Unaamini katika Karma, kwamba malipo ni hapahapa duniani?

Conclusion hiyo kwamba sigara haina madhara kwa sababu haikuonekana kwa the alleged smoker (your babu) ni sahihi LAKINI SIYO KAMILI.
sio sahihi kutokana alikadhalika haijakamilika refer to msingi potofu uliotumika kujenga hoja kua na vinasaba vya logical fallacy

Zipo factors nyingi SANA TU za kuzingatia: genetic make up yake, mtindo wake wa maisha kijumla, aina ya vyakula, care na attention aliyokuwa akipata, special muujiza na kadhalika na kadhalika.

ulichokiandika hapa sidhani kama ulifikiria mara mbili, sidhani kama ulikua unakusudia kuiongelea sumu ya nicotine kwa upana wake kua athari zake zinaweza fifishwa na lishe.

muujiza ni nini? unaweza kuthibitisha muujiza upo na sio imaginary concept?
The point is lazima ushahidi ukaribie beyond reasonable doubt ili uwe valid na utumike kwa watu wote.
ushahidi bila uthibitisho wa kufuata mtiririko wa utafiti huo ni uhuni wa kulazimisha mawazo yako kichwani yakubaliwe kindezi

hujathibitisha hapa laana ipo, wala KARMA kua ipo
Control experiment ni muhimu sana! Having said that, the law of curse & blessing
weka uthibitisho wa haya uliyoyaandika
(Curble ama Karma) inasapotiwa na almost kila mtu ambaye amewahi kuishi duniania akiamua kuwa honest! In short, the evidence is overwhelmingly beyond threshold point!
hiyo ni "BANDWAGON APPROACH" kuamini kwamba kwa kua watu wengi wanaamini hoja fulani au wanakubaliana na mtazamo fulani basi hoja hiyo lazima iwe kweli au hatua hiyo ni lazima ifuatwe hiyo ni fallacy

kukubalika kwa hoja na watu wengi hakuthibitishi kwa namna yeyote kua jambo hilo ni sahihi au ni kweli
 
Swali la msingi ulitakiwa ujiulize na ujijibu ni hili

kilichomtokea huyo mtoto kwa hicho kitendo cha kudhihakiwa kwa kufananishwa na nyani ni KARMA iliyotokana na matendo yake aliyoyafanya huko nyuma au siyo KARMA?
 

Ephesians 1:11 kila kitu kinafanyika kutokana na mipango na maamuzi ya mungu and God chose us to be his own people in union with Christ because of his own purpose, based on what he had decided from the very beginning.

mpaka hapo utasema kuna KARMA mzee au KARMANZILA?
 
Siyo kwamba waovu wanafaidi na wema hawafaidi issue ni hekima ya kukwepa mishale hata wema wapo wengi wanafaidi pale wanapojitambua kukwepa kutumika na wema kuzidi uwezo wao.
Huwezi kuwa mwema na ukawa tajiri, sahau hilo...
 
Swali la msingi ulitakiwa ujiulize na ujijibu ni hili

kilichomtokea huyo mtoto kwa hicho kitendo cha kudhihakiwa kwa kufananishwa na nyani ni KARMA iliyotokana na matendo yake aliyoyafanya huko nyuma au siyo KARMA?
You are beginning from a dead end -- your reasoning is based on a wrong proposition, in the first place. Katika principle ya curse & blessing (aka karma), you cannot simply say mtu fulani anaface laana (bad karma) pale anapopitia madhila fulani! Hapana! The law of curse & blessing is not something one can just tag it somewhere by assumption based on some experience of bad luck or unexplainable circumstances of life. Sometimes some bad experiences themselves can actually be someone's blessedness (GOOD KARMA)!!!
 

kila kitu kinafanyika kutokana na mipango na maamuzi ya Mungu


Hiyo statement hata wewe unajua ni makosa matupu! Stop lying!
 
I don't think umefuatilia mlolongo mzima wa hoja zilikotokea; obviously, your chief interest was criticism & childish insults, ambayo nayo hujafanikiwa! To a large extent, you just supported and reinforced what I was saying. Kudos!

