MALANGA LANGA
JF-Expert Member
- Jun 1, 2023
- 362
- 1,081
Tushirikishe mkuuKuna muda huwa nahis kama nilishakufa hapa dunian sipo tena kutokana na tukio moja liliwah nitokea hapo nyuma
Niliwah kujaribu kujiua,nikazimia polini siku tatuTushirikishe mkuu
Duh aisee mkuu uliwaza adi kujiua?Niliwah kujaribu kujiua,nikazimia polini siku tatu
Mpaka leo ikitokea watu hawajanishirikisha kitu au nimekaa mahali au kwenye usafiri ila siti nilyokaa watu wanaikwepa nahis kama hapa duniani huenda sipo
😄😄😄😄🤣Jiulize utakufa kifo cha Sina gani kwenye mazingira yepi tuLabda na wewe ni mfu kwa hiyo mnawasiliana kwa lugha za wafu 😀
Kwahiyo wewe ni msukule...?Niliwah kujaribu kujiua,nikazimia polini siku tatu
Mpaka leo ikitokea watu hawajanishirikisha kitu au nimekaa mahali au kwenye usafiri ila siti nilyokaa watu wanaikwepa nahis kama hapa duniani huenda sipo
Muongezeee Uzi wakutosha asiwe anapakq unga usoni alafu hatumuoni😄😄Kwahiyo wewe ni msukule...?