nikisikia wimbo wa Nameless -Sinzia, mpangilio wa biti na mistari Huwa nakumbuka mbali sana.
 
Kutokubishana ovyo,,,, hata kama ni mambo ya mipira napenda twende kwa data na hoja sio makelele kama mpo sokoni

Napenda kukaa na watu wazima walionizidi umri na kipato,,,, ! Kuna namna najifunza kutoka kwao !!!!!

Nikilala sipendi kuamshwa !

Nkimpigia mtu simu mara moja asipopokea sipigi tena, kama ni muhimu sana nitamtumia ujumbe mfupi !

Sifanyi kitu bila utaratibu/mipango,,,, ! Mfano hata kama sina kazi from no where huwezi niambia twende sehemu flani nikaenda , !!!
Hizi ni tabia za watu wote waliostaarabika Mkuu.
 
Back
Top Bottom