Two, and most importantly, if you can provide the definition of "laana" na "muujiza," then nitaweza kukuthibitishia, bila chembe ya mashaka, kuwa wala siyo "imaginary concept," kama unavyotamani iwe. Kazi kwako!
 

kila kitu kinafanyika kutokana na mipango na maamuzi ya Mungu


Hiyo statement hata wewe unajua ni makosa matupu! Stop lying!
Hayo makosa ya nani?

Unataka kusema ni makosa yangu nimepotosha kwa kuweka kifungu ambacho hakipo kwenye biblia?

Au ni makosa ya waandishi walioandika hiyo statement kwenye biblia?
 
Do you believe in unconditional forgiveness? Kwa mfano: "Baba, uwasamehe, kwa kuwa hawajui watendalo!"
 
Hayo makosa ya nani?

Unataka kusema ni makosa yangu nimepotosha kwa kuweka kifungu ambacho hakipo kwenye biblia?

Au ni makosa ya waandishi walioandika hiyo statement kwenye biblia?
I suppose utakuwa umejitungia Msahafu wako mpya, just overnight! There is absolutely nothing like that kwenye Msahafu niujuao!
 
You are beginning from a dead end -
Sio kweli hiyo ni perspective yako na sikuzuii kuona hivyo. Mi sija hoji kulingana na wewe unaielewaje KARMA bali nimehoji kulingana na tafsiri halisi ya neno KARMA and how it works
- your reasoning is based on a wrong proposition, in the first place. Katika principle ya curse & blessing (aka karma), you cannot simply say mtu fulani anaface laana
Na hakuna sehemu nimehitimisha kua flani anapata laana, ila accordingly to its definition mi ndio nimeweka hoja yangu

Kama KARMA is a word meaning the result of a person's actions as well as the actions themselves. It is a term about the cycle of cause and effect. According to the theory of Karma, what happens to a person, happens because they caused it with their actions. ...

Utasemaje kua swali langu kuhusu mtoto aliyefanyiwa unyanyasaji kwa kuitwa nyani halina mantiki au sio compatible na hii dhana wakati yenyewe imejieleza wazi kua kinachomtokea mtu hutokea kwasababu ya mambo ya nyuma aliyowahi kuyafanya.

Kama ulifanya ubaya basi tegemea nawe utafanyiwa ubaya. Sasa kwanini swali langu la kujua ubaya aliofanya huyo mtoto lililosababisha mpaka naye aje kulipwa kwa ubaya liwe invalid?
Unajua kwasababu gani unatumia nguvu kubwa kuitetea karma mpaka unajikuta unatoka nje ya msingi yake ambayo kwenye dini yake alisia wameibainisha? Ni kwasababu ni ngumu sana kutetea imaginary concepts

Hakuna kitu kama hicho na uthibitisho wa hilo huna, personal experience ulizozifanyia attempt zikupe matokeo kwwnye hoja zako zimeshindwa kukidhi vigezo kwasababu ni logical fallacy na hilo unalijua
 
I suppose utakuwa umejitungia Msahafu wako mpya, just overnight! There is absolutely nothing like that kwenye Msahafu niujuao!
Ona sasa huo sio msahafu iyo ni verse kutoka kwenye bible version ya GNT as long as ulisema sio kosa kukibaliana na mtazamo kutoka dini nyingine I'm convinced utakubaliana na hiyo verse

Msaafu uujuao ni upi huo?
 
I don't think umefuatilia mlolongo mzima wa hoja zilikotokea; obviously, your chief interest was criticism & childish insults, ambayo nayo hujafanikiwa! To a large extent, you just supported and reinforced what I was saying. Kudos!
Hapana huwezi kuto ruhusu maswali kwa kigezo cha critism juu ya madai ambayo unayatoa kwa lengo la mpokeaji akubali kua ni kweli bila kuhoji.

