Una uhakika bado hujafa?

Niliwah kujaribu kujiua,nikazimia polini siku tatu

Mpaka leo ikitokea watu hawajanishirikisha kitu au nimekaa mahali au kwenye usafiri ila siti nilyokaa watu wanaikwepa nahis kama hapa duniani huenda sipo
Duh aisee mkuu uliwaza adi kujiua?
 
Sasa mkuu mbn naona koment yako ikiwa unaonaushakufaga hapo zamani😄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…