fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
Napenda unoko sana 😂😂 yaan wale wazee ambao walikuaga wanoko tukichezaga mpira kwenye uwanja wake ndo nna unoko huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna komenti ya mtu niliikuta you tube inasema "we don't Search old music per se, we search old memories carried by these music"Kusikiliza nyimbo sio tabia ya kizee.... Nyimbo ni chakula Cha ubongo kinachochochea hisia, kumbukumbu, mapenzi, urafiki, majonzi na nyakati.
Ubongo unavyotafsiri mapigo na sauti ya wimbo Hauna habari kuhusu umri wa ule wimbo. Ubongo unapenda kusikia na kuona vitu vizuri muda wote. Kuna nyimbo zimepikwa kweli....
Sahii kabisa.... Mfano Mimi nikisikia wimbo wa Nameless -Sinzia, mpangilio wa biti na mistari Huwa nakumbuka mbali sana.Kuna komenti ya mtu niliikuta you tube inasema "we don't Search old music per se, we search old memories carried by these music"
Makushabu Yana kuharibu😂🤣napenda unoko sana 😂😂 yaan wale wazee ambao walikuaga wanoko tukichezaga mpira kwenye uwanja wake ndo nna unoko huo
Eeh hata mwaj uli mbeba Kutokana bna ndevu zako ka steel waya 😂Kwa uzee huu namba A, napenda kuvutwa na gari namba E....😜
Hizi ni tabia za watu wote waliostaarabika Mkuu.Kutokubishana ovyo,,,, hata kama ni mambo ya mipira napenda twende kwa data na hoja sio makelele kama mpo sokoni
Napenda kukaa na watu wazima walionizidi umri na kipato,,,, ! Kuna namna najifunza kutoka kwao !!!!!
Nikilala sipendi kuamshwa !
Nkimpigia mtu simu mara moja asipopokea sipigi tena, kama ni muhimu sana nitamtumia ujumbe mfupi !
Sifanyi kitu bila utaratibu/mipango,,,, ! Mfano hata kama sina kazi from no where huwezi niambia twende sehemu flani nikaenda , !!!