Halafu huo itoto na matusi unayodai kua ni interest yangu sidhani kama unaweza kunionesha katika post yangu niliyotoa maneno kama hayo. Ukiweza unaweza kuni-report kwa mods halafu wao ndio watajua hatua gani ya kunichukulia

Kingine unafanya kosa sana kwa kukwepa challenge kutaka moja kwa moja kila unaloliongea liwe acceptable bila kuhoji.
Two, and most importantly, if you can provide the definition of "laana" na "muujiza," then nitaweza kukuthibitishia, bila chembe ya mashaka, kuwa wala siyo "imaginary concept," kama unavyotamani iwe. Kazi kwako!
Mimi tena niliyekuuliza habari za muujiza kwa kutaka uthibitisho ili nijue ndio naye takiwa kutoa maana ya hayo maneno ambayo lengo langu niyajue?

Mimi nitakuambia Muujiza na laana ni maneno kama karma (imaginary) tu ambayo yapo as myths ila nje ya hayo maneno na utendaji wake wa kazi kihalisia ni hakuna.
 

I am not afraid of any challenge at all. My only fear is when you literally rushed kwenye material bila kuelewa kikamilifu inputs zote. It was a way of saying: “Next time, please consider reading between the lines.”


Do you believe in the existence of GOD? Isijekuwa hata Mungu huamini kwamba yupo! Bs you cannot believe in God halafu ukashindwa kuamini katika curse & blessings & miujiza.
 
Ona sasa huo sio msahafu iyo ni verse kutoka kwenye bible version ya GNT as long as ulisema sio kosa kukibaliana na mtazamo kutoka dini nyingine I'm convinced utakubaliana na hiyo verse

Msaafu uujuao ni upi huo?
You should probably try comparing some few more versions ndipo utaona kosa lako liko wapi katika kunukuu ulikofanya. Ukiwa na ujasiri wa kunukuu kikamilifu, naweza kukuonesha wapi umekwama. Sorry!
 

There is no place kwenye definition na maana ya karma ambapo kila distressful experience ama incident lazima inakuwa attributed to some previous bad action ya mhusika. In short, haisemi every bad effect has its wrong cause, badala yake, concept ni kwamba a bad action has its respective bad effect: “what goes around, comes around.” Na wala siyo “that which has come around, must have gone around!” Completely different things. Hii ndiyo sababu nikasema “You are beginning from a dead end.” Don’t also forget that you had one-sided “karma” concept – you only knew the “curse” side of karma. But there is also a “blessing” side of karma. Don’t ever forget that. Sawa?

Kama ulifanya ubaya basi tegemea nawe utafanyiwa ubaya. Sasa kwanini swali langu la kujua ubaya aliofanya huyo mtoto lililosababisha mpaka naye aje kulipwa kwa ubaya liwe invalid?

Swali ama hoja yako ni “invalid” kwa sababu the principle of curse & blessing (aka curble ama karma) IS NOT BLIND, IS NOT BLUNT, IS NOT DULL. That is, you cannot just force it into accommodating every situation. There are circumstances in which people suffer innocently. They did no wrong, they were righteous, they deserved everything goodly and favorable. But given the nature of things, the world does not offer them what they actually deserve. They suffered anyway! This cannot be karma or “curble” in the actual sense of the word, kwa sababu what such individuals are going through is literally causeless. But, a point of caution, hayahaya madhila ni karma kwa namna nyingine, depending on what one views as a blessing ama curse. Some sufferings are in actuality real blessings.


Rather than me using a lot of energy kutetea, it is you who clearly use a lot of energy to try to obfuscate things kwa vile una jicho moja tu la “karma” according to Hindu ama Budha. “Karma” or “curble” is not owned by anyone. It is a universal principle that completely transcends all religious and cultural backgrounds. Hao wala siyo originators wa “karma” as a principle, bali wao ni popularizers; the principle itself is as old as the real originator Himself—God, kwa sababu ni infallible, intrinsic na foundational.
 
Humu jf si tunaye mzee wa karma
Paskali mayalla

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…