Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hebu fafanua kidogo mkuu.Inategemea ni ndoto za aina gani
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]hebu fafanua kidogo mkuu.
najua wewe ni rafiki wa lucifer kwavo haya utakuwa unayajua vizuri.
Ndoto za kutishaInategemea ni ndoto za aina gani
Sio kweli maana ukiota unapigwa lazma utahisi maumivu na hata kujikuta ukitokwa machozi.Thread yako naiua kwa kusema kua utapata feelings zote lakini hutasikia physical pain kwenye ndoto hata siku moja.
Kwahyo hii sio ndoto sababu nimejifinya nikasikia maumivu makali ambayo kwenye ndoto hakuna.
Bado Inategemea na mwotajiNdoto za kutisha
Bado Inategemea na mwotaji
Kichwa kimejam kwasasa ila nitarejea nikitoka shift alfajiritatizo unatoa tu kauli bila maelezo.acha uchoyo.hebu tushare maujuzi mkuu
[emoji35] [emoji23] [emoji23] [emoji23] au kilevi?[emoji144] [emoji144] [emoji144]Kama uko serious kabisa kwamba unashindwa kutenganisha kati ya ndoto na uhalisia basi nakushauri badilisha kinywaji.
nimeipenda hiihahaha ndoto ni nzuri kama unaota unakojoa choon kumbe unalowanisha godoro
Ndivyo kwa watanzania na rais wao wanAvyofikir
Je mtu akisema anataka kutimiza ndoto yake ya kuwa tajiri je aliota au??!!
me naamini ht hapa tulipo wote tunaota tu(halucination).
Ndo maana matangazo ya biashara na bahati nasibu yana kauli mbiu TIMIZA NDOTO YAKO!
Yaelekea wewe hujawahi kuota ndo maana unashindwa kutofautsha ndoto na vitu halisi katka ndoto ghorofa 10 waweza zimaliza kwa siku sijui no kweli